PACHOTO
JF-Expert Member
- Dec 30, 2011
- 1,321
- 974
korosho zilikuwa za watu wa dini gani,?Huyo mrundi udini unamtesa
korosho zilikuwa za watu wa dini gani,?Huyo mrundi udini unamtesa
Iandikwe na itoshe tu kusema Tanzania ilishawahi kuongozwa/kutawaliwa na mtu mpumbavu sana naye huyo mtu anaitwa JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. Kila amuungaye mkono kwa matendo yake ya kifedhuli huku akijivisha kilemba cha UZALENDO naye ni fedhuli tu. anayeamini kwenye mauaji ya watu.Zito alikua kangomba namba moja.
Kama vyeti feki basi ulikua mwizi.Iandikwe na itoshe tu kusema Tanzania ilishawahi kuongozwa/kutawaliwa na mtu mpumbavu sana naye huyo mtu anaitwa JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. Kila amuungaye mkono kwa matendo yake ya kifedhuli huku akijivisha kilemba cha UZALENDO naye ni fedhuli tu. anayeamini kwenye mauaji ya watu.
je nawe ni fedhuli?
Magufuli hakuwa msukuma, tuliza munkali
Angeuwawa.
How can you prove mere words? Alete evidence ya kuwa walimwaga korosho baharini.Hoja hujibiwa na hoja
Prove him wrong with facts and figures
Wewe ungeweza kumsema Magufuli akiwa hai na Rais?
Ukiona amethubutu kutoa hizo allegation kubwa kiasi hicho jua kweli Jiwe alifanya hayo.
We hufikiri,ukavue korosho bahati kuu!?
Nani anapenda kufa?Alikuwa wapi kuyasema hayo jamaa akiwa hai?
Ushahidi maneno/ Kwa juhudi mkono?Hoja hujibiwa na hoja
Prove him wrong with facts and figures
Mnaobisha mtuambie kama haikumwagwa, iliuzwa wapi na ni sh ngapi?
Nilivua ton 3 mwaka 2018Hakuna mvuvi aliyevua korosho baharini muangalie jinsi ya kusema uongo wenu.
Imagine alimwagiza Mfugale Tanroads wamnunulie mtambo wa sukari wa bil.120🤷♀️Huyu marehemu huyu, kwa kweli hasara aliyoisababishia nchi, sijui kama kuna mtu anayejua kwa uhakika.
Si ameishasema ni za Bilioni 876. Unataka nini tena mfia legacy?Sasa huyo aliyesema ilimwagwa, si atuambie ilimwagwa wapi, lini, kiasi gani na za pesa kiasi gani??
Nilivua ton 3 mwaka 2018