mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,225
binti mbona warukaruka?? lete baruaBarua wewe kama nani? Mkishaziona mtafanya nini? Je kwanini zzk hajawapa copy toka jana?
binti mbona warukaruka?? lete baruaBarua wewe kama nani? Mkishaziona mtafanya nini? Je kwanini zzk hajawapa copy toka jana?
Nenda kazichukue kwenye ofisi zake huko Facebook na Twitter
Acha umbea uko makao makuu yapi gamba wewe? Chama chenu wewe na nani?
binti mbona warukaruka?? lete barua
baada ya ZZK atafuata lissu au msigwa??Ha ha ha h... Nyie ndio mmefulia manake pamoja na makelele yote mnayopiga humu bado zzk tunamfukuza akafie mbele! Mm
Inauma kushushuliwa heee, ndio mkome kudanganya. Sasa wewe nawe unajiona CDM, sisi ndio tupo hapa nyie endeleeni kujidanganya kwenye JF!
baada ya ZZK atafuata lissu au msigwa??
ha ha ha BAVICHA mmekwisha mpaka akina lema mnawafanyia quotation!!!!!!!!!!"Ni heri simba 100 walioko nje kuliko nyoka mmoja mdogo aliyeko ndani" by Hon. G. Lema
"Ni heri simba 100 walioko nje kuliko nyoka mmoja mdogo aliyeko ndani" by Hon. G. Lema
nje ya mada wapi maana hao si tofauti na nyie isipokuwa kwa sasa mnawatumia kama plasta?Haya sasa watutoa nje ya mada kwanini tena?
ha ha ha BAVICHA mmekwisha mpaka akina lema mnawafanyia quotation!!!!!!!!!!
hivi hakuna vyama vingine zaidi ya CCM?Nyoka tunamtimua ahamie kwa nyoka wenzie kina Ritz na msoga yetu
Mkuu mbona tupo kwenye mjadala wa kawaida mkuu, kwanini unajiona bora, alafu binadamu wenzako walioumbwa na Mungu unaemuamini unawaona takataka??
Sawa mkuu wewe una hadhi sana mkuu. ila ajikwezae atashushwa.
wana chuki hasa tena za kuuwa kabisa
vipi inakuuma nini?Kunywa hata chai basi manake toka pakuche unapambana tu na yasiyokuhusu.... Unajua alipo kinana?