Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 11,078
- 22,534
Asante sana ww usie na matatizoUna matatizo makubwa bila kujijua... pole sana!!
Asante sana ww usie na matatizoUna matatizo makubwa bila kujijua... pole sana!!
Na yeye Ana siku zake....!!!?Naona bado vita na marehemu inaendelea.
Kwahiyo Prop Assad anarudi kwenye kiti chake kumalizia siku zake.?
Hivi kati ya sheria na dhamira kipi kifuate? na kwani Katiba sio sheria?Kiongozi mwenye dhamira njema, kabla ya sheria, anazingatia katiba. Mtu mwovu kama alivyokuwa marehemu, wakati wote anatafuta mwanya utakaomwezesha kutenda uovu.
Magufuli alimwondoa Asad baada ya report yake iliyoonesha utawala wa Magufuli ulikuwa amepora 2.4 trillion. Hiyo pesa mpaka leo haijawekwa wazi ilikopelekwa japo kuna tetesi zenye nguvu zinazoeleza kuwa alienda kuzificha Canada, akitumia mwanya wa kununua ndege.
Kwa mujibu wa barua ya kujiuzulu Ndugai ni kwamba alijiuzulu kwa hiari yake mwenyewe, hakulazimishwa na mtu.Umeelewa lakini? Kilichopo ni mgongano kati ya Sheria na Katiba! Katiba inatamka kuwa mkaguzi mkuu atatumikia mpaka afikishe miaka 60 ndipo astaafu lakini sheria ya ukaguzi inatoa mwanya kuwa mkaguzi mkuu atakuwa na vipindi viwili vya utumishi katika kiti chake, yaani miaka 5 ya kwanza then ikimpendeza Rais atamteua tena, kwaiyo Magufuli aliutumia mwanya wa sheria ambayo inafafanunua Katiba, wakati uo Zitto alienda Mahamani kupinga kifungu hicho cha Sheria na kwa mujibu wa Sheria zetu, sheria yoyote inayokinzana na Katiba basi kifungu hicho ni batili.
Sheria za namna hii tunazonyingi sana katika Taifa letu! Ata lile la Ndugai kulazimishwa kujiuzulu ni sawa tu na ili la Assad sapo wanaoamua wanaangalia upepo kuwa sasahivi Magufuli hayupo basi hakuna cha kuhofia, ila now Samia yupo ndiye alitefanya Ndugai atoke basi ili haliwezi kukubaliwa kule!
Unaweza sema bora Magufuli alitumia mwanya wa kisheria kukinzana na Katiba ila Samia hakutumia lolote kwa Ndugai zaidi ya power aliyonayo.
La Ndugai nenda Mahakamani na wewe kama Zitto Kabwe. Acha kulialia hapa msukule wa Magufuli sukuma gang wahedi.Kwani hilo na yule aliemuandikia Barua Ndugai ajiuzulu yana tofauti gani? Si yaleyale tu? Ata kwenye vyaka vyetu yapo, sawa tu na kufukuzwa kwa kina Prof Kitila Mkumbo. Kama ni hivi tuna vichaa wengi sana.
Magufuli alikuwa ni mvunja katiba mkubwa. Ila hizo mahakama kama angekuwa hai bado zingetoa hukumu ya kumfurahisha. Bila katiba mpya tena kwa njia ya machafuko, tusitegemee hatua zozote kuchukuliwa kwa hawa walevi wa madaraka.
Cc: UHURU JR
Sasa udini Upo wapi hapo?? Hii nchi Ngumu sana, Wewe ndio mdini mkubwa kabisa. Avoid hatred to the Muslims, Hii ni nchi yetu soteZitto na genge lake Udini unawasumbua sana. Acheni siasa za kupambana na Ukristo pimbi nyie
Unajua sheria husika inasemaje?!Magufuli aliamua kutoongeza mkataba wa Asaad. Sheria ilimruhusu kufanya hayo. Leo mahakama inasema ile sheria inapingana na katiba. Sheria yenyewe iliwekwa kabla Magufuli hajawa rais wa JMT. Sasa hapo Magufuli ana kosa gani?
Usimpangie Zitto Kabwe kesi ya kufungua Mahakama Kuu. Mahakama ni haki ya kila Mtanzania kupata haki. Kwa vile wewe denooJ umeona mapungufu, nakushauri uende Mahakamani hata kesho ukaombe tafsiri hiyo.Mwanzo mzuri kwa Zitto, hongera kwake. Lakini namshauri asiishie hapo, kama kweli anajiona amekuwa mtetezi wa Katiba basi namtaka kesho arudi tena mahakamani kumfungulia Samia kesi yake kwa kupinga kwake kufanyika mikutano ya siasa kinyume cha Katiba.
Akifanya hivi ndio nitakuwa na imani nae, kinyume na hapo ameamua kujikosha tu kwa kumtumia Magufuli kwa manufaa yake kisiasa, sitachelewa kumuita mnafiki.
Nakukulia Mama Tanzania ikiwa miongoni mwa raia wako ni watu kama huyu hapa 👆Zitto na genge lake Udini unawasumbua sana. Acheni siasa za kupambana na Ukristo pimbi nyie
Magufuli alikosea katika hili ila kilichotokea hapa ni unafki tu ni muendelezo wa vita dhidi ya marehemu, wale wenye chuki na Magufuli kwao hii ni habari inayowafurahisha sana ila hakuna jipya.Magufuli alikuwa ni mvunja katiba mkubwa. Ila hizo mahakama kama angekuwa hai bado zingetoa hukumu ya kumfurahisha. Bila katiba mpya tena kwa njia ya machafuko, tusitegemee hatua zozote kuchukuliwa kwa hawa walevi wa madaraka.
Cc: UHURU JR
So what......? Genge la wachumia tumbo lipo front line kwa sasa..... It is very known..... Kazi njemaAmeandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter
Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.
View attachment 2436886
Chuki tena?!Magufuli alikosea katika hili ila kilichotokea hapa ni unafki tu ni muendelezo wa vita dhidi ya marehemu, wale wenye chuki na Magufuli kwao hii ni habari inayowafurahisha sana ila hakuna jipya.
Tena wale walio zoea ubadhilifu na mirija yao kukatwa na marehemu.....Magifuri mpaka afikishe miaka 60 kaburini nahisi atasemwa sana na watanzania
Naona bado vita na marehemu inaendelea.
Kwahiyo Prop Assad anarudi kwenye kiti chake kumalizia siku zake.?
Hii single ishachuja kitambo sana...Tena wale walio zoea ubadhilifu na mirija yao kukatwa na marehemu.....
Ndio nei ya mchele itashuka?
Ndio bei za mfuta zitashuka?
Ndio mfumuko wa bidhaa uliofikia 200% utashuka?