VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,375
Ujumbe mfupi wa maneno (SMS) unaohusishwa na mpango wa kijasusi wa kumuua Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Zuberi Kabwe umenaswa na Uwazi.
Uchunguzi unaonesha kuwa SMS hiyo ilizunguka kwa watu kadhaa ambao wanadaiwa wapo kwenye mtandao ulioandaliwa kutekeleza mpango wa kukatisha maisha ya Zitto.
uwazi11[/URL]
Lets think This Careful THIS SMELLS OF SMEAR CAMPAIGN
Hii haingii akilini watu wanapanga kuua mtu kwa siri alafu wanatumia njia ya SMS kuambina.... Give me a Break