Zitto tatizo lake ni kuwa na blid ambition kupitiliza! Much as people admire him for his guts lakini huyu Bwana is not a consensus builder. Tangu uchaguzi uishe amefanya mambo matatu kuonyesha udhaifu wake;
1) Alikuwa ni mwana-Chadema wa kwanza kutamka kwamba CHADEMA inakusudia kuunda upinzani bungeni peke yake maana namba wanazo. Hata kama ni kweli Chadema walikusudia kufanya hivyo hili lisingetoka kwa Zitto na pengine limefanya vyama vingine kukatishwa tamaa.
2) Zitto alitangaza kugombea Uongozi wa Upinzani Bungeni ndani ya chama chake. In other words he was trying to preempt Chadema wamchague kwa kuruka mstari. Jumping the Que! Ni weakness kubwa.
3) Jana katika hali ya kujikomba ametoboa siri (mapema) kwamba alitofautiana na wenzake kuhusu kususia hotuba ya JK huko Dodoma. What was the aim of going public this early wakati issue ni hot hot kama sio ku-undermine authority and cause ya Chadema?
Kwa mtizamo wangu Zitto is more of a liability than an asset in Chadema and I think Chadema should let go. Wahaya wanasema: AGENDE!
1) Alikuwa ni mwana-Chadema wa kwanza kutamka kwamba CHADEMA inakusudia kuunda upinzani bungeni peke yake maana namba wanazo. Hata kama ni kweli Chadema walikusudia kufanya hivyo hili lisingetoka kwa Zitto na pengine limefanya vyama vingine kukatishwa tamaa.
2) Zitto alitangaza kugombea Uongozi wa Upinzani Bungeni ndani ya chama chake. In other words he was trying to preempt Chadema wamchague kwa kuruka mstari. Jumping the Que! Ni weakness kubwa.
3) Jana katika hali ya kujikomba ametoboa siri (mapema) kwamba alitofautiana na wenzake kuhusu kususia hotuba ya JK huko Dodoma. What was the aim of going public this early wakati issue ni hot hot kama sio ku-undermine authority and cause ya Chadema?
Kwa mtizamo wangu Zitto is more of a liability than an asset in Chadema and I think Chadema should let go. Wahaya wanasema: AGENDE!