Mh Zito ukiona watu wazima wanakusitai jifunze kukaa kimya nadhani kama mwanasiasa unalakujifunzwa Kule Uturuk ndani ya ubaloz wa Saudia. Nadhani nimuda muwafaka tufunge midomo yetu nakuacha wenye mamlaka wafanye kazi nje ya hapo tusilaumu serikali tusilaumu wanasiasa na watu wachache waliobadilika kuwa wasaliti wa Taifa. Kiufupi Tanzania nisalama kuliko kipindi kingine chochote ila ole nikwawalio liujumu taifa hakika ni Ole. Taifa moja kwa pamoja Chini ya mwamvuli wa ccm na Rais wetu Magufuli. End