Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,127
- 6,764
Kumsema Hayati ni dawa?Comrade tulia watu wamwage nyongo zao.
Pia wafuasi wake tulieni dawa iwaingie.
Kumsema Hayati ni dawa?Comrade tulia watu wamwage nyongo zao.
Pia wafuasi wake tulieni dawa iwaingie.
Mengi uliyoeleza si kushindwa kwa binafsi, ni kutiliwa kauzibe na wenye chuki, pia ya mume wake si kushindwa kwake.VK anamachungu m UWT huyo manake alivurugwa kuanzia kwenye ubunge kule aliposhindwa mwenyewe, akavurugika na.kutapeliwa ndoa then akavurugwa baada ya aliyekua mume wake kushushwa vyeo pale wizara ya fedha katibu mkuu enzi hizo wanaitwa kutumumbuliwa hazina....spana zikakaza kwenye family level....mr akastrugle kujitafutia kazi AU kule serikali ya JPM ikamkazia kurelaease ruhusa....guarantee....mwishowe furasitiresheni na stress za jobless zikachukua maisha yake RIP.
Isitoshe ubunge wa 2020 pia aliangukia pua nose
Sasa Mrs mdogo ana machungu na hata hajui kwamba sasa hivi ni timeless.
Wengine ni chuki tu bila kutaka kuyakubali majira. Unamuangushia mtu lawama for your own failures
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Yupo mbinguni?Nikimkuta naondoka zangu.Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
W.T.F!!!!! Mafuta matakatifu?????????? Mungu hadhihakiwi nduguUkipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Hawa ndio team Msonga originally
Pumbavu zao shamba la Bibi!!!!
Haisaidii chochote kwa sasa bwashee.
Mufti Abubakar na Kardinali Pengo walimsafishia njia Magufuli kuelekea mbinguni!
huu upuuzi huwa mnautoa wapi? brainwash ni mbaya sanaUkipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Teh teh teh teh....nyie Watanzania bhana teh teh teh teh....Msonga ndio wapi? Kama ni Chalinze panaitwa MSOGA nyumbani kwa Vasco Dagama!!!
Chuma kinaliwa na mafinyo finyo hukoFighting with dead body.
Marehemu kama alikuwa katili kwa pumbavu kama hizi yuko sawa kabisa na Mungu amrehemu huko aliko na tunaomba sana aje katili zaidi yake apambane na hizi Pumbavu/ RIP Nzilakende Mwamba wa Chato Pumzika kwa amani Chuma.
Mwendazake hayupo mbinguni"Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Endelea kufanya ufirauni hapa duniani ukategemea mafuta ya pengo.Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Aliyempatia hayo yanayoitwa mafuta hakuwa na udhu wa kufanya hivyoUkipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Chuma kinaliwa na mafinyo finyo huko
MkuuHii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.