Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,479
Hakuna dikteta anaeenda mbinguni.Eti mbinguni 🤣🤣🤣🤣
Huoni hata aibu
Madikteta wote ufanya Kazi ya shetani
Hakuna dikteta anaeenda mbinguni.Eti mbinguni 🤣🤣🤣🤣
Huoni hata aibu
Hakuna dikteta anaeenda mbinguni.
Madikteta wote ufanya Kazi ya shetani
maiti inararuriwa kwasababu ya roho mbaya aliyokuwa nayo.hapa hawamwagi nyongo wanajichoresha na kutafuka kick tu.
chadema wenyewe washashtuka?hawataji jina la jpm ktk mambo ya kis3nge kabisa.
Mkuu naomba nikuulize jambo dogo, kumbe ukiwa mtu wa idara basi unajitoa kuwa mtu wa Mungu.........yaani unataka kutuaminisha idara inafanya kazi ya ibilisi?Kadinali Mapengo ni mtu wa idara tangu kpndi cha Mchonga,yeye yupo kwenye desk ya religion so,huyo siyo mtu wa Mungu kama wengi mnavyodhani...kuna operations nyingi sana huwa anashiriki.By the way uliwahi kumsikia akiikosoa ccm?
Na wewe kakupaka lini?Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Hivi huwa mnajuaje kwamba amempumzika? Kuna aliyekwenda na akarudi kusimulia?Tumuache apumzike kwa kweli,haisaidii kitu kabisa .View attachment 1984716
Maandiko yameandika samehe saba mara sabini ili uishi miaka mingiHuyo hana cha kupumzika,kuna damu zisizo na hatia zinamlilia Mungu Muumba wa vyote na matokeo yake adhabu anaibeba yeye Shaitwan wa Chattle land...aliua,alilawiti watu,alitesa watu na kuwatendea ubaya mwingi sana!
Magufuli hakuwa Mungu bro, alikuwa ni mwanadamu wa kawaida kabisa ambaye anatenda mambo mazuri na anatenda makosa kama wengine. Waache wanaomkosoa watiririke, kama kuna legacy nzuri iliyoachwa na JPM itajisemea yenyewe.Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Sijawahi kuona una comments zaidi ya “Noma sana” hakika leo umetoa ya moyoni mkuu pole sanaHuyo hana cha kupumzika,kuna damu zisizo na hatia zinamlilia Mungu Muumba wa vyote na matokeo yake adhabu anaibeba yeye Shaitwan wa Chattle land...aliua,alilawiti watu,alitesa watu na kuwatendea ubaya mwingi sana!
Kuna mahubiri huwa tunakumbushwa kwamba kulingana na matendo yako, amali zako ulizochuma duniani (kwa kificho au kwa dhahiri) kuna ambao mateso yao yataanzia kaburini siku anazikwa mpaka siku ya kufufuliwa kwa ajili ya hukumu, na pia kuna ambao pepo wataanza kuionja kaburini siku wanazikwa mpaka siku ya hukumu.Unajuaje kama kuna kupumzika huko
maiti inararuriwa kwasababu ya roho mbaya aliyokuwa nayo.
Kabisa na wenyewe watakuwa wanapigania nafsi zao..Mufti na pengo hawana za kugawia watu mbingu
Kwanini wakeahe kumsema hayati jamani. Mbona nchi ina mambo mengi tu ya kusemea? Walisemee na la katiba basiHii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Ninamchukia Magu ndiyo lakini sitaki kuendekeza chuki binafsi kama huo mrupo wa jakaya Vicky kamata na yule opportunist wa kihaTumuache apumzike kwa kweli,haisaidii kitu kabisa .View attachment 1984716
Mtoa hoja fuatilia clips za yule comedian muha wa Kigoma ndiyo utajua kama kuna kupumzika huko ama laaHii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Hata nyerere mwenyewe aliwashughulikia ipasavyo wale wote waliomkosoa wazi wazi wengine walipotezwa,wengine walifungiwa wasitoke kwenye wilaya au kata zao wengine walikimbilia nje ya nchi kabisa.View attachment 1984708
Kwa kweli wamuache apumzike
Msamaha ni wa Mola utakutana nae kuzimu.Unajua kuna wahalifu wa kutisha wanatubu dakika za mwisho za uhai wao na wanapata msamaha kwa Mungu? unakijua kisa cha yule mhalifu sugu aliyesulubiwa pamoja na Yesu? alitubu palepale msalabani na Yesu akamwambia leo hii utakuwa pamoja nami peponi......kuna roho ya kufanya toba ya kweli ilimjia na palepale dakika chache kabla ya kufariki akapata wokovu, acha kabisa mambo haya.........
Nje ya mshahara hawana ujanja wa kuishi hawaHuyo vicky labda anatafuta arudishwe
Kwenye ulaji
Biashara,kazi kihuhalali mtaani ni ngumu
Ova
Magufuli awe mbinguni!!!!????Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.