Zitto kugombea urais 2015?

Zitto kugombea urais 2015?

Status
Not open for further replies.
Badilisha kwanza rangi ya maandishi yako....

Halafu "kujwaa" ndio nini?

Uki-edit maneno waliyopost wenzio ili uonekane wewe ndo mjuaji , na wenzio wanakosea inakusaidia nini, does it make your day??

Kuchamba kwingi........!
 
Uki-edit maneno waliyopost wenzio ili uonekane wewe ndo mjuaji , na wenzio wanakosea inakusaidia nini, does it make your day??

Kuchamba kwingi........!

Sijahariri kitu ndugu...hebu rudi usome tena ulichoandika mwenyewe (hiyo kama wewe hujahariri ulichoandika mwanzoni)

NB: Naona wewe ndio umehariri kosa lako na sasa unataka kunigeuzia kibao ionekane kama mimi ndio nimegeuza ulichoandika.

Hahahaaa...you know deep down in your heart of hearts what you just did.
 
hiyo clip mpaka muichakachue?

au kuna ukweli unataka kufichwa?
 
Uki-edit maneno waliyopost wenzio ili uonekane wewe ndo mjuaji , na wenzio wanakosea inakusaidia nini, does it make your day??

Kuchamba kwingi........!
Huyu jamaa anafikiri duniani kuna field moja tu ya lugha, aliposoma lugha ndio akajiona he is better of wengine huu ni ushamba.
 
Ndugu zangu wana JF,
Toka asubuhi nimekuwa nikisoma maoni yenu kuhusiana na habari iliyorushwa na TBC1 kuhusiana na mimi kugombea Urais mwaka 2015. Kwanza, sio jambo zuri sana kudakia mambo bila kuwa na hbri za kutosha na kuhukumu watu. Watu makini husikia au kusoma mambo, kuyatafakari na kisha kuyatolea maoni. Pili, ni vema ifahamike kuwa mazingira niliyokuwa ninahutubia ni mazingira ya namna gani na kwamba kauli ya Urais ni kauli kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Kidahwe na wala sio kauli yangu. Ni kauli na maono ya watu wa Kigoma na nadhani sio dhambi hata kidogo. Mimi ni mwanasiasa na ninafahamu kanuni za mchezo huu. Kamwe siwezi katika kipindi hiki kuanza kutoa kauli za kuondoa attention kutoka kwa mgombea Urais wa chama changu. Mimi siwezi kuzuia TBC kutoa habari wanayotaka kutoa na wala siwalaumu TBC kwa kutoa habari hiyo kwani ni jambo lililotokea na umma una haki ya kuhabarishwa. Mimi nipo jimboni kwangu ninafanya kampeni za kuomba kura za HESHIMA. Pia ninamwombea kura Katibu Mkuu wangu Dr. Slaa ili awe Rais. Kila tukio la kampeni zangu ninaweka katika blogu yangu na pia katika facebook Zitto na Demokrasia. Ninaomba wenye kuhitaji kufuatilia matukio ya Kigoma wafuatilie huko.

Ndugu zangu, busara ya kawaida inasema hiki ni kipindi cha kufanyakazi za kutafuta mabadiliko katika nchi yetu. Sio kipindi cha kushutumiana na kuzushiana mambo. Tuwe na staha. Hatutaleta change katika nchi yetu kwa kusemana na kusengenyana. Hatutaleta mabadiliko kwa kutegeana makosa. Angalau kwa kipindi hiki basi tuelekeze nguvu zetu katika kusaka kura za kuleta mabadiliko. Tunahitaji Madiwani, Wabunge na Rais.
Ninasononeshwa sana na muda unaopotea kusema Zitto hivi ama vile. Najua kuna Zitto haters humu. Basi fanyeni ceasefire ili tupite katika mchakato huu wa kusaidia mabadiliko katika nchi yetu. Mie nipo Kigoma nasaka kura za chama changu. Nanyi kokote mlipo chakarikeni. Kuna muda wa kutosha mwingi wa kutoa maoni kuhusu Urais wa Zitto mpaka ifike 2015. Wenye ya kusema watasema mengi na nitawasikiliza. This is Slaa time, not my time........... lets focus!


Am sorry zitto, Ngoja niwe mkweli
Jana niliangalia hiyo taarifa ya TBC, wewe ndo ulianza ukisema " mwaka 2015 nataka nije kugomea urais nitaomba kura zenu" hapa wewe ndo ulianzisha, kama vile wananchi hawajasikia ukawauliza tena "mwaka 2015 nataka nigombee (mike ikaelekezwa kwa wananchi).... wananchi wakajibu Uraisssssss........."

Pili, katika hotuba ya jana sikusikia unanadi sera za chama
sera ulizokuwa nazo ni za kibinafsi,,,, ulisema utajenga barabara mbili.....cjui hii kama hipo kichama.....

Zitto naanza kuwa na wasiwasi nawewe......maana nguvu zako sasa hivi zimerudi nyuma

swali:

Kwanini uliomba michango ya kibinafsi na sio cham?
 
...NN, Hivi kweli wewe sio Abdi Sultan wa Sunday Citizen???:whistle::behindsofa:
LOL! kumbe Nyani Ngabu ni mwandishi wa Sunday Citizen, ndiyo maana anajifanya kukosoa kosoa wengine.
 
Uuum...to him right now you are probably more like a pest than a nag (whatever the difference is)

naona tunazunguka mbuyu tu ati .............alisema hakusema nyiiiiiiiiiingi wakati ushahidi wa dhahiri zitto anao hataki kuuweka.

lakini acha nimhurumie rais mtarajiwa 2015 kwa kutoulizia tena kuhusu hiyo clip :smile-big:
 
Jamani msinipe ujiko nisiostahili.
It is too much jitahidi sana ku....

Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Ahsantee.gif

Thank you kwa kunielewa.
 
naona tunazunguka mbuyu tu ati .............alisema hakusema nyiiiiiiiiiingi wakati ushahidi wa dhahiri zitto anao hataki kuuweka.

lakini acha nimhurumie rais mtarajiwa 2015 kwa kutoulizia tena kuhusu hiyo clip :smile-big:

Uzuri ni kwamba tayari yuko on tape na sina shaka kuwa kuna watu watatuwekea tu hapa hiyo clip...apende asipende
 
In term of bona fides?

Wow Kibs, I am impressed!!!

But you forgot to put the 's' in front of 'term'. It should've been 'terms'...but hugely impressed, nonetheless.

Back to your question, yes, I don't like him all around (qualification-wise, his attitude, his personality, you name it)
 
wamepita wengi kabla yake walisema maneno hayohayo! uraisi sio ubunge zito! fikiria mara mbili.. 2015 nigependa kuona tunakuwa na raisi kama muheshimiwa Dr.ABDALLAH KIGODA!:becky:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom