Zinaa katika uislamu....

Zinaa katika uislamu....

Uzinzi ni hali ya mtu kufanya tendo la ndoa na asiyekuwa halali yake ama hajamuoa au hajaolewa naye.


Sasa Mohammed unamchukuliaje? Yeye alikuwa na wanawake 7 lakini bado alikuwa anabaka wake za watu. Nipe mtazamo wako juu ya Mohammed tafadhali.
 
Hyo ndoa ya mutaa ipo kwa shia mpska leo wanaitumia,kwa upande wangu mimi kwa sasa haifai ksbisa kwa sababu yamekuja mskstazo kukataza jambo hilo.

Lakini mwanzo iliruhusiwa baada ya masahaba kwenda vitani wakakaa mda mwingi huko mpaks wakataka wajitoe nguvu za kiume(wajihasi)ili wasishughulishe na matamanio,mtume akaona hapo watafikia kubaya ndo akaruhusu hiyo ndoa kwa wakati alafu baada ya hapo hakuiruhusu kwa sababu ilikuwa dharula na hali ilifkia hivyo.

Kwa wakti huu wapo wanaokubali ila kwa upande wetu wengi hatuikubali hiyo ndoa.

Lakini hiyo mutaa bado wahusika wanakuwa ndani ya ndoa ila shida yake ni huo mkataba ndiyo shida ilipo
Na wake zao waliruhusiwa kuolewa kwa muda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...
Je. huoni kuwa sasa ni muda muafaka kurejea ruhusa hiyo kwani siku hizi kuna vita mbali mbali zinazowafanya waumini /wafuasi wa dini wana kuwa mbali na familia zao kwa muda mrefu!? Mfano, kuna vita za ugaidi miaka zaidi ya kumi na tano bado haijaisha.
...
... Boko Harama wana-practice hii kitu sana. Wale mabinti wanaotekwa kila mara ni kwa matumizi hayo. Wanaitumia vizuri sana hiyo aya kama ilivyotumiwa na Mtume na wapiganaji wake enzi zile ...
 
Kwahio uliskia kwenye uislamu watu wameambiwa wanunue wanawake Bar?
Kulipa Mahari kwaajili ya kuowa mwanamke ni Lazma katika uislamu, iwe dhahabu, Pesa, Furniture Au chchte mwanamke atacho demand km mahari yake...

Hata mimi sijaandika kuwa waislamu waliambiwa wanunue wanawake bar. Nilichoandika hapo nilikuwa nahoji kulinganisha na nilichojibiwa na mtu.
 
...
Lakini kwenye suala la Mutaa, sijui mazingira yapi ya siku hizi yanaweza kuhalalisha hii ndoa ya muda??? Sijui, kama ni haramu moja kwa moja? Ukweli ni kwamba sijawahi kusikia hata tukio mmoja ya ndoa ya namna hii!
... yapo sana hayo matukio! Wale mabinti wanaotekwa na Boko Haram huko Nigeria ni katika kutekeleza muta'h. Wanawachukua kwenda kutimiza matamanio yao wakiwa vitani huko kisha wanawarudisha halafu wakizidiwa tena, badala ya kujihasi, wanakuja tena kuchukua wengine. Wanatekeleza sawia alivyofanya Mtume na wapiganaji wake vitani maana mazingira yao yanafanana.
 
Kuna neno "kujifurahisha" na "mshahara". Hayo maneno yanafaa yakitumika kwa context ya nikah mut'ah na musta'jara. Katu haiwezekeni ikawa mahari.
Kujifurahisha na mshahara ni tafsiri ya huyo aliyefasiri Kiarabu kuwa English. Mwandishi amekosa msamiati sahihi. Tafuta fasiri zingine usome vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa kuna mtu atathibitisha kuwa ndoa ya Mut-a ni halali

Tutaomba ushahidi wa wazi juu ya hili
Na ajiepushe na Blaa Blaa

Allah anasema katika Quraan
سورة المعارج


29. Na ambao wanahifadhi tupu zao. 29


30. Isipo kuwa kwa wake zao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, basi hao hawalaumiwi 30


31. Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.

MAELEZO
Mola ametutaka tuoe sisi Waislam,na inapotokea mmoja wetu,kumiliki wanawake tuliowapata kwa mikono yetu ya kuume(Watumwa wa Kivita Kisheria)

Basi,hakuna shaka katika kuwaingilia/kufanya nao tendo la ndoa
Ni ruhusa kutoka kwa Mola wetu

ZINGATIO

Yeyote,atakaefanya tendo la ndoa,kinyume na mke au yule anaemmiliki kwa mkono wake wa kuume,Basi huyo amepetuka Mipaka(amefanya Dhambi)

Ndoa ya Mut-aa,ukiifanya,wewe umepetula Mipaka Kisheria
Hukmu yako,ni Hukmu ya Mzinifu,unafaa kuadhibiwa kisheria



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisha Mola,hakutupa ruhusa kabisa ya kufanya uchafu

Tazama alivyosema katika Suuratul Nuur

SUURATUL NUUR

32. Na waozeni wajane miongoni mwenu na wema katika watumwa wenu na wajakazi wenu. Wakiwa mafakiri Mwenyezi Mungu atawatajirisha kwa fadhila yake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa Mwenye kujua. 32


33. Na wajizuilie na machafu wale wasio pata cha kuolea, mpaka Mwenyezi Mungu awatajirishe kwa fadhila yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumeamrishwa kujizuia na machafu,moja ya machafu ni ndoa ya MUT-A

mpaka pale Allah atakapotuwezesha

Kadhalika

Mtume wetu ﷺ akatufunza kwa kutuambia

Enyi Vijana,mwenye kuwezi kumlisha Mke na kuliendea tendo la ndoa,Basi aoe,kwani hakika kufanya hivyo,ni kulihifadhi jicho na kuilinda tupu,
na atakae shindwa,basi ajilazimishe na funga,kwani hakika ya funga ni ngao(kukuzuia na maovu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama moja ya Dalili ya Kuharamisha Mut-aa,ni hii hapa

وما رواه البخاري ومسلم من حديث الحسن وعبد الله ابني محمد ابن الحنفية عن أبيهما أنه سمع علي بن أبي طالب يقول لابن عباس: نهى رسول الله صلى الله عليه وسلم عن متعة النساء يوم خيبر وعن أكل لحوم الحمر الإنسية .

HADITHI IPO KATIKA SAHIHI BUKHARI NA MUSLIM

Hakika ya Mtume wa Allah amekataza MUT-A siku ya Khaybar,na na kula nyama ya Punda(wafugwao na Binaadam)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom