Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Zitto siyo mzima atajitetea na kukata rushaa ! Haya mambo huwa hayaendi pamoja
 
wasamehewe sasa wajenge chama cha msingi wakumbushane kwa vikao vya siri mmoja anavyokosea tujifunze kutoka kwa mandela alisamehe wliomfunga miaka 27
Mtu asiyetubu hastahili msamaha. Hata kaburu anaye ua weusi hata leo anashughulikiwa.
 
Ule usemi samaki ana ujanja akiwa ndani ya maji umetimia.

Baada ya kushindwa kukihujumu chama kwa mbinu mbalimbali ikiwemo ya kushambulia mikutano ya Dr Slaa na kutoa matamko ya kipuuzi wakiqatumia viongozi mbalimbali wale wasaliti waliokwapuliwa vyeo vyao ndani chadema na kinachosubiliwa ni kupokonywa uanachama wao Zitto, Kitila na Samson Mwigamba wamejisalimisha jana baada ya kujibu barua waliyotumiwa na kuomba wasamehewe na wasinyang'anywe uanachama kuwa wana mapenzi na chama.

Bull shit! Kwani kujibu barua ndio kujisalimisha? Hell no!
 
Fukuza hao kabsa kuwaacha ni kuhatarisha Chama .Wapeni mwanya waka anzishe Chama chao na wawe na mikutano pale hotelini na akina taswira .
 
Hzi ndio pweinti...waeleze mikatati yote waliyotumwa
wamelipwa shilinga ngapi
nani kawatuma nk ili kufunua kombe

Kama kweli wanataka msamaha ni vizuri wakasema ukweli wote jinsi CCM ilivyowatumia! Wawe wazi bila kuficha neno!!! Kusema tu wana mapenzi na CDM haitoshi!! Hayo ni mazingaombwe ya mchana kweupe! Wajieleze kwanza kwa umma! Baada ya hapo nguvu ya umma ndiyo itakayowahukumu!!
 
Kama kweli wanataka msamaha ni vizuri wakasema ukweli wote jinsi CCM ilivyowatumia! Wawe wazi bila kuficha neno!!! Kusema tu wana mapenzi na CDM haitoshi!! Hayo ni mazingaombwe ya mchana kweupe! Wajieleze kwanza kwa umma! Baada ya hapo nguvu ya umma ndiyo itakayowahukumu!!

Umenena Mkuu kwa kuwa ni lazima tuwe makini sana na hivi virusi mda wowote vitakuja na staili nyingine ili tu kufikia malengo waliyo nayo. hawa ni watu hatari sana na ukizingatia mitandao ya kiovu waliyokwishaanzisha na kujilink nao. kuna mitandao hatari sana inayonyemelea kuiua chadema na wanafanya kila hila kujitabanaisha kwa watu. Ni vyema wakatoswa kwa chadema imara na kama wanataka kuwa wanachama waeleze kiundani kila hatua waliyoitumia kuhujumu chama na wakiri mbele ya vyombo vya habari kama walivyoisema kamati kuu baada ya kuvuliwa uanachama. tunaomba sana sana chadema tuwe makini zaidi kuhusu vimeo hivi.
nawasilisha wadau.
 
Hakuna mpinzani wa kweli atayesaliti nguvu ya umma kwa kuimba pamoja lakini mwisho wa siku akicheza na wanaopingwa lazima historia itamhukumu
 
najua umekuja kufanya biashara humu,kona bar kumekushinda hamna wateja?

....

.....Oyaah jipime kwanza kwenye jamii ...vipi kama hayo maneno ungemtamkia mzazi wako?

....Are you symbolizing your clan characteristics?


TAFAKARI!!!

 
zitto ni wazi amechanganyikiwa kule kajitete halafu anaitisha press anasema anapinga...
 
mtu akishalamba asali na kuona ni tamu atakuwa akilamba kila apatapo nafasi hiyo.hata kama atasema ni mbaya atajitahidi akila asionekane ila kula atakula. zito na wenzake ni walamba asali si wa kuwachekea hata kidogo wala wa kuwasamehe kwa urahisi hivyo
 
zito afukuzwe cdm ataponza wengi na kwa siasa zake ataendelea tu kutumika na ccm. Dhambi ya usaliti haikomi. Asionewe huruma liwe funzo
 
Mwandishi acha ushabiki inaonekana una ushabiki ndani yako.
 
Kuwasamehe sawa na hao puppet akina Mchanga na Patrcia nk wataishi je kwa sababu hivyo vinakwenda na H2O
 
"kamati kuu itawaita itawahoji na watapewa majibu ya maamuzi ya kamati kuu kwa maandishi ndani ya siku 14 baada ya kuhojiwa"
 
Ule usemi samaki ana ujanja akiwa ndani ya maji umetimia.

Baada ya kushindwa kukihujumu chama kwa mbinu mbalimbali ikiwemo ya kushambulia mikutano ya Dr Slaa na kutoa matamko ya kipuuzi wakiqatumia viongozi mbalimbali wale wasaliti waliokwapuliwa vyeo vyao ndani chadema na kinachosubiliwa ni kupokonywa uanachama wao Zitto, Kitila na Samson Mwigamba wamejisalimisha jana baada ya kujibu barua waliyotumiwa na kuomba wasamehewe na wasinyang'anywe uanachama kuwa wana mapenzi na chama.


Wanahitaji kuwekwa chini ya uangalizi maalumu kwa miaka kama 5-10 hivi....

Huwezi ukaanza kukata tawi ulilolikalia na wezio wako juu yake halafu ukadhani kama utapata msaha kirahisi. They need to pay dearly...
 
Unafiki wa chadema kwa hiyo kila kitu mnakiweka hadharani?
Hivi akina Zitto wakiamua kuweka kila jambo uchi mtabaki salama?
Unafikiri kama angekua nalo angeacha kuongea!!!!! Kwani CDM ina baya lipi, au hilo la kuwangóa wasaliti chama? Yeye abaki na uanachama wake amalizie fungu lake alilopewa na CCM atulie. Na CCM walivyo watamtema kama Tabwe Hiza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom