Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Ule usemi samaki ana ujanja akiwa ndani ya maji umetimia.

Baada ya kushindwa kukihujumu chama kwa mbinu mbalimbali ikiwemo ya kushambulia mikutano ya Dr Slaa na kutoa matamko ya kipuuzi wakiqatumia viongozi mbalimbali wale wasaliti waliokwapuliwa vyeo vyao ndani chadema na kinachosubiliwa ni kupokonywa uanachama wao Zitto, Kitila na Samson Mwigamba wamejisalimisha jana baada ya kujibu barua waliyotumiwa na kuomba wasamehewe na wasinyang'anywe uanachama kuwa wana mapenzi na chama.
huu ni unafiq wenu chadema mnawaonea kwakuwa sio wachaga mnaogopa wakitwaa madaraka ya chama dhumuni la msingi la kuanzishwa kwa chadema halitatimia nawahakikishieni chadema kutwaa dola ya nchi hii haiwezekani kwa vyovyote vile subirini muone
 
Naona Bavicha wanapiga ngumi hewani wanajadili ujuha ukiwauliza zipo wapi hizo barua za misamaha hawana.


Unataka barua wewe kama nani? Safari hii wamezipeleka bila kuwapa ccm copy manake wamewastukia mnataka kuwazamisha, hata hivyo hawawezi kusamehewa
 
Mkuu Tuko, zitto na wahuni wenzie ni wa kufukuza..hizo zingine ulizozisema ni kujifurahisha. Zitto afukuzwe uanachama!

Ni option pia mkuu... Ila nimezingatia kuwa haya ni makosa ya kwanza kwa wakosaji kufikia kiwango cha kupewa ovyo kwa barua (kama sijakosea). Na pia nimezingatia utashi wao wa kuomba radhi (kama ni kweli), huku nikijua kuwa Mbwa ukishamjua jina hakusumbui...
 
huu ni unafiq wenu chadema mnawaonea kwakuwa sio wachaga mnaogopa wakitwaa madaraka ya chama dhumuni la msingi la kuanzishwa kwa chadema halitatimia nawahakikishieni chadema kutwaa dola ya nchi hii haiwezekani kwa vyovyote vile subirini muone

Washaurini basi wahamie CCM
 
Ni option pia mkuu... Ila nimezingatia kuwa haya ni makosa ya kwanza kwa wakosaji kufikia kiwango cha kupewa ovyo kwa barua (kama sijakosea). Na pia nimezingatia utashi wao wa kuomba radhi (kama ni kweli), huku nikijua kuwa Mbwa ukishamjua jina hakusumbui...
chuki zinawasumbua slaa amewaambukiza chuki ya asili
 
Bavicha achane kujidanganya kinachofanyika sasa hivi ndani ya Chadema kuna mgongoro mkubwa sana Baregu katoa ushauri ambao umewachanganya kina Mbowe na Dr.Slaa.
 
Washaurini basi wahamie CCM
kama ndo mpango wenu mmenoa wang'ang'ane huko huko muda walioupoteza uwagharimu na nyinyi ili mkome kuchezea watu hao wakae mabegani mwenu mpaka muanguke pamoja
 
Too late...Wanatimuliwa! Wakapeleke ushenzi wao kwingine

Hatuwataki..... Unaona hawa gambaz wanavyotapatapa eeh, siku hizi hawajui hata nini kinaendelea kwenye lichama lao, wako busy na mambo ya chadema, kweli hela walizomuhonga zzk aimalize chadema zinawauma !
 
Bavicha achane kujidanganya kinachofanyika sasa hivi ndani ya Chadema kuna mgongoro mkubwa sana Baregu katoa ushauri ambao umewachanganya kina Mbowe na Dr.Slaa.
chuki za kidini na kikabila za BABU zinakimaliza chama halafu mkuu mbona unampa hadhi kwa kumwandika dr. huyo?? hastahili kabisa
 
Hatuwataki..... Unaona hawa gambaz wanavyotapatapa eeh, siku hizi hawajui hata nini kinaendelea kwenye lichama lao, wako busy na mambo ya chadema, kweli hela walizomuhonga zzk aimalize chadema zinawauma !
mmefuliaaaaaaaaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom