Wisest man
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 993
- 333
ZZK hawezi kufukuzwa cdm i bet
Hakuna wa kuthubu, ziara ya slaa, kigoma ni kupima maji tu ili waone kama kina kirahusu kuvuka, nilishangaa jana mzee anatolea mfano wa kufukuzwa kwa madiwani wa arusha kwamba chama hakikutetereka, wao wanamlinganisha zitto na madiwani wa arusha!!! Slaa sasa anatafuta umaarufu kwa jina la zitto!! Aisee.