Lakasa chika7
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 454
- 1,261
Chadema na Lisu mnatakiwa mheshimu mawazo ya vyama vingine. Leo mmeshambulia sana Zito licha ya Zito kuwa mpole lakini hamna adabu.
Zito acha kuwa mpole sana kwa hawa watu.
ebu sikia hapaona jinsi lisu anavyomtusi Zito. Siyo fair kabsa
Lisu kampiga zito spanna
lisu kulikuwa kuna haja ya kutukana wenzako, kwani maamuzi ya ACT lazima yafananane na Chadema,.
Chadema acheni siasa za chuki
Zito acha kuwa mpole sana kwa hawa watu.
ebu sikia hapaona jinsi lisu anavyomtusi Zito. Siyo fair kabsa
Lisu kampiga zito spanna
lisu kulikuwa kuna haja ya kutukana wenzako, kwani maamuzi ya ACT lazima yafananane na Chadema,.
Chadema acheni siasa za chuki