Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Hangaya asingekuwa njia moja na zito angemuomba ushahidi ungeona anavyojificha na kudai ametekwa. Huyu jamaa anafikiria kwa.kutumia pua ndo maana kila mwezi.zinaongeza milimita kadhaa
 
Umwage korosho baharini ili ugundue nn?kuna wakati hua nawaza km nati ktk kichwa cha mtu huyu zinafanya kazi.
Na kumpiga mbunge risasi laivu kwenye eneo lenye usalama wa kutosha na CCCTV Camera kung'olewa napo kuna nini hapo?
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka Mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh ZZK ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.

View attachment 2202765
Kama kaficha neda karipoti polisi huyu mha wa ajabu sana. Tunatambua Zitto alinunua mashamba kadhaa ya korosho Mtwara, na kununua korosho kwa wananchi lakini alishindwa kujitokeza kwenye vyama vya ushirika (hifadhi ghalani) pindi ulipoitishwa uhakiki halafu anazuka na uongo huyu ni shetani mkubwa
 
Why should they dump it at sea?
Sioni faida yake,ukichukulia kukodi meli kubwa sijui ngapi lakini zaidi ya kumi,30,000 MT each.
Harafu uweke na gharama za upakiaji,harafu uzisafirishe hadi deep sea,utumie gharama nyingine ya kuzimwaga, dunia iwe imekuangalia hivi hivi? Does not add up.
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka Mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh ZZK ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.

View attachment 2202765
Mmoja tu kati ya wahusika ndio ametangulia mbele ya haki, je hawa wengine waliohusika tunawaacha waendelee kusema kazi iendelee?
BOT wanakwepaje hii liability ya mkopo usiolipika? Agricultural Bank mnakwepaje hii liability?
 
You cannot prove him wrong while his statements has never been supported by any evidence.
He threw some figures
If the figures do not sit well with you just debunk them with yours(of which you think are correct figures)
 
sasa zilienda wapi? km sio baharini, Korosho kweli zinaelea tukisema zilienda Chato ndio tutaonekana wehu, lkn kuna Wabunge wa huko karibia wafukuzwe ubunge kwa kutaka kusema ukweli

Ushahidi nilio nao ukipanda ATCL wanakupa Snacks za korosho. Hilo ni eneo moja zilikoenda kwa maana ya soko la ndani. Kuna yule tajiri Mkenya alikuja na fastjet yake binafsi.
 
Mmoja tu kati ya wahusika ndio ametangulia mbele ya haki, je hawa wengine waliohusika tunawaacha waendelee kusema kazi iendelee?
BOT wanakwepaje hii liability ya mkopo usiolipika? Agricultural Bank mnakwepaje hii liability?
Naamini watashughulikiwa inavyotakiwa
 
Ushahidi nilio nao ukipanda ATCL wanakupa Snacks za korosho. Hilo ni eneo moja zilikoenda kwa masna ya soko la ndani. Kuna yule tajiri Mkenya alikuja na fastjet yake binafsi.
Jiwe atalaaniwa sana na wakulima
 
Kama kaficha neda karipoti polisi huyu mha wa ajabu sana. Tunatambua Zitto alinunua mashamba kadhaa ya korosho Mtwara, na kununua korosho kwa wananchi lakini alishindwa kujitokeza kwenye vyama vya ushirika (hifadhi ghalani) pindi ulipoitishwa uhakiki halafu anazuka na uongo huyu ni shetani mkubwa
Sheitwan ni wana sukuma gang
 
Back
Top Bottom