Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,596
- 5,584
Jambo leo na dada zake zimeshakuathiri kisaikolojia (NDIO SABABU) :teeth:Sielewi kwa nn nimekosa imani na Zitto kwamba huenda anatumiwa na CCM.
Jambo leo na dada zake zimeshakuathiri kisaikolojia (NDIO SABABU) :teeth:Sielewi kwa nn nimekosa imani na Zitto kwamba huenda anatumiwa na CCM.
PJ Mh. Zito alijieleza sana hapa jamvini, lakini watu hawakutaka kumuelewa. Kuna fitna kubwa zinapikwa kwa ufundi mkubwa - imefikia hatua wanatafutwa vijana wasomi kwa hivi sasa, na kushawishiwa kutoka vyuo vikuu (hususan UDSM) ili waingie CDM kwa gharama zozote ili kufunika pengo za ZK wakifanikiwa kumbandua humo. na hili linafanyika ili kulifanikisha ni lazima kwanza ZK anuke, na akishanuka basi hakuna atakaemtaka (kwa mujibu wa fikra za adui zake na CDM pia)Angalau sasa inatia moyo kidogo!
...Nimekuwa naombe Zitto atoe kauli yeye mwenyewe binafsi, na ndiyo njia pekee ya kurudisha imani ya watu, hasa kipindi hiki anachoonekana kama anapishana na wenzie!...Zitto, wewe ni mwanaume, jaribu kubehave accordingly, kuwa na msimamo, ondoa hili wingu la mashaka linalokuzunguka broda!.
Dah...... kuna watu aisee, yaani kama vile wengine tunavyosema mtume' au yesu wangu, AU MAMA WEEE... KUNA WATU HATA WAKISKIA PAAA' WAWEZA SEMA ZITTOOOOO
balaah
Mimi ningekufa miaka kumi iliyopita nimeshaandikiwa SMS kibao zikinitishia kuniua sijawahi kwenda polisi wala sijawahi kudhuriwa ...............
its good u have come out clean,thanks broda we wre worrying!!
Froida!! Please naomba hayo mengine tuyaache tujadili mada kwanza, kwa sababu yatawatoa wengine nje ya mjadala.Mimi ningekufa miaka kumi iliyopita nimeshaandikiwa SMS kibao zikinitishia kuniua sijawahi kwenda polisi wala sijawahi kudhuriwa katika kila nchi kuna mahooligan mtu anatishia nyau basi ,kwa hiyo gazeti la uwazi waache siasa za maji taka,hawana la ziada kwenye nchi hii zaidi ya kuchuma fedha za wajinga wanaonunua magazeti hayo na huku Shigongo anayependa kulawiti makaka poa akijifanya mlokole