Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,487
- 86
you've made my day:A S-alert1:zito zito zioto zito sasahivi ni mwepesi tu kibaraka wa mafisadi.
ASULUBIWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
you've made my day:A S-alert1:zito zito zioto zito sasahivi ni mwepesi tu kibaraka wa mafisadi.
ASULUBIWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
enough is enough...kila siku zitto...nyie hamchoki??????? Am tired of this...same story every day...keep quiety pls.this is enough for zitto..zito zito zioto zito sasahivi ni mwepesi tu kibaraka wa mafisadi.
Asulubiweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
SI KWELI HAKUNA MTU WA KIGOMA ALIEMTUMA TENA UKIZINGATIA KIGOMA MJINI BADO WANA HASIRA ZA KUCHAKACHUA MATOKEO YALIYOMPA USHINDI PETER SELUKAMBA AMBAPO WATU WOTE WANAJUA WALICHAKACHUA.
sasa hayo ya zito kayatunga mwenyewe na wala hakupewa ushauri na mtu.
Wana JF naomba ufahamu wenu kwa hili.. kipindi Chadema wamesusia hotuba ya rais pale mjengoni(bungeni)..mengi yalisemwa lakini hili la Zitto Kabwe naomba msaada kidogo mimi ni shabiki wa Chadema na ningependa nijue kinachoendelea kwenye chama. Mheshimiwaa Zitto baada ya siku chache nilimsikia TBC akisema kwamba hakubaliani na uamuzi wa wabunge wengine wa Chadema, kwa madai ya kushinikizwa na wananchi wa kigoma akidai kwamba Mh. Kikwete ndie rais aliyefanya mambo mengi kigoma kuliko rais yeyote aliewahi kutawala Tanzania..Swali kwa wanaJF ni kweli madai ya Mh. Zitto ni sahihi? kwa mtazamo wangu Kigoma ndiyo mkoa nambari 1 uliochoka utawala wa ccm na rais wao, kwani ktk majimbo 6 ni 2 tu Ccm wameeza kuchakachua, iweje leo Mh, Zitto aseme alitumwa na wananchi kwamba Kikwete ndiye rais wao bora?? hapo vipi jamani!!
Zitto sio msaliti hata kidogo ila amesema ukweli wake. Kwa vile CHADEMA ni kama chama cha kifalme , na yeye anaonekana anataka kuchukua ufalme wao ndio maana wanamuwekea zengwe . Katika majimbo yote ya Kigoma, jimbo la zitto ndilo lenye barabara za lami, sasa unataka asiseme JK amemfanyia mambo mema??. Acheni kumwandama mtu anapokuwa mkweli, zitto ni kiongozi makini sana
duh kwa msingi wa lami basi wabunge wa kilimanjaro walitakiwa wamlambe miguu kwani mtandao wa lami umeenea mpk vijijini lkn nilidhani huo ni wajibu wa government ambao wamechelewa kuuteleza for 49 yrs kwa maeneo ambayo bado watie akiliZitto sio msaliti hata kidogo ila amesema ukweli wake. Kwa vile CHADEMA ni kama chama cha kifalme , na yeye anaonekana anataka kuchukua ufalme wao ndio maana wanamuwekea zengwe . Katika majimbo yote ya Kigoma, jimbo la zitto ndilo lenye barabara za lami, sasa unataka asiseme JK amemfanyia mambo mema??. Acheni kumwandama mtu anapokuwa mkweli, zitto ni kiongozi makini sana
23 September 2010
Na waandishi wetu
![]()
WAKATI kampeni zikipamba moto, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Zitto Kabwe, amekiri serikali ya CCM imejenga uchumi imara. Amepongeza utendaji kazi wa serikali za CCM na mafanikio yaliyopatikana katika utekelezaji wa Ilani yake ya uchaguzi.
Zitto anayewania ubunge Kigoma Kaskazini, alisema hayo juzi jioni katika Uwanja wa Mashujaa, alipomnadi mgombea ubunge wa Mtwara Mjini, kwa tiketi ya chama hicho, Jetha Othuman. Akizungumzia mafanikio ya serikali ya CCM, Zitto alimmwagia sifa Rais mstaafu Benjamin Mkapa, akisema amefanya mambo makubwa katika uongozi wake na kama kuna makosa ni ya kibinadamu.
Hakuna anayeweza kila kitu kama yapo yaliyomshinda huo ni ubinadamu, alisema Zitto na kuongeza kuwa, uchumi imara uliwezesha kushuka kwa mfumko wa bei. Aliwaponda watu wanadai serikali ya CCM inabagua wapinzani, akisema imekuwa ikitekeleza Ilani kwa kufikisha maendeleo hata kwenye maeneo yanayoshikiliwa na wapinzani.
Wanaosema serikali ya CCM inabagua katika kugawana keki ya taifa hao ni waongo, imefikisha maendeleo hata kwa wapinzani, alisema huku akitoa mfano wa maendeleo yaliyofanyika katika majimbo ya Karatu, Kigoma na Sumbawanga. Alisema Kigoma ni ngome ya upinzani, lakini imepiga hatua kubwa katika maendeleo, akitaja miradi mikubwa iliyotekelezwa ya barabara, maji na umeme.
Source: UHURU
Zitto sio msaliti hata kidogo ila amesema ukweli wake. Kwa vile CHADEMA ni kama chama cha kifalme , na yeye anaonekana anataka kuchukua ufalme wao ndio maana wanamuwekea zengwe . Katika majimbo yote ya Kigoma, jimbo la zitto ndilo lenye barabara za lami, sasa unataka asiseme JK amemfanyia mambo mema??. Acheni kumwandama mtu anapokuwa mkweli, zitto ni kiongozi makini sana
Bado sijakusoma maana umetoka kwenye pointi ya msingi. Tunachokikataa hapa ni zitto kujipendekekeza kwa jk eti kwa sababu amepeleka rami jimboni kwake hivyo wapigakura wake watamshangaa. Tunasema kupeleka rami jimboni si maamuzi ya jk ni maamuzi ya bunge kama jk anatumia udhaifu wa katiba kutoa upendeleo wa maendeleo basi haya ndo mapungufu ya katiba lakini zitto lazima afahamu kujengewa rami jimboni kwake siyo favour wanastaili wanachi wa jimbo hilo. Hivyo hana haja ya kumramba miguu jk pasipo sababu ya msingi.Ndugu Ngonini, kwa kadili nilivyosoma andiko kuhusiana na kauli ya KABWE naona kiini cha maelezo yake ilikuwa ni kutoa shukurani kwa Mh. Raisi kwa kusikiliza kilio cha wapiga kura wake. Mh ZITO hakuwa anajadili mapungufu ya kikatiba juu ya madaraka ya Raisi kufanya hivyo. Bila shaka MH. ZITO alizingatia kwamba mamlaka ya Raisi juu ya hilo hakujipa mwenyewe bali yametokana na katiba ambayo pia hakuitunga yeye. Kama katiba ina matatizo au la sio tatizo la KABWE wala MH KIKWETE bali ni tatizo la watanzania wote. Maana, ni chini ya katiba hiyo hiyo ambayo tunasema ni mbovu ndio MH ZITO na MH KIKWETE wamechaguliwa. Hata kama ina mapungufu kiasi gani wanalazimika kuiheshimu na kuitii mpaka itakapokosa nguvu za kisheria.
Bado sijakusoma maana umetoka kwenye pointi ya msingi. Tunachokikataa hapa ni zitto kujipendekekeza kwa jk eti kwa sababu amepeleka rami jimboni kwake hivyo wapigakura wake watamshangaa. Tunasema kupeleka rami jimboni si maamuzi ya jk ni maamuzi ya bunge kama jk anatumia udhaifu wa katiba kutoa upendeleo wa maendeleo basi haya ndo mapungufu ya katiba lakini zitto lazima afahamu kujengewa rami jimboni kwake siyo favour wanastaili wanachi wa jimbo hilo. Hivyo hana haja ya kumramba miguu jk pasipo sababu ya msingi.