Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Unafiki wa chadema kwa hiyo kila kitu mnakiweka hadharani?
Hivi akina Zitto wakiamua kuweka kila jambo uchi mtabaki salama?

wana nini la kuweka uchi, zaidi ya waraka wao? labda wawekwe wenyewe uchi
 
Acha kujifundisha ujinga wewe!!!
Kuropoka kote kwenye media waliacha nini? hawakupata tuhuma dhidi ya uongozi uliopo ndiyo maana wamesaidiwa na ccm kuunda uwongo!!
Kama Zitto mjanja wakati anasema chama hiki kimemtoa mbali angeongezea kuwa hata ada za chuo alilipiwa na Mbowe!

Zitto kwa usaliti wote ule akosamehewa nitawashangaa sana chadema

Give me a break Mungi.

Huyu Jamaa alilipiwa ada ya chuo na Mbowe?? Ee Mungu Tuhurumie!

Kwa hiyo shukrani yake anamlipa Mbowe ni kumuanzishia Uasi?

Masikini ya Mungu.Kumbe Mbowe anatukanwa matusi yote na mtu aliyemlea kama mdogo wake!
 
Last edited by a moderator:
Hili ndio tatizo kubwa la Chadema, hakuna nidhamu ktk ofisi pale HQ, Nyaraka za kiofisi maelezo yake yanawekwa mtandaoni. Kila anayekiona kitu ofisini saa hiyohiyo anajifanya mjanja wa kuwahi kubandika mtandaoni na viongozi hawaoni madhara yake. Hakuna siri kila mtu ni msemaji wa Chama. Maana yake record ofice ya chama ina makanjanja wasio na ethics. ndio maana siri nyingi za chama zinavuja.

nidhamu siyo eeh?

kwa hiyo wao wana nidhamu kuita media na kuanza matangazo......

fikiria ndugu kabla ya kuropoka, usukule ni sifa mbaya sana, I think you are way better than this, just a word of advice
 
Aisee..!!

Hii kweli ni Breaking News.Sasa kutapatapa kote huko na kuitisha mikutano inayofadhiliwa na CCM mwisho wake ni kuomba Radhi?

Chezeya Chadema weye?
kutuma barua za kujibu tuhuma haina maana kuwa wamekiri walifanya makosa,usikute wamekanusha..ngoja tusubiri hiyo press yao.
 
Chochea kuni vibaya sanaaaaa chochea kuni weweee
 
Zitto asipofukuzwa nitasikitika sana.............. Unless akiri usaliti wake wote alioufanya ikiwemo kupoteza maisha ya watu, alivyoshiriki kuunda uhuni dhidi ya Lwakatare kwa kumtengeneza Dennis Msaki na Ludovic kama karata ya ushindi nk.

Haya naamini hayatoki moyoni ni kauli ya nataka sitaki. Mimi ninaamini katika Mungu kwahiyo kama zitto ni mpango wa Mungu ataweza kushine ground yoyote. Naamini kuwa jamaa ni mtu mwema na mpiganaji na haya siyasemi kiushabiki ila ni kutokana na yale aliyokwisha watendea watanzania. Kama wewe hudhamini mchango wake basi wale maskini kule kijijini wanaopata tabu ya maji wanamshukuru Zitto na Mungu anayaona. Kumshambulia kwa njia yoyote ile zitto ni kupambana GOd's will. Sidhani kama mtashinda. Mfukuzeni wala haina haja kupitapita kwenye majukwaa kupima upepo.
 
Kama kweli wamekili kosa wasamehewe
Msamaha unaendana na malipizi!! Lazima kwanza waueleze umma jinsi walivyotumika kuivuruga CDM bila kuficha!!! Baada ya hapo ndio nguvu ya umma itatoa hukumu!
 
Hamuwezi kumfukuza nyinyi Wachaga,Na me naombea mumfukuze tuwe na ya kusema,wakanda wakubwa kudadadeki!!!Chama kinaniuma hiki ningekuwa na uwezo ningekifuta.Yan kila kitu wao Ukabila ,Ukanda ,Udini,Ulaghai.

Wewe ni mkuu, ndu. Hata baba yako hana uwezo wa kukifuta Cdm sembuse wewe Busha!!
Kama chama hiki ni cha Ukanda si wajiunge Nccr chama cha watu wa Kigoma?
 
Give me a break Mungi.

Huyu Jamaa alilipiwa ada ya chuo na Mbowe?? Ee Mungu Tuhurumie!

Kwa hiyo shukrani yake anamlipa Mbowe ni kumuanzishia Uasi?

Masikini ya Mungu.Kumbe Mbowe anatukanwa matusi yote na mtu aliyemlea kama mdogo wake!

Zitto alilipiwa ada na Mbowe, leo anatembea na hammer haijulikani fedha kapata wapi wakati hana hata kioski. Amejisahau kabisa kweli briefcase mwanaharamu!!
 
Last edited by a moderator:
Hili ndio tatizo kubwa la Chadema, hakuna nidhamu ktk ofisi pale HQ, Nyaraka za kiofisi maelezo yake yanawekwa mtandaoni. Kila anayekiona kitu ofisini saa hiyohiyo anajifanya mjanja wa kuwahi kubandika mtandaoni na viongozi hawaoni madhara yake. Hakuna siri kila mtu ni msemaji wa Chama. Maana yake record ofice ya chama ina makanjanja wasio na ethics. ndio maana siri nyingi za chama zinavuja.

Wakati wewe unapigania umakini juu ya siri na matumizi ya ofisi ya chama Molemo ndio jembe lao..muone..

Aisee..!!

Hii kweli ni Breaking News.Sasa kutapatapa kote huko na kuitisha mikutano inayofadhiliwa na CCM mwisho wake ni kuomba Radhi?

Chezeya Chadema weye?
 
Last edited by a moderator:
Ana tamaa na sidhani kama Zito atajirekebisha hata akisamehewa,nashindwa kuelewa kwann asijifunze kupitia rafiki ake Kafulila?Hata akisamehewa akatwe mikono yote(namaanisha asirudishiwe vyeo vyake)maana atainyea tena.
 
ule usemi samaki anaujaja akiwa ndani ya maji umetimia.. Baada ya kushindwa kukihujumu chama kwa mbinu mbalimbali ikiwemo ya kushambulia mikutano ya Dr Slaa na kutoa matamko ya kipuuzi wakiqatumia viongozi mbalimbali wale wasaliti waliokwapuliwa vyeo vyao ndani chadema na kinachosubiliwa ni kupokonywa uanachama wao Zitto, Kitila na Samson Mwigamba wamejisalimisha jana baada ya kujibu barua waliyotumia na kuomba wasamehewa wasinyang'anywe uanachama kuwa wanamapenzi na chama..


conspiracy.gif
 
Acha kujifundisha ujinga wewe!!!
Kuropoka kote kwenye media waliacha nini? hawakupata tuhuma dhidi ya uongozi uliopo ndiyo maana wamesaidiwa na ccm kuunda uwongo!!
Kama Zitto mjanja wakati anasema chama hiki kimemtoa mbali angeongezea kuwa hata ada za chuo alilipiwa na Mbowe!

Zitto kwa usaliti wote ule akosamehewa nitawashangaa sana chadema
hata madiwani waliamini wananguvu kuliko chama..
 
Acha kujifundisha ujinga wewe!!!
Kuropoka kote kwenye media waliacha nini? hawakupata tuhuma dhidi ya uongozi uliopo ndiyo maana wamesaidiwa na ccm kuunda uwongo!!
Kama Zitto mjanja wakati anasema chama hiki kimemtoa mbali angeongezea kuwa hata ada za chuo alilipiwa na Mbowe!

Zitto kwa usaliti wote ule akosamehewa nitawashangaa sana chadema

Usishangae tu uhame Kabisaa na chama.
 
anaomba asamehewe?
Akili inaomba njia.....0.02/990kb
waliowa2ma wameona wakitoka cdm hawatapata siri wamewaamuru wabaki waendelee na fake deal yao. nyinyiem wamemkamata kijana mwenze2. nakuhusu waliojiuzulu nao wataomba warudi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom