mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,225
dada mbona una chuki sana kwa mwanaume wa kiha?? alikutendea nini?Zito atafukuzwa mbona hilo liko wazi? Nyie muandalieni cheo tu huko ccm, mkimpa nafasi ya kinana sio mbaya sana
dada mbona una chuki sana kwa mwanaume wa kiha?? alikutendea nini?Zito atafukuzwa mbona hilo liko wazi? Nyie muandalieni cheo tu huko ccm, mkimpa nafasi ya kinana sio mbaya sana
Give me a break Mungi.
Huyu Jamaa alilipiwa ada ya chuo na Mbowe?? Ee Mungu Tuhurumie!
Kwa hiyo shukrani yake anamlipa Mbowe ni kumuanzishia Uasi?
Masikini ya Mungu.Kumbe Mbowe anatukanwa matusi yote na mtu aliyemlea kama mdogo wake!
MINI KABANG jeee?
Boko haram...... Hilo jina tu, kwisha habari yako
Ngumu kumeza eeh!..... Naona unatokwa povu kama umemeza mche wa mshindi, pole weye
Sasa wewe nawe umeandika nini?? Gamba wewe!
Nyoka tunamtimua ahamie kwa nyoka wenzie kina Ritz na msoga yetu
dada mbona una chuki sana kwa mwanaume wa kiha?? alikutendea nini?
uko sawa wewe?? umetishwa nini??Usitake kutisha watu wewe
Ndio lenyewe hili linapambana na viherehere kama wewe
Kheri ya kua gamba, kuliko kua mpandikiza chuki, mfitinishi, mchochezi na m"baguzi.
na mtu mwenye hekima na mtulivu chadema hajazaliwa bado
Hao wote yaani Ritz, msoga yetu/Simiyu Yetu (RIS), CHAMVIGA, MSALANI, Mingoi na Lumumba wote akili zao zimedumaa
hii jukwaa sio la kichen party dude,to facts mfuata upepo mamluki
Bora kiherehere wa kike kuliko kiherehere wa kiume kama wewe!
tusi liko wapi ili hali hujui maana yake?? binti upo darasa la ngapi??Hiyo mimi sijui maana yake..... Sura yako haiendani na kutamka hayo maneno plz msoga yetu acha hao wanywa bange wasikuingize huko!! Siasa sio kutukana
mkuu umeongea na watanzania wangapi?huu ni unafiq wenu chadema mnawaonea kwakuwa sio wachaga mnaogopa wakitwaa madaraka ya chama dhumuni la msingi la kuanzishwa kwa chadema halitatimia nawahakikishieni chadema kutwaa dola ya nchi hii haiwezekani kwa vyovyote vile subirini muone
CDM wanamuaminia kibabu.
Ilhali kaisha onesha madhaifu mengi sana kua hafai kua Rais wa nchi.
Kama alishindwa kutii kiapo cha Upadre usishangae hata kiapo cha Urais akashindwa kukitekeleza, Kibabu ni mtu asie na msimamo, alihama CCM, aliacha mke wake.. kwa hayo hafai kua rais