Keep it up brother!
Naona mawazo yako nia ya mtu aliyehuru na aliyetayari kutetea UKWELI
Tumeshuhudia wanachadema wengi humu wamtukana sana Zito, wamesema ahame chama, mara fisadi, mara nini na maneno kibao. walikuwa hawajui kuwa kuna adui anawaangalia na kaja kwa style ya chadema inataka kumuua Zitto, ambayo ama kwa hakika imewashtua wengi kuzingatia tuhuma kama hizo zilishakuwepo kwenye kifo cha Wangwe.
Adui kawapata wanatapatapa humu! na kujifanya wanakiua chama ili hali matendo yao wameishakiua siku nyingi.
Tulio nje wanamapinduzi tunaangalia na tuko tayari kusema ukweli daima, pasi kuegemea chama chochote kile
Long Live freedom of mind!!