Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
Ni kwamba, ni CCM wanatafuta namna ya kuiua CHADEMA na sio Zitto, hiyo yote mikakati na sms zinatumwa na watu wa CCM, ila wameamua kumtumia Zitto kwa sababu Zitto naye siku hizi amekua mjinga mjinga, na kutokana na umaarufu wake kwa kweli CCM kwa hili wanaweza kufanikiwa. Hivi wewe unaesoma hapa unakuingia akilini kwamba watu wanaweza kuwasiliana kwa msg kumuua mtu, huku wakijua namba zao zimesajiliwa na zinaonekana? LAKINI NAWAUNGA MKONO CHADEMA KAMA WATAAMUA KUMUUA ZITTO KISIASA KWA KUMFUKUZA KWENYE CHAMA, sababu kwa sasa ZITTO ni mtu muhimu sana kwa CCM kumtumIa kuiua au kuipunguzia CHADEMA nguvu na Zitto kwa sasa he is doing nothing positive kwa Chama, kila akinyanyua tu mdomo kuongea... KAHARIBU.
 
Zitto Kabwe: kumekuwa na
habari kwenye magazeti kitambo
sasa zenye kuonyesha mgogoro
ndani ya CHADEMA. Napenda
kuwajulisha marafiki zangu kuwa
hakuna mgogoro wowote. Sihami
wala sifukuzwi CHADEMA. Tuna
kazi moja tu, nayo ni kuimarisha
chama kuelekea 2015 wakati
tukipigania mabadiliko ya Katiba.
Tusiyumbishwe!

Maneno hayo yangesemwa na Mhe. Dr. Slaa au Mhe. Mbowe (Mb) yangekuwa na maana nzito na yangerejesha imani yetu kwa mhe. Zitto Zuberi Kabwe (Mb)

WanaJF kwanini uongozi wa juu wa CHADEMA unachelea kumsafisha kamanda Zitto?
 
Hivi hakuna mambo mengine ya maana katika jamii kuyajadili zaidi ya Zitto? YATOSHA SASA KUHUSU ZITTO, vingevyo hapa itakuwa MAJUNGU FORUMS.
 
Chichiemu watu wabayachana du!hii mbn kamawatengeneza wao 2!jmn hamtosheki na madaraka?'Kazi kuharibu tu!watu umeme hatuna nyie kazi yenu kushugulikia matumbo yenu tu!
Shame!
 
Ambafu!!! Upuuzi mtupu, huyu kijana ni mafia hii circulation ameianzisha yeye. Paka Kabisa huyu.
 
Huu ni uzushi tuu na mimi nahisi zitto mwenyewe ndie mwanzilishi wa hili kuanzia sms mpaka kujiongelesha mbele ya waandishi wa habari,hamna kitu hapa haka kajamaa kanatafuta umaarufu tuu na kana fanya kila njia kaonekane honest ,sio kweli na mimi siamini kabisa kuwa chadema wanaweza kufikia hatua ya kutaka kumuua zitto,kweli amefanya makosa makubwa lakini alifanya kazi kubwa pia na kama chadema imemchoka inaweza kumfukuza mara moja wala hatuna shida na uhai wake yeyey ni kiumbe wa mungu sisi kama chama tukimchoka mtu au mtu akikataa kufuata maadili yetu basi tunamuondoa mara moja bila kuangalia umaarufu,mchango wake au jina na cheo chake hakuna mtyu aliye juu ya chama hata mbowe akikosea leo tunamuondoa kwa taratibu tulizojiwekea.

Nawaomba wananchi wapuuze uzushi huu na naamini zitto ndie aliyeuanzisha na mwisho itajulikana tuu,hii ni tabia yaek tunamjua

what is is true?? kaka? YA WANGWE UNAYAJUA WEWE AU UNATAKA TUFUNUE HUMU??


mimi siamini kama kuna huo mpango, ila siamini kama Zitto eti amejiandikia, kwani nikisema ni wewe son of peasant umeandika kwa lengo lako itakuwa vibaya? ulivyowaza ww ndiyo tutalavyowaza na sisi kuwa wewe ndie uliyeandika
 
Aina ya watu wanaosoma UWAZI,tunawafahamu,na ndio waliolengwa kufikiwa na habari hii,coz ni wale wakulima na wafugaji ambao baada ya msimu wa kilimo huwa hawana cha kufanya,hivyo husoma magazeti ya vichochoroni kurefresh na kufanya siku ziende,elimu yao ya chini kiasi cha kusoma the guardian, mwanahalisi,raia mwema nk.Hao ndio wale hutoa kura zao kwa sababu wamepewa vitenge,kofia,kilo ya chumvi au wamenunuliwa chan'gaa pale klabu ya kijiji.Hawana uwezo wa kupembua kilichoandikwa.Yeees! hao ndio wateja wa UWAZI,na ndio waliodhamiriwa na mwandishi.Ni kutoka kwao CCM,hupata ushindi wa kishindo.Nawapongeza waandishi wa UWAZI kwa kuwa wanawajua vyema walio wao na wanajua gazeti litauzwa,na waumini wao wataamini CHADEMA NI CHAMA CHA VITA.After all sioni its not a coincidence sms muhimu kama hiyo,UWAZI ndio wawe wa kwanza kuinusa,The guardian,mwananchi,uhuru wasingeifumbia macho deal hii,ila coz wana akili zao,wamewaachia UWAZI wahangaike nalo.
 
Ujumbe mfupi wa maneno (SMS) unaohusishwa na mpango wa kijasusi wa kumuua Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Zuberi Kabwe umenaswa na Uwazi.

Katika SMS hiyo, aliyeiandika alisisitiza kwamba Zitto atakufa kwa siri lakini kabla ya kutekeleza kifo chake, atanyang'anywa nyaraka zote alizonazo ambazo hazikufafanuliwa kwenye ujumbe.


SMS hiyo, iliyonaswa kwenye simu ya mmoja wa makada wa CHADEMA (jina tunalo), ametajwa kama mmoja wa watakaotekeleza mpango wa kumuua Zitto, inasomeka:

"Nawaarifu kwamba nipo Mara nimemaliza kukutana na viongozi wa Mwanza. Inaelekea hawakubaliani na hoja yetu ya kumfukuza Zitto, sasa nilikwisha kusema kwamba tuweke mkakati kwenye Media JF. Ni …, … na … (yanatajwa majina ya watu)."

SMS hiyo inaendelea: "Ni …, … na … (majina mengine ya makada wa CHADEMA) watatekeleza kazi tuliyowapa na … (anatajwa kiongozi wa CHADEMA) atawapa mtu wa kuwaongezea nguvu."

Ujumbe huo hauishii hapo, unaendelea: "Kuweni makini, hakikisheni amewapa nyaraka zote alizonazo kabla ya kumuua, usiri unahitajika… atawasaidia kujua nyendo zake na hii tu ndiyo njia ya kukinusuru chama."

Uchunguzi unaonesha kuwa SMS hiyo ilizunguka kwa watu kadhaa ambao wanadaiwa wapo kwenye mtandao ulioandaliwa kutekeleza mpango wa kukatisha maisha ya Zitto.

Gazeti hili limebaini kuwa mmoja wa wabunge wazoefu wa Viti Maalum (CHADEMA) alitumiwa kisha naye akaituma (kui-forward) kwa mwenzake ambaye ni memba mpya ndani ya bunge.

Gazeti hili lilifuatilia mnyororo wa SMS hiyo na kugundua kwamba wakati ujumbe ukizungushwa kwa wanaodaiwa wana mtandao, uliingia ‘kirusi' kwa kumfikia mtu ambaye hakukubaliani na wazo la kumuua Zitto.

"Hapa hatari iliyopo ni kwamba kuna mtu ambaye hakubaliani na wazo la kumuua Zitto, ndiyo atakuwa amevujisha," kilisema moja ya vyanzo vyetu.

Chanzo chetu kilisema kuwa mtu huyo baada ya kupata SMS hiyo, aliituma kwa mama yake Zitto, Shida Salum ambaye naye ‘aliifowadi' kwa mwanaye.

Gazeti hili lilimpata Zitto na alikiri kupata SMS, ingawa alidai kuwa uchunguzi ndiyo utafanikisha kumnasa mhusika mkuu wa ujumbe huo.
Zitto, akijibu bila uchangamfu, alisema wakati mwingine anahisi kuna watu wanatumiwa ili kukivuruga CHADEMA.

"Nafsi yangu haisemi kama ni kweli. Inawezekana kuna watu wametuingilia, Mungu ndiye anajua," alisema Zitto.
Alipoulizwa kuhusu kuripoti polisi, Zitto alijibu:

"Nikiripoti ni kwa ajili ya uchunguzi wa kipolisi tu. Sitaki kutoa kwenye vyombo vya habari, sihitaji mgogoro kwenye chama."
Kwa upande wa Mama Zitto, alikiri kupata SMS hiyo na kueleza kwamba tayari amesharipoti kwenye vyombo vinavyohusika.
"Sitaki kuizungumzia hiyo SMS, inachunguzwa kipolisi," alisema Mama Zitto.

Gazeti hili lilizungumza na Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Regia Mtema ambaye ni mmoja watu wanaodaiwa kutumiwa SMS hiyo ambaye alikiri.

Hata hivyo, Regia aliye pia Ofisa wa Oganaizesheni wa chama hicho alisema: "Hiyo SMS sijatumiwa mimi peke yangu, kila mtu makao makuu anayo.

"Nafikiri kuna watu wametengeneza lakini hakuna mpango wa kumuua na kwanini auawe?"
Baada ya kuzungumza hayo, simu ilikatika na alipopigiwa tena hakupokea mpaka tuliapoamua gazeti kwenda mitamboni.

Wakati Zitto akipuuza ufuatiliaji wa SMS hiyo, chanzo chetu kimoja ndani ya makao makuu ya CHADEMA, kilisema kuwa si vema kudharau vitu kwa sababu ujumbe huo una alama za hatari.

"Mimi sipendi sana kuzungumzia mambo ya marehemu Chacha Wangwe (aliyekuwa Makamu Mwenyekiti CHADEMA), lakini naye kifo chake kilitokea akiwa na mvutano na viongozi wengine wa chama kama ilivyo kwa Zitto sasa," kilisema chanzo chetu.

Mpango wa kumuua Zitto, inakuja baada ya matukio kadhaa ambayo yalikaribia kuondoa uhai wake, ikiwemo kuwekewa sumu kwenye maziwa.

Miaka minne iliyopita, Zitto alikunywa maziwa yenye sumu kwenye hoteli moja jijini Mwanza na kuokolewa na aliyekuwa mbunge wa Viti Maalum (CCM), marehemu Amina Chifupa ambaye alimpigia simu na kumueleza asiendelee kunywa.

Hata hivyo, kutokana na wingi wa maziwa aliyokuwa amekunywa dakika chache baada ya kupokea simu ya Amina, aliishiwa nguvu na kukimbizwa kwenye hospitali moja jijini humo ambapo alipatiwa matibabu.

Tags: uwazi11



Hii ni kahawa kabisaaaaa!!.... .........ata hivyo kumuua Zitto sio kazi rahisi namna hiyoo weee muuulize muzirhirii wa muzhihirii
 
Kumsafisha ki aje? au hujapa ile SMS waliyokuwa wanatumiana viongozi waandamizi wa CDM?
Viongozi waandamizi kama nani? maana Zitto mwenyewe ni kiongozi mwandamizi si tu ndani ya chadema hata ndani ya Bunge! Mjepu just to remind you, uko katika forum ya great thinkers, so I think it is a high time now you start think like one! don't relay in gossip especially from UWAZI to justify your arguments! Kwa kusema hivi si maanishi kuzuia uhuru wako wa kuamini habari, you have all the right to choose on what you believe and what not to!
 
Ujumbe mfupi wa maneno (SMS) unaohusishwa na mpango wa kijasusi wa kumuua Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Zuberi Kabwe umenaswa na Uwazi.

Katika SMS hiyo, aliyeiandika alisisitiza kwamba Zitto atakufa kwa siri lakini kabla ya kutekeleza kifo chake, atanyang’anywa nyaraka zote alizonazo ambazo hazikufafanuliwa kwenye ujumbe.

SMS hiyo, iliyonaswa kwenye simu ya mmoja wa makada wa CHADEMA (jina tunalo), ametajwa kama mmoja wa watakaotekeleza mpango wa kumuua Zitto, inasomeka:

“Nawaarifu kwamba nipo Mara nimemaliza kukutana na viongozi wa Mwanza. Inaelekea hawakubaliani na hoja yetu ya kumfukuza Zitto, sasa nilikwisha kusema kwamba tuweke mkakati kwenye Media JF. Ni …, … na … (yanatajwa majina ya watu).”

SMS hiyo inaendelea: “Ni …, … na … (majina mengine ya makada wa CHADEMA) watatekeleza kazi tuliyowapa na … (anatajwa kiongozi wa CHADEMA) atawapa mtu wa kuwaongezea nguvu.”

Ujumbe huo hauishii hapo, unaendelea: “Kuweni makini, hakikisheni amewapa nyaraka zote alizonazo kabla ya kumuua, usiri unahitajika… atawasaidia kujua nyendo zake na hii tu ndiyo njia ya kukinusuru chama.”

Uchunguzi unaonesha kuwa SMS hiyo ilizunguka kwa watu kadhaa ambao wanadaiwa wapo kwenye mtandao ulioandaliwa kutekeleza mpango wa kukatisha maisha ya Zitto.

Gazeti hili limebaini kuwa mmoja wa wabunge wazoefu wa Viti Maalum (CHADEMA) alitumiwa kisha naye akaituma (kui-forward) kwa mwenzake ambaye ni memba mpya ndani ya bunge.

Gazeti hili lilifuatilia mnyororo wa SMS hiyo na kugundua kwamba wakati ujumbe ukizungushwa kwa wanaodaiwa wana mtandao, uliingia ‘kirusi’ kwa kumfikia mtu ambaye hakukubaliani na wazo la kumuua Zitto.

“Hapa hatari iliyopo ni kwamba kuna mtu ambaye hakubaliani na wazo la kumuua Zitto, ndiyo atakuwa amevujisha,” kilisema moja ya vyanzo vyetu.

Chanzo chetu kilisema kuwa mtu huyo baada ya kupata SMS hiyo, aliituma kwa mama yake Zitto, Shida Salum ambaye naye ‘aliifowadi’ kwa mwanaye.

Gazeti hili lilimpata Zitto na alikiri kupata SMS, ingawa alidai kuwa uchunguzi ndiyo utafanikisha kumnasa mhusika mkuu wa ujumbe huo.
Zitto, akijibu bila uchangamfu, alisema wakati mwingine anahisi kuna watu wanatumiwa ili kukivuruga CHADEMA.

“Nafsi yangu haisemi kama ni kweli. Inawezekana kuna watu wametuingilia, Mungu ndiye anajua,” alisema Zitto.
Alipoulizwa kuhusu kuripoti polisi, Zitto alijibu:

“Nikiripoti ni kwa ajili ya uchunguzi wa kipolisi tu. Sitaki kutoa kwenye vyombo vya habari, sihitaji mgogoro kwenye chama.”
Kwa upande wa Mama Zitto, alikiri kupata SMS hiyo na kueleza kwamba tayari amesharipoti kwenye vyombo vinavyohusika.
“Sitaki kuizungumzia hiyo SMS, inachunguzwa kipolisi,” alisema Mama Zitto.

Gazeti hili lilizungumza na Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Regia Mtema ambaye ni mmoja watu wanaodaiwa kutumiwa SMS hiyo ambaye alikiri.

Hata hivyo, Regia aliye pia Ofisa wa Oganaizesheni wa chama hicho alisema: “Hiyo SMS sijatumiwa mimi peke yangu, kila mtu makao makuu anayo.

“Nafikiri kuna watu wametengeneza lakini hakuna mpango wa kumuua na kwanini auawe?”
Baada ya kuzungumza hayo, simu ilikatika na alipopigiwa tena hakupokea mpaka tuliapoamua gazeti kwenda mitamboni.

Wakati Zitto akipuuza ufuatiliaji wa SMS hiyo, chanzo chetu kimoja ndani ya makao makuu ya CHADEMA, kilisema kuwa si vema kudharau vitu kwa sababu ujumbe huo una alama za hatari.

“Mimi sipendi sana kuzungumzia mambo ya marehemu Chacha Wangwe (aliyekuwa Makamu Mwenyekiti CHADEMA), lakini naye kifo chake kilitokea akiwa na mvutano na viongozi wengine wa chama kama ilivyo kwa Zitto sasa,” kilisema chanzo chetu.

Mpango wa kumuua Zitto, inakuja baada ya matukio kadhaa ambayo yalikaribia kuondoa uhai wake, ikiwemo kuwekewa sumu kwenye maziwa.

Miaka minne iliyopita, Zitto alikunywa maziwa yenye sumu kwenye hoteli moja jijini Mwanza na kuokolewa na aliyekuwa mbunge wa Viti Maalum (CCM), marehemu Amina Chifupa ambaye alimpigia simu na kumueleza asiendelee kunywa.

Hata hivyo, kutokana na wingi wa maziwa aliyokuwa amekunywa dakika chache baada ya kupokea simu ya Amina, aliishiwa nguvu na kukimbizwa kwenye hospitali moja jijini humo ambapo alipatiwa matibabu.
Tags: uwazi11
computer-stupid.jpg
 
Viongozi waandamizi kama nani? maana Zitto mwenyewe ni kiongozi mwandamizi si tu ndani ya chadema hata ndani ya Bunge! Mjepu just to remind you, uko katika forum ya great thinkers, so I think it is a high time now you start think like one! don't relay in gossip especially from UWAZI to justify your arguments! Kwa kusema hivi si maanishi kuzuia uhuru wako wa kuamini habari, you have all the right to choose on what you believe and what not to!

natambua kwamba Zitto ni kiongozi mwandamizi wa chadema na kukutoa wasiwasi hata hiyo sms yeye pia katumiwa, kama bado unaamini hii ni forum ya great thinkers i challenge you to think again and again, hayo ya udaku sielewi ila kama huamini kuna text kama hiyo wasiliana na viongozi wako wa chadema kwani sio siri tena.
 
Mheshimiwa Zitto kamuulize yule jamaa, mzungu mwafrika, mheshimiwa Charles Njonjo kule NRB Kenya-yeye alileta usemi kuwa "politics is dirty game"-ni mchezo mchafu!!!!!!! Wewe bado mtoto sana kiumri na kisiasa!!!!!! Sasa mbona unataka kutumia udini Tanzania hii kujijenga kisiasa???????,that is cheap and stupid politics???????? Hapo Chadema hapatatosha!!!!!!; tafuta kwingineko uende!!!!!; hizo brain zilizopo hapo unaziona??????!!!!!;Hayo majamaa ni labda uanzishe chama chako ambacho kitakuwa na watu wa dini moja tu????? Anayehubiri udini Tanzania ni mufilisi kisiasa!!!!!!!Tangu Kikwete aanze kupiga kelele za udini kiwendawazimu je umeona ukuta hata mmoja umetikisika????? Thubutu!!!!!; sahau!!!!!!!Kwa kuoana na kuishi pamoja bila kujali kabil, dini, rangi,nk kwa takriban nusu karne, Watanzania wamekwisha ingiana kikabila/kimila/kiutamaduni/kiuelewa kiasi kwamba kudhani siasa nyepesi za udini zitawagawa unajidanganya!!!!!!!-hii siyo Nigeria bwana-peleka siasa hizo nyepesi huko Nigeria-kaanzishe chama chako huko na udini wako!!!!!!! Mbona huwasemi Kikwete na serikali yake na chama chake cha sisiemu-kule top layer yote Bara na ZBR ni dini moja-je umesikia Watanzani wanaona hilo kama ni tatizo????? sema Zitto!!! Usituletee uchuro wako hapa!!!!!! Wewe kama Kikwete na wizi wake wa kura kakukosha hamia sisiemu kimya kimya , uone kama atakupa hata ukatibu kata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Siasa za Chadema huziwezi wewe!!!!!!!!!!!!!!!!! Wewe ukitaka kufanya experiment toka Chadema uone-CDM itabaki stronger ;na wewe uta-perish kisiasa; kila chama watakukataa-labda nccr?????!!!!!!!!😛eace:

Mtu wangu umechemka achana na Zitto bwana, Unatamani uwe zitto nini? yeye kashasema hausiki na chochote halafu waleta mambo yako ya ajabu bwana.
 
Mheshimiwa Zitto kamuulize yule jamaa, mzungu mwafrika, mheshimiwa Charles Njonjo kule NRB Kenya-yeye alileta usemi kuwa "politics is dirty game"-ni mchezo mchafu!!!!!!! Wewe bado mtoto sana kiumri na kisiasa!!!!!! Sasa mbona unataka kutumia udini Tanzania hii kujijenga kisiasa???????,that is cheap and stupid politics???????? Hapo Chadema hapatatosha!!!!!!; tafuta kwingineko uende!!!!!; hizo brain zilizopo hapo unaziona??????!!!!!;Hayo majamaa ni labda uanzishe chama chako ambacho kitakuwa na watu wa dini moja tu????? Anayehubiri udini Tanzania ni mufilisi kisiasa!!!!!!!Tangu Kikwete aanze kupiga kelele za udini kiwendawazimu je umeona ukuta hata mmoja umetikisika????? Thubutu!!!!!; sahau!!!!!!!Kwa kuoana na kuishi pamoja bila kujali kabil, dini, rangi,nk kwa takriban nusu karne, Watanzania wamekwisha ingiana kikabila/kimila/kiutamaduni/kiuelewa kiasi kwamba kudhani siasa nyepesi za udini zitawagawa unajidanganya!!!!!!!-hii siyo Nigeria bwana-peleka siasa hizo nyepesi huko Nigeria-kaanzishe chama chako huko na udini wako!!!!!!! Mbona huwasemi Kikwete na serikali yake na chama chake cha sisiemu-kule top layer yote Bara na ZBR ni dini moja-je umesikia Watanzani wanaona hilo kama ni tatizo????? sema Zitto!!! Usituletee uchuro wako hapa!!!!!! Wewe kama Kikwete na wizi wake wa kura kakukosha hamia sisiemu kimya kimya , uone kama atakupa hata ukatibu kata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Siasa za Chadema huziwezi wewe!!!!!!!!!!!!!!!!! Wewe ukitaka kufanya experiment toka Chadema uone-CDM itabaki stronger ;na wewe uta-perish kisiasa; kila chama watakukataa-labda nccr?????!!!!!!!!😛eace:



Crap
 
Zitto Kabwe: kumekuwa na
habari kwenye magazeti kitambo
sasa zenye kuonyesha mgogoro
ndani ya CHADEMA. Napenda
kuwajulisha marafiki zangu kuwa
hakuna mgogoro wowote. Sihami
wala sifukuzwi CHADEMA. Tuna
kazi moja tu, nayo ni kuimarisha
chama kuelekea 2015 wakati
tukipigania mabadiliko ya Katiba.
Tusiyumbishwe!

Maneno hayo yangesemwa na Mhe. Dr. Slaa au Mhe. Mbowe (Mb) yangekuwa na maana nzito na yangerejesha imani yetu kwa mhe. Zitto Zuberi Kabwe (Mb)

WanaJF kwanini uongozi wa juu wa CHADEMA unachelea kumsafisha kamanda Zitto?

PELEKA MAJUNGu FORUMS
 
Zito waambie viongozi wako, wanachofanya akina Kibanda, Ngurumo na Kubenea ndiyo kinapeleka haya yote!! magazeti ya chadema ndiyo yanakuandika vibaya ulitaka wengine waanzie wapi kama sio kwenda mbali zaidi
Na pia ngoma hiyohiyo ndiyo inayochezwa kwa bidii hata humu jamvini. Kwa sababu wooote tunaona ndiyo habari inayouza zaidi kuliko zote!!!
Imekuwa ni tabia yetu kokote unakowaka moto, lazima tuuongezee kapetroli kidogo ili uwake zaidi na kuonekana kwamba ni moto, kana kwamba kitu hicho ni chema sana kinyume na kutafuta njia za kuuzima. Na tukitoka hapo tunajisifia "si mmeona nilivyoandika eeh?"

TUNATAKA MABADILIKO BILA YA SISI WENYEWE KUBADILIKA....
 
kumekuwa na habari kwenye magazeti kitambo sasa zenye kuonyesha mgogoro ndani ya CHADEMA. Napenda kuwajulisha marafiki zangu kuwa hakuna mgogoro wowote. Sihami wala sifukuzwi CHADEMA. Tuna kazi moja tu, nayo ni kuimarisha chama kuelekea 2015 wakati tukipigania mabadiliko ya Katiba. Tusiyumbishwe!

Source: Zitto Kabwe Facebook Status, Twitter


Ni kweli mh. ni muda wa kujenga chama, kama nilivyosema siku zote. YANGU MACHO!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom