Antonov 225
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 311
- 45
Tena huu ni muda muafaka kufanya uchafu wote, na mamluki wote wajulikane ili operesheni za ukombozi zikianza tunajua kila mtu na vazi lake. Hapa kwa hii mbinu siwalaumu.
Kuweni pia na mwanachama anaitwa bonobo (tamka sokomoko) anaandika upumbavu kwa sababu zake!
Umemshtukia mapema sana.
Jamaa wa JF walikuwa wamenizuia kupost hapa kwa muda sasa. Ningekuwa nimewafunua unafiki wao zamani sana.
Next time wakifanya hivyo niambie nikurushie ID mpya na pswd!
Kuweni pia na mwanachama anaitwa bonobo (tamka sokomoko) anaandika upumbavu kwa sababu zake!
Tena humu jamvini wapo wengi sana.
Ila kwa hili la Zitto na Mbowe naona kama wanaelekea kufanikiwa.
my friend you are far away from the reality ! si zitto wala mbowe walioshikilia uhai wa chadema chadema ni chama cha wazalendo! so tutakuwa hatuwatendei haki wazalendo hao kwa kujitahidi kukibinafsisha chama kwa zitto na mbowe! chonde chonde tuamke usingizini wajameni!
jf: a place where you dare not to speak rationally.