Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Wewe kibori nangai siyo mfuatiliaji wa mambo. Zitto ni kati ya watu ambao wamemkosoa sana Magufuli akiwa Rais. Nitakupa ushahidi hapa;
1. Alichomewa nyumba na shamba Mtwara na watu waliotumwa na Magufuli

2. Mwaka 2016 alikuwa anatakiwa kukamatwa ikabidi ajifiche bungeni hadi Spika alipotoka naye kwa gari lake.

3. Alifunguliwa kesi kama 2 za uchochezi Mahakama ya Kisutu lakini alizishinda.

Yapo mengi aliyifanyiwa kwa kuwa alikuwa anamkosoa Magufuli wazi wazi.
Nawaza tu baada ya miaka 30! Magufuli na Zitto nani atakumbukwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto Kabwe akiishauri Serikali kununua Korosho zote za Wakulima
Screenshot_2022-04-28-10-51-15-72_dc00545bd3b8828f033a02ac25b2d36d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka Mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh ZZK ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.

View attachment 2202765
Bahari in kawaida ya kucheua kitu chochote kisicho maji ukiacha samaki na viumbe wengine wa huko, je wapi zilikoonekana hizo korosho zikiwa zimezagaa pwani?
 
Kama vyeti feki basi ulikua mwizi.
Hahaha sijawahi kuwa na vyeti fake mm mkuu wala siyo sehemu ya wezi! Huyo unayemtetea bwana JPM naye alikuwa jambazi tu. Yeye alikuja kwa staili uliyoipenda wewe!
Unajua kwamba tulilipishwa mahela mengi kwa ujinga wake wa kukamata meli ya wachina bila kufuata sheria? Hii ilitangazwa popote?
Watu wakihoji ati vyeti feki.... ????
 
Kwa
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka Mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh ZZK ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.

View attachment 2202765
Kwann zitto usoni anafungus wengi Sana.
 
Hahaha sijawahi kuwa na vyeti fake mm mkuu wala siyo sehemu ya wezi! Huyo unayemtetea bwana JPM naye alikuwa jambazi tu. Yeye alikuja kwa staili uliyoipenda wewe!
Unajua kwamba tulilipishwa mahela mengi kwa ujinga wake wa kukamata meli ya wachina bila kufuata sheria? Hii ilitangazwa popote?
Watu wakihoji ati vyeti feki.... ????
Jiwe anatetewa na wezi wa mali za umma na wasiyo na vyeti halali vya kufanyia kazi serikalini.
 
Hakuna mvuvi aliyevua korosho baharini muangalie jinsi ya kusema uongo wenu.
sasa zilienda wapi? km sio baharini, Korosho kweli zinaelea tukisema zilienda Chato ndio tutaonekana wehu, lkn kuna Wabunge wa huko karibia wafukuzwe ubunge kwa kutaka kusema ukweli
 
Huyu marehemu huyu, kwa kweli hasara aliyoisababishia nchi, sijui kama kuna mtu anayejua kwa uhakika.
CCM kuna majini wengi! Tulibahatisha jini kashkash aka magufuli! bado yako mengi tu yanatoa udenda wa damu zetu!
 
Hivi kwa sasa huyu jamaa objectives zake ni zipi ?, Kujenga Chama Chake, Kupigania wananchi / wanachama wake, kuipigania Tanzania au kupigana na Marehemu ?

Pia kusema wakati wa Jiwe nadhani tungekumbuka kwamba wakati huo ulikuwa wa Jiwe na Samia pia..., kama waliona kuna mambo ya hovyo wangeondoka...

Sio mbaya kutoa taarifa / kufichua maovu ila ningependelea sana afichue maovu yanayoendelea sasa unless otherwise hayapo
 
Bahari in kawaida ya kucheua kitu chochote kisicho maji ukiacha samaki na viumbe wengine wa huko, je wapi zilikoonekana hizo korosho zikiwa zimezagaa pwani?

Wenyewe kila kitu anachoongea zito ni amini na kweli. Hakihojiwi wala kutaka ithibati.
 
Back
Top Bottom