Mbwana mohamedi
Senior Member
- Aug 1, 2018
- 141
- 151
Anawatisha tu
Ndo hivyo,mbona mapadre wanakomaa tu!Ila hicho kitu ni sensitive
Akili, mwili, busara etc!! In short umechoka kila kitu.nimechoka kwenye nini?
Mbona Musiba kaota majipu makalioni? Kama anabisha ayaonyeshe basi tuone! Tembea yake tuu ishaonyesha tayariZitto anazingua. Kipindi kile kamtisha Musiba nkajikopesha bia kujipongeza mpaka sasa nadaiwa na Musiba yupo anadunda
Wale walishajiandaa kiakili mbona hawapati shidaNdo hivyo,mbona mapadre wanakomaa tu!
Ndio hivyo,apambane na hali yake!Wale walishajiandaa kiakili mbona hawapati shida
Hahahahaaaaaaaa!Inaonekana wasiojulikana wameanza kumtisha Zitto!
Zitto anazingua. Kipindi kile kamtisha Musiba nkajikopesha bia kujipongeza mpaka sasa nadaiwa na Musiba yupo anadunda
Kuna nyepesi nyepesi kuwa Musiba ile kitu ya kwenye kaptura haionekani!



Anajua hilo ila anaongea ili aonekane ni untouchable.
Hili swala la Mo kuna jambo kubwa sana liko behind the scene sisi Raia hatuelewi na vile sikuhizi kunskubanwa hisia zetu tunazihifadhi moyoni, pia vile tunaweza muona mtu kwa nje yuko vzuri ila ayafanyayo gizani hatujui, so hata watekaji wana lao jambo
Wacha bwana..anakua charged kama betri auYule bb ndio alikuwa anam-recharge zzk. Ndio maana alipokufa tuu umaarufu wa zzk umeporomoka gafla anabaki kutapatapa tuu mitandaoni
Sisi wananchi tunaweza kuona mbona hivi siku tukijua ukweli wa hili jambo tutabaki midomo wazi mengine hutokea kwa masilahi ya nchi.Uko sawa kabisa.
Kuna jambo kubwa behind the scene na endapo sisi wananchi tutagundua tutashangaa sana.
Zitto akiwa ni mwanasiasa anapaswa kuwa makini na kila aongeacho au kuandika maana hakuna kitu kibaya kama ushahidi wa maandishi.
Khasa pale unapoandika maandishi mengi kila kukicha.
Sio gogo ..watajikuta mabaunsa kama ni wanne ama wangap wameshika kondom au kama ni gogo hawaliachii *****watateka gogo wakimjaribu
Zitto ana akili. Anajua wasiojulikana wanapenda sana ushirikina.Jamaa anajua kucheza na mazwazwa yasiyojulikana kama yanaamini ushirikina..
Uchawi ungekuwepo tungetumia software za asili kumtafuta MO nadhani tungempata siku ile ile