Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Unafahamu alipo Zakaria Hans Pope?

Na uwezo wa kuwasha moto lakini umri umemtupa na vijana wana uwezo wa kuzima moto huo kwa kasi ya ajabu.

Ila bado ipo heshima kwa Zakaria.

Zitto hana hoja yoyote zaidi ya kutafuta kisa cha ndege mjanja alienasa kwenye tundu bovu.
Hata hujui ulichokiandika,hebu fata trend unapokuwa unajibu hoja ya mtu!Hebu jisome tena halafu jiulize unatetea nini!
 
Hata hujui ulichokiandika,hebu fata trend unapokuwa unajibu hoja ya mtu!Hebu jisome tena halafu jiulize unatetea nini!

Usihamaki.

Nimekujibu na kunukuu kabisa kile ulichoandika.

Soma kila sentensi.
 
View attachment 898158

Kauli ya Mh zitto kabwe huko twitter....
Mh Zito ukiona watu wazima wanakusitai jifunze kukaa kimya nadhani kama mwanasiasa unalakujifunzwa Kule Uturuk ndani ya ubaloz wa Saudia. Nadhani nimuda muwafaka tufunge midomo yetu nakuacha wenye mamlaka wafanye kazi nje ya hapo tusilaumu serikali tusilaumu wanasiasa na watu wachache waliobadilika kuwa wasaliti wa Taifa. Kiufupi Tanzania nisalama kuliko kipindi kingine chochote ila ole nikwawalio liujumu taifa hakika ni Ole. Taifa moja kwa pamoja Chini ya mwamvuli wa ccm na Rais wetu Magufuli. End
 
Mh Zito ukiona watu wazima wanakusitai jifunze kukaa kimya nadhani kama mwanasiasa unalakujifunzwa Kule Uturuk ndani ya ubaloz wa Saudia. Nadhani nimuda muwafaka tufunge midomo yetu nakuacha wenye mamlaka wafanye kazi nje ya hapo tusilaumu serikali tusilaumu wanasiasa na watu wachache waliobadilika kuwa wasaliti wa Taifa. Kiufupi Tanzania nisalama kuliko kipindi kingine chochote ila ole nikwawalio liujumu taifa hakika ni Ole. Taifa moja kwa pamoja Chini ya mwamvuli wa ccm na Rais wetu Magufuli. End
Ni kiburi cha uzima tu kinachokusumbua. Yote kwa yote hakuna mwenye hati-miliki ya dunia hii. Maskini, tajiri, mwenye mamlaka, kapuku kama mimi - wote tunapita tu. Tutangulizeni tu, mtatufata huko mnakotulazimisha kwenda kabla ya mapenzi ya Mungu.

Machozi ya mwenye haki hayapiti bure kamwe. Hakimu Mwenye Haki anarekodi kinachoendelea na wakati unaompendeza ukifika atafaya linalompendeza.....
 
Hizo kiki zake hazina maana tena tangu ilipofeli ya Msiba sina imani naye tena.
 
Back
Top Bottom