Zitto Kabwe na Vicky Kamata mwacheni hayati Magufuli apumzike kwa amani huko mbinguni

VK anamachungu m UWT huyo manake alivurugwa kuanzia kwenye ubunge kule aliposhindwa mwenyewe, akavurugika na.kutapeliwa ndoa then akavurugwa baada ya aliyekua mume wake kushushwa vyeo pale wizara ya fedha katibu mkuu enzi hizo wanaitwa kutumumbuliwa hazina....spana zikakaza kwenye family level....mr akastrugle kujitafutia kazi AU kule serikali ya JPM ikamkazia kurelaease ruhusa....guarantee....mwishowe furasitiresheni na stress za jobless zikachukua maisha yake RIP.

Isitoshe ubunge wa 2020 pia aliangukia pua nose

Sasa Mrs mdogo ana machungu na hata hajui kwamba sasa hivi ni timeless.

Wengine ni chuki tu bila kutaka kuyakubali majira. Unamuangushia mtu lawama for your own failures

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Mengi uliyoeleza si kushindwa kwa binafsi, ni kutiliwa kauzibe na wenye chuki, pia ya mume wake si kushindwa kwake.
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Yupo mbinguni?Nikimkuta naondoka zangu.
 
Pengo huyu huyu? Kuhani anajisifu kuwa safi kwa nje ila ndani amejaa unafiki?
Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.

Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
 
we taga acha watu wafunguke bana miaka ya jiwe ilikua migumu sana , watu wameteswa wameuawa wamebambikiwa kesi wameokotwa kwenye viroba etc, hiyo mbingu unayoongelea sijui ni ipi sema atakua anaungua motoni huko maana alikua katili sana yule bwana
 
Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.

Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
W.T.F!!!!! Mafuta matakatifu?????????? Mungu hadhihakiwi ndugu
 
Bwashee nan aliekwambia huko kuna mapmziko nan???huko ni mkong'oto wa milele au raha ya milele.Na kwa namna huyo kiumbe alivyoumiza wenzake acha apate anachostahik
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Mwendazake hayupo mbinguni"
 
Alivyokuwa hai na madarakani hakuruhusu mijadala kumhusu yeye, kila aliyeandika kumhusu yeye kum challenge mnajua kilichomkuta, kwa hiyo ni kweli acheni watu wamwange nyogo zako leo.

Kama angeruhusu haya wakati wa uhai wake yangekuwa ni marudio na hakuna angejali, ila kwa sasa haya ni habari tena moto moto.
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Mkuu

Huyo msanii wa nyimbo ana nongwa baada ya bwanake kutumbuliwa akiwa mkuu wa mkoa wa Morogoro na yeye kutoteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu kwa kipindi chote cha utawala wake.

Wezi wote lazima wajitokeze hadharani kwa sasa kwa kuwa hakuna wa kuwakemea
 
Back
Top Bottom