Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Sasa unajibu nini

Kama sio kutugombanisha na Serikali
Mkuu

Alete ushaidi Japo wa picha tuone

Mnaa tuu huyuu

Chawaa tuuu huyu
Kama Mwijaku

Lkn siwanatoka Kigoma
Na bahari haikai na uchafu lazima bahari ingezileta nchika Kavu hizo korosho
 
Huyu marehemu huyu, kwa kweli hasara aliyoisababishia nchi, sijui kama kuna mtu anayejua kwa uhakika.

Kwa hiyo vipi unatakaje kumuwajibisha marehemu? Afungwe auwawe au ashitakiwe?
Na nyie zamu yenu mnasubiriwa kwenye kona tu. Akitoka mtakuja na hizi hizi za huyu huyu
 


Video waziri mkuu alipokutana na wanunuzi kutoka Vietnam waliokuja kumaliza mzigo wa korosho



Meli za Vietnam zilizokuja kuchukua mzigo hizo hapo ☝️

F27E9259-B6DB-44EE-BF2C-2467531E72F7.jpeg



Habari yenyewe ya ununuzi ilichukua international headline it was the biggest single purchase in history of cashews nuts.

Zitto anawashwa, hana jipya zaidi ya kumuongelea Magufuli; ndio kiki iliyobaki kwake aonekane relevant kisiasa.

Ni muda wa Zitto kujikitika katika biashara ya Mawese huko Kigoma siasa zishamkataa analazimisha tu.
 
Usiendeshwe na emotions, nilichosema bring evidence here na rumbling without facts that is number one,

But second; It is better to move on and get healed kuliko kuendelea kung'ang'ania kuwa marehemu alifanya kadhaa, kadhaa kwani kwa sasa havitusaidiii!!!

Shida yangu iko wapi? Kwanini unakimbilia kwenye lugha ngumu instead of tabling facts...?
Who isn't healead? We are basically in ecstatic mood as we celebrate death of a ruthless autocratic dictator whose hands were soaked with blood of victims he had killed
 
Haituusuuuu

Aendelee tuuu nauchawa wake

Mbona Wakati Chuma yupo akudhubutu kufungua domo lake
Madiaspora mnasumbua zitto hajawahi kaa kimya na mwendazake wamejibizana sana ,hata alipoleta mindege mibovu mwenda alisema hizi.hatijanunia kwa migebuka akampiga dongo zitto zitto akamjibu hela ya noah kwa mtz ikwap
 
Yaa
Watanzaniakwa
Mkuu umejibu hoja kwa ustadi mkubwa sana. Mh.Rais akuangalie
Huyu Zitto Kabwe asili yake ni uongo na uzushi .Ni mdini mkubwa na asiyejitambua.Hizo ni habari za vijiweni .Eti huyu naye awe kiongozi.Mtu mjinga na mwenye kupenda majungu yasiyo na msaada kwa taifa.Ndio maana ukimfuatilia toka awe mbunge hajawahi kuwafanyia Jambo la maana watu wa kigoma .Zaidi ya uhuni na ujinga.Nina pinga majungu ya huyu mtu mwenye fungus wengi usoni kama ifuatavyo:Kwanza kwa physics ndogo tu ,ukitupa huo mzigo wenye tani hizo sio muda mrefu uzito utapungua na mzigo ungeanza kuelea kurudi ufukweni .Mbona hazikuonekana.Huo mzigo ulielea kuelekea wapi.Hata watu wa nchi nyingine wangeuona.Pili:Toka lini korosho zikakosa soko?Labda nimwambie tu huyu mtu mjinga na mpumbavu ,kg moja ya korosho kule USA ni Tshs30,000.Ndio maana mashirika yanayonunua korosho kutoka nje ya nchi yamejaa Tz.Lakin wapigaji Kama Nape ambao waliumia Sana serikali ya JPM iliponunua hizo korosho ,wamepiga Sana mwaka huu.Na mkulima amepata bei kidogo Sana ya korosho.Na awa ndio wanashirikiana na huyo mhuni kumchafua JPM.JPM ninavyomjua Kama soko lisingepatikana alikuwa tayari kuwagawiya wananchi bure.Kama alivyofanya kwenye samaki.Mm nafikiri huyu jamaa Zitto hana legacy yeyote Zaid ya kuwa ndumila kuwili tu.Ndio maana CDM walimtimua.Kaz kutembea na wake za marehemu.Ukiuliza aliwahi kusaidia nini hapa Tanzania.Hakuna.Yeye na Ulimwengu ni kundi moja.Kelele nyingi lakin hawajawahi na hawana kitu walichowahi kufanya cha maana.
 


Video waziri mkuu alipokutana na wanunuzi kutoka Vietnam waliokuja kumaliza mzigo wa korosho



Meli za Vietnam zilizokuja kuchukua mzigo hizo hapo ☝️

View attachment 2204631


Habari yenyewe ya ununuzi ilichukua international headline it was the biggest single purchase in history of cashews nuts.

Zitto anawashwa, hana jipya zaidi ya kumuongelea Magufuli; ndio kiki iliyobaki kwake aonekane relevant kisiasa.

Ni muda wa Zitto kujikitika katika biashara ya Mawese huko Kigoma siasa zishamkataa analazimisha tu.

Mkuu ahsante sana Mkuuu

Achana na huyu pashukuna anayetaka kutugomanisha na Serikali yetuu

sawa tunakubali kunachangamoto serikalini kwenye report ya CAG lkn si hizi za uongo
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka Mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh ZZK ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.

View attachment 2202765
Zito unapambana na KIVULI, hutashinda katika vita hiyo. Umelipwa tunajua lakini hutashinda.
 
Huyo kenge alie komaaa sura kama tako la nyani kamkomalia Jpm kama mke mwenza ....alete ushahidi hata wa picha ...kwanza ana lipi alilofanyia taifa hili mpaka anapata ujasiri wa kumsema mtu alie acha alama kubwa moyoni mwa watu ....kabwela ww ni kenge mmoja hivi na wanao kulipa kumchafua jiwe watakula tako hilo maana utafeli tu ....

Sent from my SM-M305F using Jami

Hapo kwenye tako la nyani
 
Sasa iwapo zilimwagwa kweli asiseme?

Mjibuni Kwa hoja bada ya kufanya personal attack kwa kumwambia ni mdini!
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka Mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh ZZK ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.

View attachment 2202765
Mwendazake alikua shetani!!!!
 


Video waziri mkuu alipokutana na wanunuzi kutoka Vietnam waliokuja kumaliza mzigo wa korosho



Meli za Vietnam zilizokuja kuchukua mzigo hizo hapo ☝️

View attachment 2204631


Habari yenyewe ya ununuzi ilichukua international headline it was the biggest single purchase in history of cashews nuts.

Zitto anawashwa, hana jipya zaidi ya kumuongelea Magufuli; ndio kiki iliyobaki kwake aonekane relevant kisiasa.

Ni muda wa Zitto kujikitika katika biashara ya Mawese huko Kigoma siasa zishamkataa analazimisha tu.

Mmawia acha uchochezi wako!!! Facts hizo
 
Kama kweli waamini hivyo ungesha jinyamazia na hata kumpuuza.
Kuna wakati mtu anatakiwa asimjibu MPUMBAVU. Lakini Kuna wakati unatakiwa UMJIBU MPUMBAVU sawasawa na upumbavu wake Ili asijihesabu mwenye HAKI mbele za watu. Ni busara ya Mungu hiyo.
 
Kuna wakati mtu anatakiwa asimjibu MPUMBAVU. Lakini Kuna wakati unatakiwa UMJIBU MPUMBAVU sawasawa na upumbavu wake Ili asijihesabu mwenye HAKI mbele za watu. Ni busara ya Mungu hiyo.

Methali 26:4 Usimjibu mpumbavu kipumbavu, usije ukafanana naye.​

 
Sasa iwapo zilimwagwa kweli asiseme?

Mjibuni Kwa hoja bada ya kufanya personal attack kwa kumwambia ni mdini!
Yeye ndo alete huo ushahidi wa korosho kumwagwa baharini na sio porojo na walawala nyingi,kuongea ni tofauti na kutenda.
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka Mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh ZZK ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.

View attachment 2202765
Pumbafu zenu na zitto wenu. Mara GAG kasema hiki kasema hiki..mnashangilia. Mara cag kaficha hii mnashangilia. Kama mnamuamini sana cag kwa nini sasa afiche kumwagwa korosho baharini.
Tunajua vibaraka wa ubeberu hawataki serikali inayoingilia kulinda maslahi ya wakulima au tabaka la chini. Mnataka wafanya biashara wawakalie kooni wananchi kuwanyonya. Mnajidai eti soko liamue wakati wanyonge hawawezi kushindani na hila za wafanya biashara ikiwa serikali inashikwa na wahuni aina ya kina zitto, nappe na makamba.
 
Back
Top Bottom