Hoja hujibiwa na hoja
Prove him wrong with facts and figures
🤣🤣🤣inabidi nicheke sasaBaada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.
Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.
Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.
Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Haituusuuuu
Aendelee tuuu nauchawa wake
Mbona Wakati Chuma yupo akudhubutu kufungua domo lake
And He who alleges must prove, that's the principle.Hoja hujibiwa na hoja
Prove him wrong with facts and figures
Rudi kwenye topicAnd He who alleges must prove, that's the principle.
Kwakua Katoa tuhuma then he must provide proof along with it.
Hizo facts and figures yy ndo alitakiwa azitoe kwanza.
Unataka tumjibu kwa facts and figures gani alizoitoa yeye?
Sio kutoa tuhuma ilimradi tu apate kuchafua watu.
tatizo hamtaki kujifunza kutokana na makosaJamaa vp huyu mbona ana hasira sana na marehemu huyu yan kila Sikh anadondosha moja,amwache kidogo shujaa wetu apumzike
Jikite kwenye hojaZitto Kabwe kibaraka wa bibi vasco
Mbona alimuita Magufuri mshamba hakuguswa? acheni porojo.Afungue mdomo atekwe na kina Makonda?
Jamaa vp huyu mbona ana hasira sana na marehemu huyu yan kila Sikh anadondosha moja,amwache kidogo shujaa wetu apumzike