Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
nadhani amechelewa sana, waliondoka wenye nguvu kuliko yeye tena wakati amabao chadema haijaaa vizuri, leo hii hata akiondoka Dr SLAA, sisi tutasonga mbele, chama si mtu, hata hivyo tumesikia mengi juu yake, aondoke salama.
 
huyu zitto ni nani jamani? Kila uchwao zitto! Zitto! Mm sioni nguvu yake ktk taifa hili mpaka asababishe forum hii imdiscuss yy tu.
 
Nyerer mwenyewe alisema CCM ikiboronga anaweza kuihama sioni tatizo kwa Zitto kuhama CDM na kuelekea chama chochote na ikiwa ni kweli atahamia NCCR Mageuzi naamini kwa dhati ya moyo wangu NCCR - Mageuzi kitakuja kuipiku CDM maana tuache ushabiki CDM ina mawaa mengi sana mengi yakiwa ya kuzushiwa na uelewa wetu ulivyokuwa mdogo itaigharimu sana!
 
Aisee mi nataka aondoke hata leo coz yeye ndo amekua akifikiria ki-ccm ccm, mi hata simwamini tena na alishanipoteza kwenye ile meli yake siku nyiiiiingi, sasa hvi nina vichwa vyangu kama mnyika,lissu hao ni wapya sijamalizia wengine, ukweli ni kwamba kuwepo kwake pale kunatuzingua wengi sana huku mtaani, tabia yake inayotuudhi wengi ni ile ya kupenda kutaka vitu hata ambavyo bado hajakwalify enough ukilinganisha na wengine, pili ile ya kupenda kulewa sifa, tatu anatabia ya kujingonga kwa raisi, nne anatabia ya kuonekana yeye ni wa muimu saaana, tano sasa hvi anaishi maisha ya kifahari sana kutembelea hammer kunanipa wasiwasi mkubwa juu ya uaminifu wake kwa chama na wananchi wenzangu wa kigoma....
 
na ni kweli hatopata kwa sababu mna nia padri ashike nchi, kwa taarifa yenu ata yesu akishuka hataweza kushika hatamu kwa style hiyo. chadema ni udini, ukabila na ubinafsi wa akina mbowe ndio unaotia kinyaaa kwa walio wengi. nimegundua na sasa subirini mtaona chadema hii kama itakuwa hivi 2015. shame on you, mabaradhuri wakubwa!!!!!!!!!!!! Zitto tambaa ndugu yangu watakuua hao kama chacha wangwe...
Chadema finito..........................

Unaropoka kama huna akili nzuri. Wawapi wewe umetumwa nini? Waambie mwisho wao ni 2015. CDM Jipangeni vizuri. Nyinyi mmeua wangapi??? Kolimba, Sokoine--------just to mantion a few!

MWISHO WENU UMEFIKA TAFUTA PA KWENDA, TUNATAKA--- FEDHA ZETU(CHENGE UK KESI). TUMECHOKA NA MAFISADI!

 
Zittto ondoka acha kutishia tishia hat hivyo ulishashuka kiwango toka ulipotaka serikali inunue mitabo ya dowansi. Please go and leave chadema as it is!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama ni kweli basi utakuwa ni uamuzi wa busara sana na ni bora ukachukuliwa mapema iwezekanavyo! Naamini Zitto na CDM wote watanufaika nao. Nani atanufaika zaidi, hiyo tutasubiri tuone!
 
Zittto ondoka acha kutishia tishia hat hivyo ulishashuka kiwango toka ulipotaka serikali inunue mitabo ya dowansi. Please go and leave chadema as it is!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kama ametaka kuondoka aondoke tu, Chadema ni chama si mtu mmoja. Zitto, Mbowe au yeyote hawezi kuwa Chadema. Ni afadhali kumpoteza yeye mapema kuliko kuja kuvuruga huko mbeleni.

Labda bwana zito aelewe kuwa hatachukua Jimbo hilo kama anavyofikiria kukimbilia NCCR, umaarufu wake kiduchu (ulioanza kushuka) ulijengwa na Chadema
 
Chama Mfu ndio utakuwa mwisho wake wa kujishauwa awauleze akina Tambwe Hiza Lamwai na Kabourou

CCM ndiyo inaelekea kufa, watanzania wengi hawaitaki hadi NEC iwapigie kura ndiyo ''ushindi'' upatikane.
 
Aman Wali Kabourou? may be, after all they are kalumanzilas
 
Nimehudhuria ibada jpili nikatoka huko na ujumbe muruwa sana. Kwamba kuna mabinti wawili huko Khartoum walikuwa wakiweka nadhiri za usista. Padre mwisho wa siku akawaambia, shirika mliloingia halitakufa hata mkiamua kuondoka sasa hivi. Ila litakufa kama hamtafuata matakwa ya shirika na bado hamtaki kutoka! Chadema wajifunze kwa hili kama ni kweli chama kina migogoro
 
Hili si jambo la kuogopa, Zitto akihama chadema si mwisho wa chama, kwanza kwangu mimi namuona Zitto kama ni mtu asiye na utulivu, anatamaa za wazi sana, hana uwezo wa kuficha hisia zake hata kama anajua kuziweka wazi zinaweza kuleta tatizo, umaarufu aliopata wa harakaharaka kwa kipindi kifupi umemtia kiburi sana, tayari alishatangaza yeye ndiye atakuwa mgombea wa kiti cha Urais katika uchaguzi ujao, nina wasiwasi na umakini wa Zitto, nahisi ujana ni mwingi mno, kokote atakakokwenda ataleta taabu za mfano wa Lyatonga Mrema na mwisho wake utakuwa mbaya. Ninamshauri Zitto akae atulie CHADEMA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom