Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Status
Not open for further replies.
CDM wanazani kuongoza nchi, hua ni maubabe na fujo pamoja na kulipiza visasi kama wao wafanyavyo.
Nchi huongozwa na watu wenye hekima, na si watu wapandikizao chuki miongoni mwa watanzania.

ni hatari sana mkuu ni kama kucheza karibu na mdomo wa mamba chadema kushika dola ni kama kumkabidhi chatu mbwa wako hatutakubali
 
mkuu umetumia kigezo gani kujua kuwa lema na Mbowe ni akili ndogo? Wakati zitto,kitila na mwigamba ni akili kubwa?
we huoni?/ kama hata akili ya kujistiri na kujiheshimu mbele za watu hawana haya zingine jee?
 
CDM wanazani kuongoza nchi, hua ni maubabe na fujo pamoja na kulipiza visasi kama wao wafanyavyo.
Nchi huongozwa na watu wenye hekima, na si watu wapandikizao chuki miongoni mwa watanzania.

Sasa wewe nawe umeandika nini?? Gamba wewe!
 
Hatuwataki CHADEMA..., warudi kwa mabwana zao CCM, wakawaambie kuwa kazi waliyotumwa wameshtukiwa, CDM hatudanganyiki.
for sure hata huku ccm sijui kama watapokelewa na kuaminiwa!!ukimshawishi mke wa jirani yako aachike umuoe ujue hata kwako hata kaa, nadhani watakipitia kikombe cha waridi kabur.u!!
 
we huoni?/ kama hata akili ya kujistiri na kujiheshimu mbele za watu hawana haya zingine jee?


Usitake kututoa nje ya mada... Hapa tunaongelea barua za akina zzk ila kama unataka tuhame wewe sema, manake hata yenu tunayo mengi ambavyo hamuwezi kujisitiri hata kwa vitoto vya shule..... Sema kama tunahama mada kaka!
 
CDM wanazani kuongoza nchi, hua ni maubabe na fujo pamoja na kulipiza visasi kama wao wafanyavyo.
Nchi huongozwa na watu wenye hekima, na si watu wapandikizao chuki miongoni mwa watanzania.
na mtu mwenye hekima na mtulivu chadema hajazaliwa bado
 
Usitake kututoa nje ya mada... Hapa tunaongelea barua za akina zzk ila kama unataka tuhame wewe sema, manake hata yenu tunayo mengi ambavyo hamuwezi kujisitiri hata kwa vitoto vya shule..... Sema kama tunahama mada kaka!
dada mbona unapanic?? tulia kitu kiingie
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom