Mh. Lissu kwa risasi alimiminiwa alipaswa kufa ila katika hali ya giza nene na mtikisiko katika siasa za Tz msg ikarudi marehem amefufuka. Wengi wetu tunaweza kusema mengi sana ila kiza kinene kimefunika hili tukio ambalo naamini limeandikwa kwa pen ya moto.
Uwenda kikawa moja ya kisa kinathibitis ha Mungu yupo na wema wapo na bado wana ishi.
Lissu kwa mshituko alipata na risasi alipigwa kuwepo leo ni muujiza mkubwa ambao huko mbele utaleta mabadiliko makubwa kwenye siasa za hili Taifa.
Uwenda wale walipanga naku hakikisha anakufa uwenda nao hawapo maana Karima ndio kitu kina tisha kuliko vyote.
Ikumbukwe hawa viongozi na washabiki wa vyama wana dini zao na hakuna dini inaruhusu mambo ya dhuluma iwe ya mali au uhai wa mtu. Maana unapogusa dam ya mtu unagusa moyo wa Mungu na usishangae kitakacho kutokea.
Mh. Lissu anasiri moja ambayo uwenda ndio uzima wake leo. Lisu ni mmoja wa wana sheria walisaidia sana watu waliodhulumiwa kesi ngumu za kiserikali huyu jamaa ndie alisimamia kama umewahi sikia dhuluma ya North Mara basi huyu mwamba alisimama na alisimama kwa kutolipwa na mtu.
Mh. Lissu aweza kuwa kama Keneth Sarawiwa japo uwenda kazi ya Mh. Lissu imekuwa yakutukuka sana kiasi risasi zilimshindwa.
Ndugu zangu watanzania wa vyama na serikali. Tuogope Karima ya Mungu ambayo naona ipo karibu sana na uwenda hakuna kiongozi au mtu yeyote ana waza au kufikiri ipo siku mambo yatabadilika maana muundo huu wa sasa ni hatari na kitisho kwa hata walio madarakani wakitoka muundo huu ipo siku utageuka kuwa jini nakuumiza watu na Mungu ameachia tukaona wenyewe.
Nimalizie kwa maneno ya Mzee Kikwete wakati fulani bungeni akiwa Rais. Namnukuu
"Tufanye mambo ambayo kesho vizazi vijavyo wasije kuchapa makaburi yetu nakuuliza hawa wazee walikuwa na akili kweli?" Mwisho akasema "Siku moja atakuja kiongozi sio mpole kama mimi akitumia nguvu ya Uraisi itakuwaje?" Ni kiongozi alicheka ila alikuwa na nia njema kutupa taifa lenye haki japo nabii akubaliki nyumbani kwake.
Uwenda kikawa moja ya kisa kinathibitis ha Mungu yupo na wema wapo na bado wana ishi.
Lissu kwa mshituko alipata na risasi alipigwa kuwepo leo ni muujiza mkubwa ambao huko mbele utaleta mabadiliko makubwa kwenye siasa za hili Taifa.
Uwenda wale walipanga naku hakikisha anakufa uwenda nao hawapo maana Karima ndio kitu kina tisha kuliko vyote.
Ikumbukwe hawa viongozi na washabiki wa vyama wana dini zao na hakuna dini inaruhusu mambo ya dhuluma iwe ya mali au uhai wa mtu. Maana unapogusa dam ya mtu unagusa moyo wa Mungu na usishangae kitakacho kutokea.
Mh. Lissu anasiri moja ambayo uwenda ndio uzima wake leo. Lisu ni mmoja wa wana sheria walisaidia sana watu waliodhulumiwa kesi ngumu za kiserikali huyu jamaa ndie alisimamia kama umewahi sikia dhuluma ya North Mara basi huyu mwamba alisimama na alisimama kwa kutolipwa na mtu.
Mh. Lissu aweza kuwa kama Keneth Sarawiwa japo uwenda kazi ya Mh. Lissu imekuwa yakutukuka sana kiasi risasi zilimshindwa.
Ndugu zangu watanzania wa vyama na serikali. Tuogope Karima ya Mungu ambayo naona ipo karibu sana na uwenda hakuna kiongozi au mtu yeyote ana waza au kufikiri ipo siku mambo yatabadilika maana muundo huu wa sasa ni hatari na kitisho kwa hata walio madarakani wakitoka muundo huu ipo siku utageuka kuwa jini nakuumiza watu na Mungu ameachia tukaona wenyewe.
Nimalizie kwa maneno ya Mzee Kikwete wakati fulani bungeni akiwa Rais. Namnukuu
"Tufanye mambo ambayo kesho vizazi vijavyo wasije kuchapa makaburi yetu nakuuliza hawa wazee walikuwa na akili kweli?" Mwisho akasema "Siku moja atakuja kiongozi sio mpole kama mimi akitumia nguvu ya Uraisi itakuwaje?" Ni kiongozi alicheka ila alikuwa na nia njema kutupa taifa lenye haki japo nabii akubaliki nyumbani kwake.