Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Haituusuuuu

Aendelee tuuu nauchawa wake

Mbona Wakati Chuma yupo akudhubutu kufungua domo lake
Wewe kibori nangai siyo mfuatiliaji wa mambo. Zitto ni kati ya watu ambao wamemkosoa sana Magufuli akiwa Rais. Nitakupa ushahidi hapa;
1. Alichomewa nyumba na shamba Mtwara na watu waliotumwa na Magufuli

2. Mwaka 2016 alikuwa anatakiwa kukamatwa ikabidi ajifiche bungeni hadi Spika alipotoka naye kwa gari lake.

3. Alifunguliwa kesi kama 2 za uchochezi Mahakama ya Kisutu lakini alizishinda.

Yapo mengi aliyifanyiwa kwa kuwa alikuwa anamkosoa Magufuli wazi wazi.
 
Kama Ni kweli Magufuri alikuwa rais hatari sana
Mungu fundi
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Zitto again, Kikwete is at work 😀✍️
 
Jamani tusitoe tuhuma zisizo na ushahidi, korosho za kiwango hicho umwage baharini hakuna hata zilizoelea mpaka ufukweni tukapata na KACLIP!!!???

Let the past be the past, heal and move on....

Hizi frictions na kukumbusha madonda huwa hazina mwisho mwema maana zitaendelea kujenga makundi na chuki baina ya makundi haya jambo ambalo ni bomu kwani ikitokea akapatikana mwehu mmoja akaliamsha dude tunaweza kujikuta tunaanzisha migogoro baina ya wenyewe kwa wenyewe!!!!

Inatosha jamani let us move on kama taifa!!!!
Hii post ya Maria Nyedetse ni ya kijinga sana. Unasema hakuna korosho ulizoziona zinaelea ufukweni? Wewe huijui bahari Kaa kimya!!

Unasema tu move on?? How can we move on bila kujua tulipokosea??

Yule mburura wa Chato kwa ujinga wake wa kujiffanya much now kaharibu biashara ya korosho na kuwatia watu hasara. Na nyinyi mlivyokuwa wajinga mlimshangilia aliposema Serikali itanunua korosho!!

Sasa hapa tunaweka wazi uhayawani alioufanya eti mtu mmoja anasema tu move on!! Pumbafu kabisa, na ndiyo hawa wanasema tuache kumchafua marehemu
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765

Zitto anazingua sana
Alete ushahidi wa korosho kumwagwa baharini
Sawa hampendi JPM kwa sabab alimkosesha ubunge lakini asiweke chumvi kiasi hiki.

Korosho zimwagwe baharini mnajua kabisa bahari haikai na uchafu je nani aliwahi kwenda ufukweni akaokota korosho? Zitto ukiendelea hivi nitazidi kukudharau.

Nakumbuka kuna kipindi ulishika bango eti nchi ina njaa watu wanakufa njaa kwa uhaba wa chakula ukataka Serikali itoe msaada wa mahindi JPM akakataa mbona hao watu waliokufa hatukuwaona?

Zitto unakuwa mtu wa hovyo sana
 
Hoja hujibiwa na hoja
Prove him wrong with facts and figures

Bahari haikai na uchafu note this

Korosho zingemwagwa huko watu wangekutana nazo ufukweni kama ilivyokuwa watu wanaokotwa ufukweni coco beach.

Zitto aangalie maneno ya kuongea maana ataonekana muongo na mtu mzima hovyo

Anamchukia JPM ambaye kashakufa, mwezi mtukufu huu Zitto kama muislamu anashinda kuhubiri chuki na uongo kwa faida ya nani
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Tulikuwa hatuna Rais aisee kama Hali ndio hii,daa
 
Hii post ya Maria Nyedetse ni ya kijinga sana. Unasema hakuna korosho ulizoziona zinaelea ufukweni? Wewe huijui bahari Kaa kimya!!

Unasema tu move on?? How can we move on bila kujua tulipokosea??

Yule mburura wa Chato kwa ujinga wake wa kujiffanya much now kaharibu biashara ya korosho na kuwatia watu hasara. Na nyinyi mlivyokuwa wajinga mlimshangilia aliposema Serikali itanunua korosho!!

Sasa hapa tunaweka wazi uhayawani alioufanya eti mtu mmoja anasema tu move on!! Pumbafu kabisa, na ndiyo hawa wanasema tuache kumchafua marehemu

Wewe uliyesoma oceanography tuambie korosho zikimwaga baharini finally zinaenda wapi?

Punguzeni chuki JPM kashakufa tuanze upya kimaisha hata kama aliwakwaza kwa namna gani yule ni mwanadamu tu
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Dah!...hawa jamaa hawakujali kabisa kuhusu uchumi wa hii nchi.
 
Mbona kwangu chakula kikiharibika nakimwaga jalalani sembuse Korosho kama kweli ziliharibika ushindwe kwenda kuzitupa tena baharini!
Umwage korosho baharini ili ugundue nn?kuna wakati hua nawaza km nati ktk kichwa cha mtu huyu zinafanya kazi.
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
CCM walitukosea Sana kuleta mtu wa hivi aisee..

CCM msije kurudia tena,Rais ni mtu ambae anaweza kuhimili hisia na kubalance mihemko vinginevyo ukiacha hii hasara Nchi ingeweza kuingizwa kwenye vita na jirani refer case ya kuchoma vifaranga,kufilisi mifugo ya Nchi jirani na migogoro na jirani daily..

Magufuli hakufaa kabisa kuwa Rais,usikute Assad alijua mambo mengi Sana aisee.
 
We don't trust you na cheap politics zako,another drama reloaded......after kumwaga hizo korosho baharini then akafanya nini tena!

Drama since morning up to evening,na si mfanye kazi mmmscheeeew!
Washenzi kama wewe mlionufaika lazima mjitahidi kutetea mtu wenu.
 
Umwage korosho baharini ili ugundue nn?kuna wakati hua nawaza km nati ktk kichwa cha mtu huyu zinafanya kazi.
kuficha aibu ya kuingiza jeshi kufanya Kazi za kipuuzi harafu korosho kwa kukosa soko mkamwaga Ili watu wasijue.
 
Back
Top Bottom