Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Wewe uliyesoma oceanography tuambie korosho zikimwaga baharini finally zinaenda wapi?

Punguzeni chuki JPM kashakufa tuanze upya kimaisha hata kama aliwakwaza kwa namna gani yule ni mwanadamu tu
Huhitaji kuwa na utaalamu wa oceanography kujua uhayawani wa mungu wenu wa Chato
 
Sheitwan ni wana sukuma gang
Tatizo lako liko hapa sio bure:

Malizia lindo ukalale wewe huna lolote wewe mchumia tumbo
ombi kwa viongozi wa jf , hili jina la la tarehe 13 june 2015 halikuwa sahihi kusajiliwa hapa maana tayari kuna mwenye jina tujaribu kuwa makini , huyu amekuja kwa lengo la kuiba majina na kupotosha , atafute jina lake .
 
He should first prove to us ilivyomwagwa baharini
Huyu Zitto anatakiwa aitwe mahakamani athibitishe madai yake, huko baharini ni eneo gana hasa korosho zilimwagwa na nani wahusika wa umwagaji yeye kama shahidi namba moja awe kusikia, kuona au kuhusika katika utekelezaji wa kitendo husika kama mamluki
 
Rudi kwenye topic
Zimewekwa figures
Pingana na hizo figures kwa figures kwanza
Huna hojabww. Prove to us huo umwagaji wa korosho ulivotokea. Pctr, videos etc. Figures zipi unaziongelea
 
Zitto Kabwe is a disaster to Tanzanian development and he is such a hypocrite to trust in anything he talks about, acts, and thinks of delicate and sensitive matters of the country's interests.
Stop attacking Zitto be consistent by attacking the argurement. Make us know where other koroshoz were disposed off instead of spinning. Shame on you
 
Stop attacking Zitto be consistent by attacking the argurement. Make us know where other koroshoz were disposed off instead of spinning. Shame on you
Stop barking as a local dog with the intent to threaten critics; Zitto is a toxic liar and he shall pay the price for unethical and immoral aspects
 
Huna hojabww. Prove to us huo umwagaji wa korosho ulivotokea. Pctr, videos etc. Figures zipi unaziongelea
Niprove mimi tena?
Kwani mimi Zitto?!
Hebu nikusaidie jinsi ya kuattack hoja ya Zitto..
Amesema korosho zenye thamani ya takribani bilioni 800 zilimwagwa baharini..
Wewe mjibu kuwa korosho zenye thamani ya tshs 0 zilimwagwa baharini sababu tani zote ziliuzwa,tukapata kiasi kadhaa,zikawekwa benki flani,tukazitumia hapa na pale..
Wasomi huwa wanaargue namna hii
 
Ufisadi mkubwa sana umefanyika chini ya Jiwe na hao wasaidizi wake ambao kila siku wanamtetea
mayanga construction company hahaha
yule brigedia mbung'o alienda kusini kukagua vyama vya ushirika AMCOS wakati wa ule uvamizi wa jeshi kule kusini kwenye korosho
MBUNG'O ALIRUDI NA VIKAPU VYA PESA...
ndiyo vikapu vya pesa. anawekewa pesa kwenye kikapu kisha anawekewa na matunda kama kiashiria kwamba ndanikunanini
 
Hii post ya Maria Nyedetse ni ya kijinga sana. Unasema hakuna korosho ulizoziona zinaelea ufukweni? Wewe huijui bahari Kaa kimya!!

Unasema tu move on?? How can we move on bila kujua tulipokosea??

Yule mburura wa Chato kwa ujinga wake wa kujiffanya much now kaharibu biashara ya korosho na kuwatia watu hasara. Na nyinyi mlivyokuwa wajinga mlimshangilia aliposema Serikali itanunua korosho!!

Sasa hapa tunaweka wazi uhayawani alioufanya eti mtu mmoja anasema tu move on!! Pumbafu kabisa, na ndiyo hawa wanasema tuache kumchafua marehemu
Usiendeshwe na emotions, nilichosema bring evidence here na rumbling without facts that is number one,

But second; It is better to move on and get healed kuliko kuendelea kung'ang'ania kuwa marehemu alifanya kadhaa, kadhaa kwani kwa sasa havitusaidiii!!!

Shida yangu iko wapi? Kwanini unakimbilia kwenye lugha ngumu instead of tabling facts...?
 
Back
Top Bottom