Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
Malaria Sugu alitabiri kifo cha CHADEMA ndani ya mwaka mmoja. Si ajabu ni kutokana na kuwa na uhakika kwamba washawateka potential persons kama akina Zitto. Lakini kama atahama atakuwa ameisaidia sana CHADEMA kuliko kuendelea kuwa ndani ya CHADEMA na huku ni puppet wa mafisadi. Tunamtakia kila laheri katika kufanya hayo maamuzi yake. Na tungependekeza afanye maamuzi hayo mapema ili kuepusha uwezekano wa kuendelea kuibomoa CHADEMA.
 
kigoma imetoa wabunge wanne wa NCCR ukimwuliza Mbatia hawajui hata kwa majina.
Mkuu Stein,
Naona ushabiki wako kwa chadema unakufanya uchume dhambi ya Uongo, Kwa taarifa yako wabunge wa NCCR ni Marafiki wa Karibu wa Bwana Mbatia, na Baadhi ya magari waliyoyatumia katika kampeni zao, ni mali binafsi ya Mbatia.
 
Na hilo fungu la kufanya uchaguzi tena litatoka wapi au ndio kuchezea pesa ya wananchi,kwa hilo sheria za uchaguzi zinasemaje iwapo Zitto atakiacha solemba CDM,kwa maoni yangu CDM wamtose Zitto,kwani keshakuwa kero kwa uongozi wa CDM,ajue CDM kaikuta na itakuwepo asijione yeye ndio mwanzo na mwisho,CDM ni zaidi ya Zitto
ZITO = Majivuno + Masifa+Zarau+ ubinafisi
 
Bora kwa kweli JK aliwachakachua, mmeanza kutoana NGEU asubuhi kweupe namna hii, mhhmmmm. Tatizo tu ni viji ruzuku vimeongezeka hakuna kingine hapo.
Are you also part of great thinkers? Hivi hapa suala la Ruzuku limeingiaje? Mbona watu mnapenda chokochoko hivyo? Kweli CCM ina Makamba type za kumwaga.
 
Embu angalia kitendi cha mwenyekiti wa chama Mbowe mwaka huu kutogombea na kumpisha Dr Slaa huwezi kuta kwenye chama kingine.
Ni hayo tu

Aisee! Mbona unawalisha watu kasa humu? Hiyo NCCR inayoisakama, mwaka 2005 aliyegombea urais alikuwa tu mjumbe wa halmashauri kuu (Dr.Mvungi) na 2010 aliyeombea ni Mjumbe wa Baraza la udhamini wa chama (Mhe.Rungwe) sasa huo upekee wa sifa ya Mbowe kama mwenyekiti kupisha wagombea wengine inatoka wapi?
Wana JF, kuwa shabiki wa chama ni sawa, lakini tumieni ukweli katika ushabiki huo!
 
Zitto Kabwe Kigoma North MP Hon. Zitto Kabwe with Malaysian ex PM Tun. Dr. Mahathir Mohamad after a discussion in his Office at Petronas Twin Towers, Kuala Lumpur.
Zitto is in Malaysia on a private visit at the invitation of Tun. Dr. Mahathir Mohamad to learn more on the Malaysian development experience and the palm-oil industry.




 
kiongozi pekee makini wa chadema akiendelea kuangalia ni vipi anaweza kukuza kipaji chake na kuachana na longo longo za wahuni Slaaa na Wapuki Mbowe
 
Kwani zito ni nani mbona utafikiri ni kama Mbowe nanataka kuihama chadema, zito ni kama mbunge kati ya wabunge wale 45 wengine wa chadema sioni ajabu kuhamia NCCR maana watu hawakuipenda chadema kwa ajili ya zito kabwe, na wale watu mil. 2.2 hawatoki kigoma wote kwa hiyo anauhuru kwa kuhamia NCCR au CCM akipenda ni chaguo lake.

Watu wanachopenda kwa chadema ni Ubora wa Sera na si kwamba ukihamia NCCR/CCM ndo itakuwa kama chadema hiyo isahau.

Embu angalia kitendi cha mwenyekiti wa chama Mbowe mwaka huu kutogombea na kumpisha Dr Slaa huwezi kuta kwenye chama kingine. mfano NCCR, wakati mbowe kwa nafasi ya umwenyekiti anampa tafu Slaa, Mbati kajichimbia Kawe hata kumpa tafu Rungwe hataki sasa kigoma imetoa wabunge wanne wa NCCR ukimwuliza Mbatia hawajui hata kwa majina.

Kwa hiyo issue ni Sera ya chama inakubalika kwa wasomi, na wananchi wa kawaida?

Ni hayo tu

upo sahihi
 
Ni tamaa tu anazo, lengo lake ni kugombea Urais mwaka 2015 na ameshagundua akiwa ndani ya Chadema hatapata hiyo nafasi. Kama ataondoka aondoke, Chadema ipo na itaendelea kuwepo.
 
Wakuu habari za punde ni kwamba Zitto Kabwe atahamia NCCR mageuzi, na kwamba atagombea ubunge kigoma kaskazini kwa chama hicho. kwa hiyo basi atakua ametimiza kazi yake ya kuivuruga cdm na mafisadi watashangilia. ila cdm itaendelea kuwepo na kuendelea kufanya kazi uzuri.

:target: tutashukuru sana haka ka dogo kakitoka maana sasa kanapanda wkubwa wake vichwani kamelewa sifa..wachaa kaeende replacement yake bungeni tayari Kamanda Mnyika...:yuck:go away
 
:target: tutashukuru sana haka ka dogo kakitoka maana sasa kanapanda wkubwa wake vichwani kamelewa sifa..wachaa kaeende replacement yake bungeni tayari Kamanda Mnyika...:yuck:go away


kumbe huyu kidume anawapanda wakubwa zake eeeh?
 
Ni tamaa tu anazo, lengo lake ni kugombea Urais mwaka 2015 na ameshagundua akiwa ndani ya Chadema hatapata hiyo nafasi. Kama ataondoka aondoke, Chadema ipo na itaendelea kuwepo.

na ni kweli hatopata kwa sababu mna nia padri ashike nchi, kwa taarifa yenu ata yesu akishuka hataweza kushika hatamu kwa style hiyo. chadema ni udini, ukabila na ubinafsi wa akina mbowe ndio unaotia kinyaaa kwa walio wengi. nimegundua na sasa subirini mtaona chadema hii kama itakuwa hivi 2015. shame on you, mabaradhuri wakubwa!!!!!!!!!!!! Zitto tambaa ndugu yangu watakuua hao kama chacha wangwe...
Chadema finito..........................
 
Wakuu habari za punde ni kwamba Zitto Kabwe atahamia NCCR mageuzi, na kwamba atagombea ubunge kigoma kaskazini kwa chama hicho. kwa hiyo basi atakua ametimiza kazi yake ya kuivuruga cdm na mafisadi watashangilia. ila cdm itaendelea kuwepo na kuendelea kufanya kazi uzuri.

Anachelewa kuhama, aondoke! Stupid!
 
:target: tutashukuru sana haka ka dogo kakitoka maana sasa kanapanda wkubwa wake vichwani kamelewa sifa..wachaa kaeende replacement yake bungeni tayari Kamanda Mnyika...:yuck:go away

hizo ni chuki binafsi, uwezo wa zitto utamlinganisha nani ndani ya chadema????? wengi wao wamekosa nidhamu na hawana hekima. Si padri slaa wala si mbowe mwenye uwezo wa kujenga hoja kumzidi zitto, hammuwezi yule bwana mdogo ni kichwa ila kwa vile si mkristo na si mchaga ndo mnataka kumpoteza.
 
Umenena kama real great thinker

Zitto ana uhuru wa kufanya lolote lile, kuwa msaliti, fisadi, kujiunga CCM, kubaki chadema, hatakuwa wa kwanza, wala taarifa hiyo haitakuwa nja uzito wa kusimamisha jua lisiendelee kuzunguka dunia!

Cha muhimu ni kuwa tunahitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, kuvitafuta hivi au kuvipigani hakujalishi Zito atakuwa upande wetu au la! tuwaze makubwa jamani!!

Ni kweli kabisa Zitto aende popote anapotaka, Chadema ilikuwepo kabla yake hivyo hatitikiswi na lolote kutoka kwake.

Chadema oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kwani waliopiga kura za hapana ni Zito tu?Mbona ni yeye tu ndo aseme kuwa anasubiri hatima yake ndani ya chama? Kama anajua kilichofayika ni demokrasia ndani ya chama kwanini ahofie mustkabali wake ndani ya chama?Au anajua kuropoka kwenye vyombo vya habali ni kosa.Hajui ni wakati gani aseme nini.Watu kama yeye hawafai kuwa na madaraka makubwa kwenye jamii,ndiyo maana hata hawamuachii kushika uenyekiti wa chama.Mambo mengi sana kuhusu huyu jamaa ni ya uwalakini,anajiona yeye ndiyo mjuaji sana na amekomaa kisiasa.
Anapenda mashindano yasiyo na tija ndani ya chama.

Najaribu kuusemea moyo!
Nikama vile he used the wrong route to go where he wanted. Along the way akagundua njia aliyoichagua kufika huko ina miliama na mabonde na yawezekana yy akawa tu grader kusawazisha na akisha maliza asiruhusiwe kupita tena hapo barabarani kwani kazi yake itakuwa imekwisha kamilika.....Sasa anagundua laiti angejua!!!! Ilikuwa nirahisi tu kama angepita kunakotakiwa sasa afanye nini?

Upiganaji una garama jamani! Hata Nyerere alifanya calculation vizuri...kama sivyo kwanini aliamua kuuachia uwaziri mkuu wakati huo?

Na haya ni mawazo tu tena njozi za mchana kabisa yaani mtu hapa alichoka kubonyeza keyboard kuandika mambo yale yale ya kilasiku akaamua kukata kiu...So kwa wenye hekima na busara msione shaka kupotezea!
 
hizo ni chuki binafsi, uwezo wa zitto utamlinganisha nani ndani ya chadema????? wengi wao wamekosa nidhamu na hawana hekima. Si padri slaa wala si mbowe mwenye uwezo wa kujenga hoja kumzidi zitto, hammuwezi yule bwana mdogo ni kichwa ila kwa vile si mkristo na si mchaga ndo mnataka kumpoteza.

Hadithi za ukabila na udini munazozikuza nyie watu wa CCM kuna siku mutavuna mulichopanda uzuri wake hakutakuwa na wakupona
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom