Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,075
- 136,513
...alinitisha!
chicken..
...alinitisha!
Huyu dogo kwa ujumla wake hafai kabisa. Acha atapetape tu.
Wapenda mabadiriko tumwombe mungu sana hali ya sasa sio nzuri. habari niliyoipata kutoka kikao cha jana lumumba ni kuwa mmnyika asipite na nguvu kubwa zitaelekezwa huko lakini kwa Zitto ana baraka kubwa sana na kama chadema watamtimua basi atateuliwa na raisi kuwa mbunge. sasa nakuja huku na kuikuta hii tena ya kuwa Raisi basi inabidi niwe hoi mtu aliye niambia nilidhani ananitania.
Lol, kwa nini wauliza hivyo?
Una maana ya 2015?Kati ya technical error or misculculated strategy jamaa yangu Zitto alilofanya ni kuonyesha nia ya kugombea 2010... hili linaweza kuleta mgogoro CHADEMA... tuepushe... hayo.
...there are so many contradictions in your statement, kama ingelikuwa ni kinyesi, basi ni kile chenye harufu ya embe!!!
Mbona unahangaika sana kutetea wezi na wewe mwizi nini wakati unayemtetea hafiki siku ya uchaguzi?[/U][/B]
Hizo kauli ni typical Chadema. Huwezi kukuta hata TLP wanaandika kama wewe. Ishara ya kwamba wote mnafanana kielimu na mgombea mwenza wenu. Ila utanikubali muda ukifika. Muda huu uko gizani sana.
Una maana ya 2015?
Mbona unahangaika sana kutetea wezi na wewe mwizi nini wakati unayemtetea hafiki siku ya uchaguzi?
Kuna tetesi mbaya sana wasiwasi kama atafikisha akifika asiende Jangwani ntolee. Siyo mimi mtabiri wenu.Hafiki?! Subiri
Superman kasema anayo clip ngoja tumsubiri atuwekee tujionee na kusikia wenyewe kinachodaiwa kusemwa....
Well well well wakuu
Nathibitisha kwamba ni KWELI...ijapokuwa hajatamka hivyo yeye mwenyewe.
Nimeamua niconcentrate sasa kwanye habai, TBC wamemuonyesha na amesema ikifika 2015 akienda tena pale sio kwamba atakuwa anagombea ubunge, ila ...urais, kwa mujibu wa waliokuwa mkutanoni, I mean aliwauliza, na kuwataka wajibu kwa sauti , kwamba akienda tena atakuwa anagombea urais...kama mara tatu hivi
samahani siwezi kuweka clip labda ataweka SUperman, sasa mjadala unaweza kuendelea ktk muktadha wa mwanzoni.,....
Zipo tetesi na pia nafikiri Zitto mwenyewe alikiri kuwa atagombea urais 2015.Je,kama hivyo ndivyo hii naiyona kama ni dalili ya CHADEMA kukata tamaa kuwa hawatashika dola uchaguzi huu.
Nasema hilo kwa kuwa inafahamika na imezoeleka kwamba Rais atakaa madarakani kwa miaka 10,yaani vipindi viwili(kama Rais huyo hana matatizo na pia kama chama pinzani hakijashika dola).
Au wadau mnasemaje?
Zipo tetesi na pia nafikiri Zitto mwenyewe alikiri kuwa atagombea urais 2015.Je,kama hivyo ndivyo hii naiyona kama ni dalili ya CHADEMA kukata tamaa kuwa hawatashika dola uchaguzi huu.
Nasema hilo kwa kuwa inafahamika na imezoeleka kwamba Rais atakaa madarakani kwa miaka 10,yaani vipindi viwili(kama Rais huyo hana matatizo na pia kama chama pinzani hakijashika dola).
Au wadau mnasemaje?
Hayo ni mazoea ya CCM ndugu....kama itaonekana kuwa Zitto anafaa kuwa Rais 2015 basi itakuwa hivyo...unajua Mandela alikaa madarakani vipindi vingapi?.....si ajabu na Slaa kukaa kipindi kimoja...inaweza tosha pia[/QUOTE
Heshima mkuu naomba kujuzwa Zitto ana umri gani ?.Ukishajua miaka yake ongeza miaka mitano sidhani kama atakuwa amefikisha miaka 40 ili kukidhi matakwa ya katiba ya JMT.
Hayo ni mazoea ya CCM ndugu....kama itaonekana kuwa Zitto anafaa kuwa Rais 2015 basi itakuwa hivyo...unajua Mandela alikaa madarakani vipindi vingapi?.....si ajabu na Slaa kukaa kipindi kimoja...inaweza tosha pia[/QUOTE
Heshima mkuu naomba kujuzwa Zitto ana umri gani ?.Ukishajua miaka yake ongeza miaka mitano sidhani kama atakuwa amefikisha miaka 40 ili kukidhi matakwa ya katiba ya JMT.
Suala la umri ni la kikatiba....CHADEMA wameahidi kuibadili pindi wakichaguliwa...inawezekana hiyo threshhold ikashuka mpaka hata 35 years....suala si lazima Slaa atawale two terms.....
Hayo ni mazoea ya CCM ndugu....kama itaonekana kuwa Zitto anafaa kuwa Rais 2015 basi itakuwa hivyo...unajua Mandela alikaa madarakani vipindi vingapi?.....si ajabu na Slaa kukaa kipindi kimoja...inaweza tosha pia[/QUOTE
Heshima mkuu naomba kujuzwa Zitto ana umri gani ?.Ukishajua miaka yake ongeza miaka mitano sidhani kama atakuwa amefikisha miaka 40 ili kukidhi matakwa ya katiba ya JMT.
Sasa hivi Zitto ana miaka 33, mwaka 2015 atakuwa na miaka 38 umri ambao haumruhusu kugombea urais. Hili tulilijadili sana hapa, ndiyo maana namwambia alikuwa wapi wakati huo huyu aliyeleta posti hii. Tena nikamwambia angekuwa mtoto tungemwambia akajisaidie akalale haraka.
Sasa hivi Zitto ana miaka 33, mwaka 2015 atakuwa na miaka 38 umri ambao haumruhusu kugombea urais. Hili tulilijadili sana hapa, ndiyo maana namwambia alikuwa wapi wakati huo huyu aliyeleta posti hii. Tena nikamwambia angekuwa mtoto tungemwambia akajisaidie akalale haraka.
Tutabadili katiba tukishashika nchi....hiyo miaka 42 waliweka CCM