Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
Chadema is not an individual or some few individuals. It is true ina waanzilishi wake, na pia ina viongozi na watu waliopewa dhamana ya kukiongoza chama, but chadema hakiwezi kamwe kuwa Zito, or anyone else japo of course kuna watu ambao zaidi ya kupewa dhamana ya uongozi, they have also earned respect and great reputation within the party. But Chadema is an ideology/itikadi, na hiyo kamwe itabaki na kuendelezwa by people who share the same ideology; hata kama wengine wataondoka, au kutofautiana au kufa nk. Even after generations, an ideology will continue japo its founders will be gone....so we need to stop this need about Zitto and focus on the ideology, and what that means to Tanzania at large. Chadema is here, and it shall continue to exist
 
Hapana. You got it wrong. Zitto anazungumza na anaendelea kuwa na haki yake ya kuzunguza. Ni tofauti na enzi za Nyerere. Ndio maana nimekushauri ubadilishe jina.
Kenyattaist linakufaa zaidi.

Wewe huna hoja Jasusi wa taarabu,, kama ni tofauti na enzi za nyerere kwa nini wote mna-muattack toka alipotoa mawazo yake yasiyo ya kinafiki?? At the end of the day inabidi na nyie muwanyooshee kidole hao waliotoa hilo wazo la kitoto la kutoka nje wakati mkuu wa nchi anaanza kuongea. Watanzania hatuko hivyo. Wanaume hatuko hivyo. Ninatoa wito kwa mkuu wa kambi ya upinzani bungeni ajiuzulu wa sababu ameonyesha hana Leadership quality, na pia ajiuzulu Uenyekiti wa chama kwa sababu yeye kama baba ameshindwa kuwaongoza vyema watoto wake. hafai
 
- Well, wakuu haya ndio tulisema mapema kwamba Chadema wametafuta unwanted political National attention ambayo ndio njia rahisi sana kutumika kwa siasa zetu Africa kwenye kuwajibu, bila kujali tatizo la kweli huu sasa ni mwanzo tu. I mean CCM kuna ambayo hawakubaliani lakini sio kwenye mazito kama haya, huwa wote wanakubaliana halafu sometimes wengine wanakuja kutudanganya huku public, kumbe wote ni wamoja tu!

- Chadema mnahitaji kuamka kwamba this is not very good, hasa inapotoka kwa kiongozi wenu wa pili wa upinzani, bungeni!


William.

munapenda sana kuchukulia jambo moja kama ndio tathimini ya mambo yote ya chasema yanavyotakiwa yawe kwa vile kila mtu anaona yeye ndio mtathimini wa kila jambo chadema inafanya watu wanajia mbalimbali za kupeleka ujumbe au kupinga jambo kwenu nyie mungeona la maana kama wangeitisha maandamano nvhi nzima munasemaje pale tume yenyewe inapokiri kutoa takwimu za kura zisizo sahihi watu waa ajabu sana nyakati za ndio mzee zilikwisha chadema wako sa hihi na njia muafaka kabisa wanastahili pongezi kwa ujasiri wao hilo la zitto ni mambo yao ya ndani wewe na mimi hatuwezi kufikia hitimisho kwa hiyo nakushauri usidhani wanatafuta cheap popularity kupishana mawazo hata mume na mke huwa wanapishana baba na mwana pia ndio dynamics za maisha
 
Nchi zilizoendelea na zenye mfumo wa demokrasia zinatumia njia kama hiyo aliyotumia Zitto. Hakuna mfarakano wowote kama Wabunge wakipingana kwa hoja ktk public level, hata kama wakiwa wanatoka chama kimoja.

Huu mfumo alioutumia Zitto ni mzuri especially kwa nchi changa ktk demokrasia. Kwa mfano angalia, Marekani, Democrats vs Democrats vs Obama, Or Republican vs Republican vs Bush. Hii ni demokrasia.

Zitto kabwe anajaribu kuelezea msimamo wake ktk public level, ni msimamo mzuri, lakini waTZ wanafikiri ni mfarakano. Kama Chadema itaendelea na kutumia system hii ya demokrasia ndani ya chama, basi Chadema kitakuwa ni chama bora TZ.
 
Wewe huna hoja Jasusi wa taarabu,, kama ni tofauti na enzi za nyerere kwa nini wote mna-muattack toka alipotoa mawazo yake yasiyo ya kinafiki?? At the end of the day inabidi na nyie muwanyooshee kidole hao waliotoa hilo wazo la kitoto la kutoka nje wakati mkuu wa nchi anaanza kuongea. Watanzania hatuko hivyo. Wanaume hatuko hivyo. Ninatoa wito kwa mkuu wa kambi ya upinzani bungeni ajiuzulu wa sababu ameonyesha hana Leadership quality, na pia ajiuzulu Uenyekiti wa chama kwa sababu yeye kama baba ameshindwa kuwaongoza vyema watoto wake. hafai
unaongeza chumvi hakuna anayemuattack watu wanatoa maoni na jinsi wanadhani kwa bishana kwa hoja sio nguvu ya hoja wewe unatoa propaganda zisizo na kiuno
 
No comments. Lakini kama ni kweli Zitto kasema hivyo ni haki yake! Ningepata shida kama wote wasingetoka nje. Lakini Provided walitoka wote hata kama walikuwa hawataki then message sent.
 
Wewe huna hoja Jasusi wa taarabu,, kama ni tofauti na enzi za nyerere kwa nini wote mna-muattack toka alipotoa mawazo yake yasiyo ya kinafiki?? At the end of the day inabidi na nyie muwanyooshee kidole hao waliotoa hilo wazo la kitoto la kutoka nje wakati mkuu wa nchi anaanza kuongea. Watanzania hatuko hivyo. Wanaume hatuko hivyo. Ninatoa wito kwa mkuu wa kambi ya upinzani bungeni ajiuzulu wa sababu ameonyesha hana Leadership quality, na pia ajiuzulu Uenyekiti wa chama kwa sababu yeye kama baba ameshindwa kuwaongoza vyema watoto wake. hafai
Kwako linaonekana wazo la kitoto. Lakini matokeo yake utayaona tutakapopata katiba mpya na kuundwa kwa tume mpya ya uchaguzi. CCM bila kushinikizwa hawawezi na hawana nia ya kuunda katiba mpya. Na hapo sijui utasemaje. Badilisha jina upesi kwani unatupa kichefuchefu.
 
munapenda sana kuchukulia jambo moja kama ndio tathimini ya mambo yote ya chasema yanavyotakiwa yawe kwa vile kila mtu anaona yeye ndio mtathimini wa kila jambo chadema inafanya watu wanajia mbalimbali za kupeleka ujumbe au kupinga jambo kwenu nyie mungeona la maana kama wangeitisha maandamano nvhi nzima munasemaje pale tume yenyewe inapokiri kutoa takwimu za kura zisizo sahihi watu waa ajabu sana nyakati za ndio mzee zilikwisha chadema wako sa hihi na njia muafaka kabisa wanastahili pongezi kwa ujasiri wao hilo la zitto ni mambo yao ya ndani wewe na mimi hatuwezi kufikia hitimisho kwa hiyo nakushauri usidhani wanatafuta cheap popularity kupishana mawazo hata mume na mke huwa wanapishana baba na mwana pia ndio dynamics za maisha

Nadhani tatizo sio kwamba Zitto ana tatizo na viongozi/wamiliki wakuu wa CHADEMA,, nadhanitatizo ni kwamba njia waliyoitumia hakuipenda aliiona ya kitoto sana (Amateur Politics). Hata katika maisha ya kila siku nyumba, mtu anaeondoka wakati baba/mama anaanza kutoa maelekezo mara nyngi hua tunampeleka hospitali kwa uchunguzi kama ana akili timamu. So wale walifanya mambo ya kitoto, na zitto akaamua kutokua mnafiki na kufanya jambo la kuwafurahisha wachache.
 
Nadhani tatizo sio kwamba Zitto ana tatizo na viongozi/wamiliki wakuu wa CHADEMA,, nadhanitatizo ni kwamba njia waliyoitumia hakuipenda aliiona ya kitoto sana (Amateur Politics). Hata katika maisha ya kila siku nyumba, mtu anaeondoka wakati baba/mama anaanza kutoa maelekezo mara nyngi hua tunampeleka hospitali kwa uchunguzi kama ana akili timamu. So wale walifanya mambo ya kitoto, na zitto akaamua kutokua mnafiki na kufanya jambo la kuwafurahisha wachache.
Sasa kama ni amateur politics wakati majority rules kwa nini wanasema wengi wape? The majority ruled na Kabwe hakukubaliana nao na alitaka (the other side, for whatever reasons) wajue kuwa hakuwa mmoja wa majority.
 
Kwako linaonekana wazo la kitoto. Lakini matokeo yake utayaona tutakapopata katiba mpya na kuundwa kwa tume mpya ya uchaguzi. CCM bila kushinikizwa hawawezi na hawana nia ya kuunda katiba mpya. Na hapo sijui utasemaje. Badilisha jina upesi kwani unatupa kichefuchefu.

Watu wenye akili timamu wanashinikiza maendeleo, sio maandishi (Katiba).. Wanachotaka kufaidika chadema ni kwamba wapate kura nyingi za kuwawezesha kufanya biashara ya ruzuku vizuri, ila hawana mpango wa kupigania na ku-suggest njia nzuri/strategies nzuri za kuwakomboa kimaisha wananchi. Tuweke maendeleo mbele, mambo ya katiba hayanaharaka kulinganisha na matatizo tuliyonayo. Maswala ya katiba always hua ni ya wanasiasa Optimist na waroho wa madaraka.
 
Tunataka uwazi katika siasa za vyama vingi na kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake.

Hon Zito, we always believe that you are in a wrong camp - Tafakari juu ya uongozi wa chama chako!

Top leadership ni Wanasiasa uchwara!

Kama zitto yuko Wrong camp ambayo ni chadema basi bora afe tuu manake wapi kwingine ajiuliza wapi akina lamwai kaboru bagenda labda kama anataka akawe mtoto wa watu kama tambwe hiza na msabaha aende huko CCM anajua mwenyewe gharama yake heshima na jina alilolijenga kwa nguvu zake zote litakwisha ukweli CCM ni marehemu bado kupopoyelewa tuu na mimawe chama cha majambazi wezi wakubwa mchakato mzima wa kumpata spika wao tumeuona Anne Makinda ni kimada wa zamani wa Jakaya wengi tunajua hilo
 
zitto ameongea vizuri sana... Tatizo humu jamvini tunataka mambo ya upinzani yaende kama mechi ya kinondoni muslim na tambaza

na hayo ya kupingana yangetokea ccm kesho ungesikia mtu katolewa chamani
acid umenikumbusha mbali mechi ya kinondoni muslim na tambaza duh, wakati huo ha aha aha aha aha aha aha aha aha aha aha aha aha aha aha aha aha.
Siasa bongo
 
Sasa kama ni amateur politics wakati majority rules kwa nini wanasema wengi wape? The majority ruled na Kabwe hakukubaliana nao na alitaka (the other side, for whatever reasons) wajue kuwa hakuwa mmoja wa majority.

Kabwe amefanya hivyo kwa sababu he is politically rich, na that means hao wengine unaowaita majority wamekubali maagizo ya mwenyekiti kwa sababu bado hawana jina kisiasa. That also means, kama wote wangekua na uwezo wa kusimama na kubishana na mwenyekiti, basi wasingeshiriki upuuzi ule
 
Watu wenye akili timamu wanashinikiza maendeleo, sio maandishi (Katiba).. Wanachotaka kufaidika chadema ni kwamba wapate kura nyingi za kuwawezesha kufanya biashara ya ruzuku vizuri, ila hawana mpango wa kupigania na ku-suggest njia nzuri/strategies nzuri za kuwakomboa kimaisha wananchi. Tuweke maendeleo mbele, mambo ya katika hayanaharaka kulinganisha na matatizo tuliyonayo. Maswala ya katiba always hua ni wanasiasa Optimist na waroho wa madaraka.
Bila katiba hakuna maendeleo. Waulize wenzetu nchini Kenya. They have crossed that threshold and look and see how forward they are going to be moving. We are stuck in the old undemocratic process where you cannot even question the ruling of NEC, even if they choose a madman to lead us. Watu wenye akili timamu hishinikiza katiba katika process ya kuleta maendeleo.
 
Sioni kama Zito ametumia busara kutangaza kilichojiri katika kikao cha chama. Wanachadema wawe makini na huyu Zitto hasa wanapojadili mambo nyeti ya kichama maana inaelekea mdomo wake hauna Break.
 
Watu wenye akili timamu wanashinikiza maendeleo, sio maandishi (Katiba).. Wanachotaka kufaidika chadema ni kwamba wapate kura nyingi za kuwawezesha kufanya biashara ya ruzuku vizuri, ila hawana mpango wa kupigania na ku-suggest njia nzuri/strategies nzuri za kuwakomboa kimaisha wananchi. Tuweke maendeleo mbele, mambo ya katika hayanaharaka kulinganisha na matatizo tuliyonayo. Maswala ya katiba always hua ni wanasiasa Optimist na waroho wa madaraka.

Wewe usitufanye sisi wote watanzania mazezeta maendeleo gani yatakuja wakati tuna katiba kandamizi unadhani Jaji Nyalali alikuwa mwehu kusema lazima Katiba ibadilishwe ili nchi iweza kusonga mbele
 
Maadamu kwenye kupiga kura, wengi walishinda na KURA HAZIKUIBIWA, basi Zitto alitakiwa kukubaliana na uamuzi wa Chama.

Uamuzi wake wa kuja kulia mbele ya Wananchi ni nini? Alitaka kuwalazimisha wengi wachukue msimamo wake?

Huyu jamaa ni wa kuangalia sana maana akawa Rais siku moja, mhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!

Maamuzi yake yangelikuwa na maana kama angelikuwa Mbunge HURU ila anashirikiana na CHADEMA katika baadhi ya mambo.
 
Alichofanya zito ni kawaida,co rahisi watu wote kuwa na maono sawa ingawa ccm wanaweza kuitumia kama mtaji wa kuisambaratisha cdm kama wasipokuwa makini
 
Bila katiba hakuna maendeleo. Waulize wenzetu nchini Kenya. They have crossed that threshold and look and see how forward they are going to be moving. We are stuck in the old undemocratic process where you cannot even question the ruling of NEC, even if they choose a madman to lead us. Watu wenye akili timamu hishinikiza katiba katika process ya kuleta maendeleo.

You have no idea what you are talking about, Kenya is economically declining for the past 1.5 years. Rwanda ina katiba mbovu na wengi wanasema iko chini ya dictator. Na ndio nchi inayokua kwa kasi (kiuchumi) katika Africa mashariki.. Katiba yetu inaingiliananje na uchumi wetu? inaingilianaje na soko linaloendeshwa kwa mfumo wa demand and supply?? hayo mawazo mafupi kufikiri kwamba hatuwezi kuendelea hadi katiba ibadilishwe. China wamebadili katiba? malaysia? lazima tuunganishe nguvu na tutoe mapendekezo endelevu ili tukuze uchumi na maisha ya watu.

Bofya hapa kwa kujielimisha News & Broadcast - Rwanda: Improving the Investment Climate for Private Sector Development
 
Kabwe amefanya hivyo kwa sababu he is politically rich, na that means hao wengine unaowaita majority wamekubali maagizo ya mwenyekiti kwa sababu bado hawana jina kisiasa. That also means, kama wote wangekua na uwezo wa kusimama na kubishana na mwenyekiti, basi wasingeshiriki upuuzi ule

Usiweke maneno kwenye mdomo wa Zitto alisema walijadili walipopishana wakaamua kupiga kura sasa yeye anajua wengi wape ndio ukweli wenyewe humdanganyi mtu hakuna kitu kinaitwa wmenyekiti kumwambia nani swala ni kuwa mwamuzi alikuwa ni kura usipindishe ukweli kwa sababu umetumwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom