Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
hii jukwaa sio la kichen party dude,to facts mfuata upepo mamluki
Akili yako ni kama hiyo avatar yako................ umedumaa wewe!!!!
hii jukwaa sio la kichen party dude,to facts mfuata upepo mamluki
Ooh.. Sasa kumbe unajua kuwa chuki, na uchochezi ni mbaya eeh.... Ulikuwa wapi hujamshauri zzk?
Mkuu ajabu zaidi eti hayo ndio majembe ya CCM yaliyopewa jukumu la kujibu hoja mitandaoni.
ndio sisi majembe coz katika members laki na ushei wa jf ni sisi tu ndo tunazitwanya hoja za bavicha walipo zaidi ya laki huoni ni majembe?Mkuu ajabu zaidi eti hayo ndio majembe ya CCM yaliyopewa jukumu la kujibu hoja mitandaoni.
Kawadanganye hao vilaza wenzako wa ufipa unadhani anayetumia hii ID hatukujui!
CDM wanamuaminia kibabu.
Ilhali kaisha onesha madhaifu mengi sana kua hafai kua Rais wa nchi.
Kama alishindwa kutii kiapo cha Upadre usishangae hata kiapo cha Urais akashindwa kukitekeleza, Kibabu ni mtu asie na msimamo, alihama CCM, aliacha mke wake.. kwa hayo hafai kua rais
wewe apomkuu umeongea na watanzania wangapi?
Wewe kama nani mpaka useme hayo? .... Mtatokwa povu sana na bado
udumavu wake unamshinda MINI KABANG?Akili yako ni kama hiyo avatar yako................ umedumaa wewe!!!!
tusi liko wapi ili hali hujui maana yake?? binti upo darasa la ngapi??
anapima upepo wa nani?? mini kabang au?Propaganda, Zitto anapima upepo.
Kiapo cha upadri alikula ye na mamako?
Zito atafukuzwa mbona hilo liko wazi? Nyie muandalieni cheo tu huko ccm, mkimpa nafasi ya kinana sio mbaya sana
Mie kama mwananchi.
Katika nchi zilizo endelea Kibabu hafai.
Skendo ya mapenzi inatosha kukunyima sifa ya kua kiongozi wa nchi.
wenzio wanajisomea wewe upo hapa kutoa maneno makali ya chuki zidi ya zitto amekutupia kitu chenye ncha kali??Wewe unajua maana yake!.... Niko kidato cha sita, swali jingine?
ndio sisi majembe coz katika members laki na ushei wa jf ni sisi tu ndo tunazitwanya hoja za bavicha walipo zaidi ya laki huoni ni majembe?
nitawaomba Moderator tuanzishe thread tutukanane ili ulizike???? lakini humu ni juu ya baratua????? ya msamaha wa zitto na uamz????i wa cc kama imfueke???? mazima au umwachie uanachama.
binti tulia chini usome unaoshindana nao humu wamemaliza vidato siku nyiiingiKwe kwe kwe kwe ..... Unatia huruma.... Huna hata hoja ya maana... Huo wimbo wa mapenzi ulishachuja zamani sana... Huna mwingine?