Peace can only be maintained through justice. Sometimes you have to use violence to achieve peace.Peace cannot be achieved through violence, it can only be attained through understanding
Peace can only be maintained through justice. Sometimes you have to use violence to achieve peace.Peace cannot be achieved through violence, it can only be attained through understanding
Kwani Kabwe anapingana na uamuzi wa chama ? I think I am missing something here...
huwezi nunua gari aina ya hummer kwa kipindi kifupi tu cha ubunge.gari ile ina thamani ya 300m!!pesa zoote hizo kazitoa wapi kama si kibaraka?!
Peace can only be maintained through justice. Sometimes you have to use violence to achieve peace.
Mhe. Zitto Zuberi Kabwe,
Pole kwa majukumu ya kila siku ya kuwakomboa watanzania. Binafsi nakufagilia sana kutokana na uelewa wako na ushaarabu Mungu aliokujaalia. Najua wapo wanaokubeza kutokana namisimamo yako lakini wewe umekuwa kiongozi wangu bora maana siku zote umekuwa ukijenga hoja na huwa hukurupuki. Naomba ufafanuzi wa kutounga mkono kitendo kilichofanywa na wabunge wa chama chako maana wewe binafsi hukiafiki. Kisheria Bunge la Tanzania linakamika panapokuwa na Rais "Bunge pamoja na Rais" yaani Rais ni sehemu ya buge kama alivyosema mama makinda jana pale bungeni. Nadhani kwa nyie kuendelea kuingia bungeni inamaana mnamkubali Rais ila kuna shinikizo linafanya muonyeshe kuwa mnamkataa au pengine ni kuganga njaa. Maana mkiquit hamtapata posho na mishahara.
Kwakua nakuamini nategemea utanijibu ipasavyo kwa hekima na ufasaha zaidi ama mnaingia bungeni kuganga njaa au laa...................
ccm wanataka na watatumia gharama kubwa sana kumsaka ZITTO KABWE arudi ccm ili ionekane chadema ni chama cha kidini! Kuna baadhi ya watu ambao inaonekana kuwa CDM ni kama kero kwao na wanataka kutumia gharama yeyote kukiaribu! PLZ WANACHADEMA HATA SISI CCM TUNAITAJI UPINZANI DHABITI ILI KUUNYOOSHA SERIKALI REGEREGE YA CCM! HATUTAKI ENZI ZA CHAMA KIMOJA ZILUDI.
zitto ameongea vizuri sana... tatizo humu jamvini tunataka mambo ya upinzani yaende kama mechi ya kinondoni muslim na tambaza
na hayo ya kupingana yangetokea ccm kesho ungesikia mtu katolewa chamani