Zitto kugombea urais 2015?

Zitto kugombea urais 2015?

Status
Not open for further replies.
uzushi wa wapi nduguyangu? hivi wewe na akili zako kama ni kugombea 2020 au 2025 kweli anaweza akaanza kuotea hizo ndoto kwa sasa? pls be more objective
kwani kasema atagombea 2015?

kasema tu atagombea, kama ni kweli kasema

hajataja mwaka

Huyu Malaba ndie kaongeza huo uzushi wa 2015
 
kutaja eneo analotoka na kufananisha na nafasi anayotaka kugombe nadhani itakuwa ni kuwatukana na kuwatenga watu wa kigoma, cha mhimu ni kusema tu kuwa huyu jamaa hafai kwa kutoweza kuheshimu mawazo ya wenzake, huwezi kuongoza nchi kwa mawazo yako mwenyewe lasivyo tutayaona ya Mwinyi, analala kesho anaamka na mawazo yasiyokuwa na kichwa wala miguu kumbe yanatoka kwa my wife wake.
Chadema hatuwez kuruhusu mtu anayejulikana kigoma peke yake kugombea urais

akagombee huko kwa rafiki yake Kafulia
 
Kwa mtindo huu huyu jamaa hatafika popote.......................... CDM wamwache tu alopoke mpaka achoke mwenyewe. Kwenye politics inabidi uwe mkimya na watu ndiyo watambue uwezo wako siyo wewe kuwaeleza uwezo wako. Hakuna mtu aliyetegemea watu kama akina Yestin, Obama, Goabachev n.k ukwa watakuja kuwa marais................ila hiyo haimaanishi kuwa hawakuwa na hiyo nia. Kimya chao ndiyo kiliwasaidia na wakasubiri muda mwafaka. Unless yeye Zitto anataka kuwa kwenye historia kuwa aliwahi kugombea urais wa TZ kama walivyofanya akina Chemponda na the likes.
 
Asavali amegundua kwamba umaarufu wake pia unaambatana na chama chake..sasa kwanini alipinga msimamo wa chama chake bungeni ? mnafiki huyu.
 
Zitto anajua kwa nini NCCR wameshinda Kigoma, kauli yake hapa chini ni tata:

"Kati ya wabunge wanne wa NCCR, watatu walikuwa viongozi wetu wa chama hadi mwaka 2009 na kama tungekaa nao vizuri, pengine leo hii wangekuwa wabunge wetu na kuongeza idadi yetu Kigoma."


Ni kweli kabisa na ukitaka kuhakikisha, Chadema iliongoza karibu majiombo yote kwenye Urasi huko iweje wabunge wa CDM wasishinde, Kuna utata mtupu.
 
sure, action speaks than words
Kwa mtindo huu huyu jamaa hatafika popote.......................... CDM wamwache tu alopoke mpaka achoke mwenyewe. Kwenye politics inabidi uwe mkimya na watu ndiyo watambue uwezo wako siyo wewe kuwaeleza uwezo wako. Hakuna mtu aliyetegemea watu kama akina Yestin, Obama, Goabachev n.k ukwa watakuja kuwa marais................ila hiyo haimaanishi kuwa hawakuwa na hiyo nia. Kimya chao ndiyo kiliwasaidia na wakasubiri muda mwafaka. Unless yeye Zitto anataka kuwa kwenye historia kuwa aliwahi kugombea urais wa TZ kama walivyofanya akina Chemponda na the likes.
 
Kama ni Zito kutohama chama, mie naona aendelee kubaki ili CHADEMA wapate practical experience ya kufanya kazi na vichwa vibovu. Maana CHADEMA watakapochukua nchi 2015, watakutana na tabia nyingi za aina mbali mbali. Tanzania ni kubwa na inawatu wa tabia kama za Zito na kuzidi wengi.

KAMA NI ZITO KUGOMBEA URAIS, ARUDI CHUONI KWELI AKAGOMBEE URAISI WA WANACHUO. SIYO TANZANIA. HAPO HAPANA KABISA!
 
hilo analijua sana, ndio maana kasema kuwa hawezi kukihama CDM hata kwa mawe,anjua kabisa kuwa kafika hapo si bure bali Chadema
Asavali amegundua kwamba umaarufu wake pia unaambatana na chama chake..sasa kwanini alipinga msimamo wa chama chake bungeni ? mnafiki huyu.
 
Chadema hatuwez kuruhusu mtu anayejulikana kigoma peke yake kugombea urais

akagombee huko kwa rafiki yake Kafulia

kama unadhani zitto anajulikana kigoma peke yake, kaa uchelewe na subiri atakavyo wasurubu wachaga ndani ya chadema wanaokuwa na hila za kuwazushia na hatimae kuwafukuza wenzao.
Nadhani kaka utakuwa ushawaka sasa hivi au nimekosea!
 
Zitto aseme yote lakini la kudai kuwa ndani ya chama kuna watu wanampiga vita hilo siliafiki. Yeye ndiye anatuchanganya. Makosa afanye yeye halafu arudi kusema kuwa kuna watu wanampiga vita? Ni yeye mwenyewe kwa utashi wake aliamua kukiuka makubalino ya wenzake ya kususia hotuba ya JK, na kama hiyo haitoshi akaenda kwenye vyombo vya habari kueleza namna alivyokiuka kanuni ya kuwajibika pamoja. Watu wakisema alikosea, tayari anaibuka na hija kuwa kuna watu wanataka atoke CDM. Actually wanachama na wapenzi wa CDM ndio wanamtaka aondoke na sio viongozi.

Sisi wana CDM tumekwisha mstukia na hata kama hataondoka kamwe CDM ajue tu kuwa yeye sio yule Zitto wa zamani, huyu ni Zitto mwingine ambaye haaminiki tena, na kama asipojirekebisha, anaelekea kwenye kaburi la siasa.
 
Muwe na kumbukumbu.Hata kabla ya uchaguzi wakati akiwa kwenye kampeni zake alisema wamchague kwani 2015 anataka kugombea urais.hajasingiziwa.Lakini wakati fulani akiwa Shinyanga aliwahikusema asingegombea ubunge 2010 badala yake anataka kuendeleza taaluma yake hasa kuwa lecturer.Tusisahau mapema watanzania.Ndio maana tunashindwa kufuatilia ahadi za wanasiasa kwa ugonjwa wa kusahau sahau.
 
Muwe na kumbukumbu.Hata kabla ya uchaguzi wakati akiwa kwenye kampeni zake alisema wamchague kwani 2015 anataka kugombea urais.hajasingiziwa.Lakini wakati fulani akiwa Shinyanga aliwahikusema asingegombea ubunge 2010 badala yake anataka kuendeleza taaluma yake hasa kuwa lecturer.Tusisahau mapema watanzania.Ndio maana tunashindwa kufuatilia ahadi za wanasiasa kwa ugonjwa wa kusahau sahau.

Lakini kwene habari hii hajanukuliwa kugombea 2015.

BTW,pengine kijana Zitto Kabwe ana matatizo ya multiple - personality disorder au selective memory.
 
Zitto hana tofauti na swahiba wake JK ndiyo maana wameelewana, maana huwezi kuwa karibu JK kama hauko ki-vile alivyo.Hata akigombea urais hataleta jipya zaidi ya kuingiza migogoro.Kifupi ni kwamba sasa tumemuelewa Zitto alivyo na tunaweza kufanya maamuzi dhidi yake pale tutakapotakiwa kufanya hivyo kama Watanzania
 
Zitto aseme yote lakini la kudai kuwa ndani ya chama kuna watu wanampiga vita hilo siliafiki. Yeye ndiye anatuchanganya. Makosa afanye yeye halafu arudi kusema kuwa kuna watu wanampiga vita? Ni yeye mwenyewe kwa utashi wake aliamua kukiuka makubalino ya wenzake ya kususia hotuba ya JK, na kama hiyo haitoshi akaenda kwenye vyombo vya habari kueleza namna alivyokiuka kanuni ya kuwajibika pamoja. Watu wakisema alikosea, tayari anaibuka na hija kuwa kuna watu wanataka atoke CDM. Actually wanachama na wapenzi wa CDM ndio wanamtaka aondoke na sio viongozi.

Sisi wana CDM tumekwisha mstukia na hata kama hataondoka kamwe CDM ajue tu kuwa yeye sio yule Zitto wa zamani, huyu ni Zitto mwingine ambaye haaminiki tena, na kama asipojirekebisha, anaelekea kwenye kaburi la siasa.

Kila mara inapokuja hoja za Zitto nachelea kumhukumu maana nikiuliza Zitto amefanya nini hakuna anayenijibu in short and specific makosa ya Zitto. Naomba niulize tena makosa ya Zitto ni yapi??
 
wanajamii acheni kupoteza muda wenu zitto kabwe aliokotwa na usalama wa taifa tokea alipokua kigoma sekondari alikua mpambe mzuri wa kaburu, then akaten.enezwa na kuwa anapewa information za kutosha na usalama wa taifa ili apate umaarufu then wamtumie kuiuwa chadema. They invested in him a lot, na pia that guy is very good in playing mind games. Chadema wawe makini sana na huyu bwana mdogo ni extremely smart, nadhani ni bora wawe makini sana na zito hata zaidi ya ccm, kwa sababu zitto kabwe ni KIKULACHO KI NGUONI MWAKO.
 
hilo analijua sana, ndio maana kasema kuwa hawezi kukihama CDM hata kwa mawe,anjua kabisa kuwa kafika hapo si bure bali Chadema

Huyu dogo ni mwehu anafikiri TZ ni yote ni KGM, Anaota kwanza kugombea si lazima uchaguliwe na chama chako???????? Anaota huyu, anapima upepo.
 
wanajamii acheni kupoteza muda wenu zitto kabwe aliokotwa na usalama wa taifa tokea alipokua kigoma sekondari alikua mpambe mzuri wa kaburu, then akaten.enezwa na kuwa anapewa information za kutosha na usalama wa taifa ili apate umaarufu then wamtumie kuiuwa chadema. They invested in him a lot, na pia that guy is very good in playing mind games. Chadema wawe makini sana na huyu bwana mdogo ni extremely smart, nadhani ni bora wawe makini sana na zito hata zaidi ya ccm, kwa sababu zitto kabwe ni KIKULACHO KI NGUONI MWAKO.

Conspiracy Theory can I ask you una evidence??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom