Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,102
- 8,006
Tangu lini unataka CHADEMA wakamate nchi?Hamuwezi kamata nchi kwa hizi attitudes, mtaishia kuwa watu wa kulaumu na kutukana maisha yenu yote... What a waste of time and effort..!!
Msipojiheshimu hamtaheshimiwa