Zitto Kabwe: Iundwe Kampuni ya Uendeshaji wa Bandari, TPA na DP World ziwe na Umiliki Sawa (50/50), Azimio sio Mkataba wa Uendeshaji

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe

"Azimio sio Mkataba wa uendeshaji (concession agreement) wala sio Mkataba wa Uwekezaji (HGA). Azimio la Bunge ni ruhusa tu ya kuanza kujadiliana hiyo mikataba mingine. Azimio hili litakufa kibudu pasipokuwa na makubaliano yatakayofikiwa ndani ya miezi 12. Tunaweza kuboresha na kufaidika iwapo tukiamua. Tazama A GLASS HALF FULL sio A GLASS HALF EMPTY"

"Kampuni ya uendeshaji wa Bandari itakayoundwa Kwa Mujibu wa Makubaliano ya Tanzania na Dubai imilikiwe Sawa kwa Sawa kati ya DP World na TPA. Wao wana Fedha na teknolojia, Sisi tuna Bandari. Tuunde 50-50 JV. Tukijenga uwezo wetu wa ndani tutaweza kuwanunua na tukawa 100%. Tulifanya hivyo Uwanja wa KIA. Pale KIA tulikodisha kwa Kampuni ya Afrika Kusini na Uingereza. Baadaye Serikali ikachukua Hisa na hatimaye KADCO sasa inamilikiwa na Serikali. Uendeshaji wa Huduma za Bandari ( operatorship ) unaweza kufanywa na Sekta Binafsi (rejea msimamo wa kisera wa ACT Wazalendo ktk picha ). Mamlaka ya Bandari kisheria ni LANDLORD. Njia sahihi kwa Bandari ya Dar ni Kampuni ya Uendeshaji kumilikiwa 50-50 kati ya TPA na Mwekezaji!"


"Tunaweza kujadiliana kwa staha. Huna sababu kuhamaki na kuita Watu majina mabaya. Kilichopitishwa na Bunge ni Azimio ya Ushirikiano baina ya Nchi Mbili ambalo lisipotekelezwa kwa miezi 12 litajifia. Azimio lina matobo mengi ambayo ni muhimu yazibwe kwa Serikali yetu kutaka ‘addendums’. Jambo muhimu na kubwa ni kuwa kuna Mkataba wa Uwekezaji (HGA) Hata majadiliano bado na huu ndio haswa utakaoamua aina ya Uwekezaji utakaofanyika. Huo Ndio utaunda Kampuni hapa nchini ambayo Ndio itaingia hayo makubaliano ya kuendesha Bandari. Hapo ndipo tunapaswa kutaka umiliki Sawa wa Kampuni hiyo ya uendeshaji. Ni muhimu Sana katika masuala mazito kama haya kutofautisha UKWELI na HISIA. Feelings Hata Mbwa anazo. Mwanadamu anafanya maamuzi kwa kutazama FACTS. Hata hivyo, ninatambua, ninaelewa na ninathamini FEELINGS zako na za wengine katika jambo hili. Bahati mbaya Mie sio mtu anayetazama mambo kwa hisia bali natazama mambo kwa ukweli."

 
Mawazo ya Zitto ya kuunda kampuni moja yenye wabia TPA na DPW kwa mgawanyo wa hisa 50/50 ulipaswa kufanyika mapema hata bila kuhusisha DPW.

Zitto mwenyewe ni shahidi, kwa kipindi chote cha uwakilishi wake bungeni waliwahi kuazimia kuwa mashirika na makampuni yote ya Serikali yaorodheshwe kwenye soko la hisa. Kwa nini wazo hili analileta sasa ambapo DPW imeibuliwa kuja kuendesha bandari?

Binafsi, kwa wazo la Zitto ningeshauri kampuni hiyo inayooundwa na TPA/DPW ijiorodheshe kwenye soko letu la hisa DSE ili watanzania wanunue hisa...Kama ilivyo Sasa Twiga Cement, TCC, CRDB na NMB ...wameweza na watanzania wanafaidika kwa umilili wao, kwa nini isiwe hivyo kwa TPA? Kwa nini isiwe hivyo kwa TANAPA, ATCL TRL...nk??
 
Ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe

"Azimio sio Mkataba wa uendeshaji (concession agreement) wala sio Mkataba wa Uwekezaji (HGA). Azimio la Bunge ni ruhusa tu ya kuanza kujadiliana hiyo mikataba mingine. Azimio hili litakufa kibudu pasipokuwa na makubaliano yatakayofikiwa ndani ya miezi 12. Tunaweza kuboresha na kufaidika iwapo tukiamua. Tazama A GLASS HALF FULL sio A GLASS HALF EMPTY"

"Kampuni ya uendeshaji wa Bandari itakayoundwa Kwa Mujibu wa Makubaliano ya Tanzania na Dubai imilikiwe Sawa kwa Sawa kati ya DP World na TPA. Wao wana Fedha na teknolojia, Sisi tuna Bandari. Tuunde 50-50 JV. Tukijenga uwezo wetu wa ndani tutaweza kuwanunua na tukawa 100%. Tulifanya hivyo Uwanja wa KIA. Pale KIA tulikodisha kwa Kampuni ya Afrika Kusini na Uingereza. Baadaye Serikali ikachukua Hisa na hatimaye KADCO sasa inamilikiwa na Serikali. Uendeshaji wa Huduma za Bandari ( operatorship ) unaweza kufanywa na Sekta Binafsi (rejea msimamo wa kisera wa ACT Wazalendo ktk picha ). Mamlaka ya Bandari kisheria ni LANDLORD. Njia sahihi kwa Bandari ya Dar ni Kampuni ya Uendeshaji kumilikiwa 50-50 kati ya TPA na Mwekezaji!"


"Tunaweza kujadiliana kwa staha. Huna sababu kuhamaki na kuita Watu majina mabaya. Kilichopitishwa na Bunge ni Azimio ya Ushirikiano baina ya Nchi Mbili ambalo lisipotekelezwa kwa miezi 12 litajifia. Azimio lina matobo mengi ambayo ni muhimu yazibwe kwa Serikali yetu kutaka ‘addendums’. Jambo muhimu na kubwa ni kuwa kuna Mkataba wa Uwekezaji (HGA) Hata majadiliano bado na huu ndio haswa utakaoamua aina ya Uwekezaji utakaofanyika. Huo Ndio utaunda Kampuni hapa nchini ambayo Ndio itaingia hayo makubaliano ya kuendesha Bandari. Hapo ndipo tunapaswa kutaka umiliki Sawa wa Kampuni hiyo ya uendeshaji. Ni muhimu Sana katika masuala mazito kama haya kutofautisha UKWELI na HISIA. Feelings Hata Mbwa anazo. Mwanadamu anafanya maamuzi kwa kutazama FACTS. Hata hivyo, ninatambua, ninaelewa na ninathamini FEELINGS zako na za wengine katika jambo hili. Bahati mbaya Mie sio mtu anayetazama mambo kwa hisia bali natazama mambo kwa ukweli."


Hilo ni wazo jema kabisa.
 
Sifa za dalali kila siku anasubiri upande upi nitapata fedha ya kununulia mashamba
 
Kwahiyo tangu mwaka Jana hao DP wapo hapo bandarini au? Yaani wameshaanza kufanya kazi?
Kama azimio sio mkataba mbona waarabu walishaanza utekelezaji tangu October 2022?

Zitto ni wakala wa shetani, wanahangaika kuficha udhalimu aliotufanyia Samia.
 
Dalali bana! Wanasheria wote wanasema huu mkataba ni binding, yeye huko na digree zake za supply and demand anasema sio mkataba. Dalali rangi zake zinazidi kujifunua
Zito huwa hana uelewa wa mambo mengi ila anapofanya argument hufanya kwa confidence kama vile ana uelewa.

Kuna wakati niliwahi kubishana naye kwenye masuala mengi ya fani yangu. Tayari alikuwa amewapotosha watu. Baadaye nikamwelesha, mwanzoni alikuwa mbishi, alipoona hana pa kusimamia, na wote wamelewa nilichokuwa nawaelimisha, akaadmit kwa sentensi moja fupi yenye maneno mawili.

Hata kwenye hili, Zito labda hajaelewa au ameamua kupotosha.

Kilichosainiwa na kuridhiwa na Bunge ni mkataba mama. Mikataba mingine yote itafuata kilichopo kwenye mkataba huu mama. Huu ndiyo mkataba mkuu. Hiyo mingine yote itakayofuata itakuwa ya siri, na wala hamtaweza kujua kilichosainiwa lakini kitalazimika kuwa ndani na siyo nje ya mkataba mkuu. Hata mkishtakiana, utatazamwa kwanza mkataba mkuu maana ndiyo refefence ya mikataba itakayofuata.
 
Kama azimio sio mkataba mbona waarabu walishaanza utekelezaji tangu October 2022?

Zitto ni wakala wa shetani, wanahangaika kuficha udhalimu aliotufanyia Samia.
Wana. Miezi 12 ya wao kutazama (assessment) na sisi kutazama (assessment) kabla ya kuingia mikataba rasmi ya uendashaji, nu lazima kila mmoja aangalie maslahi yake.

Ni. Win win win situation.

Ushindi kwetu, usshindi kwa DP World , ushindi kwa watumiaji wa bandari.
 
Ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe

"Azimio sio Mkataba wa uendeshaji (concession agreement) wala sio Mkataba wa Uwekezaji (HGA). Azimio la Bunge ni ruhusa tu ya kuanza kujadiliana hiyo mikataba mingine. Azimio hili litakufa kibudu pasipokuwa na makubaliano yatakayofikiwa ndani ya miezi 12. Tunaweza kuboresha na kufaidika iwapo tukiamua. Tazama A GLASS HALF FULL sio A GLASS HALF EMPTY"

"Kampuni ya uendeshaji wa Bandari itakayoundwa Kwa Mujibu wa Makubaliano ya Tanzania na Dubai imilikiwe Sawa kwa Sawa kati ya DP World na TPA. Wao wana Fedha na teknolojia, Sisi tuna Bandari. Tuunde 50-50 JV. Tukijenga uwezo wetu wa ndani tutaweza kuwanunua na tukawa 100%. Tulifanya hivyo Uwanja wa KIA. Pale KIA tulikodisha kwa Kampuni ya Afrika Kusini na Uingereza. Baadaye Serikali ikachukua Hisa na hatimaye KADCO sasa inamilikiwa na Serikali. Uendeshaji wa Huduma za Bandari ( operatorship ) unaweza kufanywa na Sekta Binafsi (rejea msimamo wa kisera wa ACT Wazalendo ktk picha ). Mamlaka ya Bandari kisheria ni LANDLORD. Njia sahihi kwa Bandari ya Dar ni Kampuni ya Uendeshaji kumilikiwa 50-50 kati ya TPA na Mwekezaji!"


"Tunaweza kujadiliana kwa staha. Huna sababu kuhamaki na kuita Watu majina mabaya. Kilichopitishwa na Bunge ni Azimio ya Ushirikiano baina ya Nchi Mbili ambalo lisipotekelezwa kwa miezi 12 litajifia. Azimio lina matobo mengi ambayo ni muhimu yazibwe kwa Serikali yetu kutaka ‘addendums’. Jambo muhimu na kubwa ni kuwa kuna Mkataba wa Uwekezaji (HGA) Hata majadiliano bado na huu ndio haswa utakaoamua aina ya Uwekezaji utakaofanyika. Huo Ndio utaunda Kampuni hapa nchini ambayo Ndio itaingia hayo makubaliano ya kuendesha Bandari. Hapo ndipo tunapaswa kutaka umiliki Sawa wa Kampuni hiyo ya uendeshaji. Ni muhimu Sana katika masuala mazito kama haya kutofautisha UKWELI na HISIA. Feelings Hata Mbwa anazo. Mwanadamu anafanya maamuzi kwa kutazama FACTS. Hata hivyo, ninatambua, ninaelewa na ninathamini FEELINGS zako na za wengine katika jambo hili. Bahati mbaya Mie sio mtu anayetazama mambo kwa hisia bali natazama mambo kwa ukweli."


Strange!, Kwa hiyo wooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooote waliotoa mawazo yao ni wajinga? Lisu, Fatma, TLS, na wengine hawajui maana ya hizo terminologies za Concession agreement, HGA and the like?
 
Dalali bana! Wanasheria wote wanasema huu mkataba ni binding, yeye huko na digree zake za supply and demand anasema sio mkataba. Dalali rangi zake zinazidi kujifunua
Ni azimio binding kwa pande zote sio kwa Tanzania tu.

. Hakuna azimio la mashirikiano ya nchi mbili au zaidi usiokuwa binding.
 
Ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe

"Azimio sio Mkataba wa uendeshaji (concession agreement) wala sio Mkataba wa Uwekezaji (HGA). Azimio la Bunge ni ruhusa tu ya kuanza kujadiliana hiyo mikataba mingine. Azimio hili litakufa kibudu pasipokuwa na makubaliano yatakayofikiwa ndani ya miezi 12. Tunaweza kuboresha na kufaidika iwapo tukiamua. Tazama A GLASS HALF FULL sio A GLASS HALF EMPTY"

"Kampuni ya uendeshaji wa Bandari itakayoundwa Kwa Mujibu wa Makubaliano ya Tanzania na Dubai imilikiwe Sawa kwa Sawa kati ya DP World na TPA. Wao wana Fedha na teknolojia, Sisi tuna Bandari. Tuunde 50-50 JV. Tukijenga uwezo wetu wa ndani tutaweza kuwanunua na tukawa 100%. Tulifanya hivyo Uwanja wa KIA. Pale KIA tulikodisha kwa Kampuni ya Afrika Kusini na Uingereza. Baadaye Serikali ikachukua Hisa na hatimaye KADCO sasa inamilikiwa na Serikali. Uendeshaji wa Huduma za Bandari ( operatorship ) unaweza kufanywa na Sekta Binafsi (rejea msimamo wa kisera wa ACT Wazalendo ktk picha ). Mamlaka ya Bandari kisheria ni LANDLORD. Njia sahihi kwa Bandari ya Dar ni Kampuni ya Uendeshaji kumilikiwa 50-50 kati ya TPA na Mwekezaji!"


"Tunaweza kujadiliana kwa staha. Huna sababu kuhamaki na kuita Watu majina mabaya. Kilichopitishwa na Bunge ni Azimio ya Ushirikiano baina ya Nchi Mbili ambalo lisipotekelezwa kwa miezi 12 litajifia. Azimio lina matobo mengi ambayo ni muhimu yazibwe kwa Serikali yetu kutaka ‘addendums’. Jambo muhimu na kubwa ni kuwa kuna Mkataba wa Uwekezaji (HGA) Hata majadiliano bado na huu ndio haswa utakaoamua aina ya Uwekezaji utakaofanyika. Huo Ndio utaunda Kampuni hapa nchini ambayo Ndio itaingia hayo makubaliano ya kuendesha Bandari. Hapo ndipo tunapaswa kutaka umiliki Sawa wa Kampuni hiyo ya uendeshaji. Ni muhimu Sana katika masuala mazito kama haya kutofautisha UKWELI na HISIA. Feelings Hata Mbwa anazo. Mwanadamu anafanya maamuzi kwa kutazama FACTS. Hata hivyo, ninatambua, ninaelewa na ninathamini FEELINGS zako na za wengine katika jambo hili. Bahati mbaya Mie sio mtu anayetazama mambo kwa hisia bali natazama mambo kwa ukweli."


Paulo atamcheka sana!
 
Wana. Miezi 12 ya wao kutazama (assessment) na sisi kutazama (assessment) kabla ya kuingia mikataba rasmi ya uendashaji, nu lazima kila mmoja aangalie maslahi yake.

Ni. Win win win situation.

Ushindi kwetu, usshindi kwa DP World , ushindi kwa watumiaji wa bandari.
Kagame Mola anamuona!
 
Back
Top Bottom