Mheshimiwa Zitto kamuulize yule jamaa, mzungu mwafrika, mheshimiwa Charles Njonjo kule NRB Kenya-yeye alileta usemi kuwa "politics is dirty game"-ni mchezo mchafu!!!!!!! Wewe bado mtoto sana kiumri na kisiasa!!!!!! Sasa mbona unataka kutumia udini Tanzania hii kujijenga kisiasa???????,that is cheap and stupid politics???????? Hapo Chadema hapatatosha!!!!!!; tafuta kwingineko uende!!!!!; hizo brain zilizopo hapo unaziona??????!!!!!;Hayo majamaa ni labda uanzishe chama chako ambacho kitakuwa na watu wa dini moja tu????? Anayehubiri udini Tanzania ni mufilisi kisiasa!!!!!!!Tangu Kikwete aanze kupiga kelele za udini kiwendawazimu je umeona ukuta hata mmoja umetikisika????? Thubutu!!!!!; sahau!!!!!!!Kwa kuoana na kuishi pamoja bila kujali kabil, dini, rangi,nk kwa takriban nusu karne, Watanzania wamekwisha ingiana kikabila/kimila/kiutamaduni/kiuelewa kiasi kwamba kudhani siasa nyepesi za udini zitawagawa unajidanganya!!!!!!!-hii siyo Nigeria bwana-peleka siasa hizo nyepesi huko Nigeria-kaanzishe chama chako huko na udini wako!!!!!!! Mbona huwasemi Kikwete na serikali yake na chama chake cha sisiemu-kule top layer yote Bara na ZBR ni dini moja-je umesikia Watanzani wanaona hilo kama ni tatizo????? sema Zitto!!! Usituletee uchuro wako hapa!!!!!! Wewe kama Kikwete na wizi wake wa kura kakukosha hamia sisiemu kimya kimya , uone kama atakupa hata ukatibu kata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Siasa za Chadema huziwezi wewe!!!!!!!!!!!!!!!!! Wewe ukitaka kufanya experiment toka Chadema uone-CDM itabaki stronger ;na wewe uta-perish kisiasa; kila chama watakukataa-labda nccr?????!!!!!!!!😛eace: