Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
- Thread starter
- #41
Haina haja Chief
Mtume wa Allah Sala na Salamu ziwe juu yake,ameiharamisha ndoa hii chafu,kwasababu ya uharibu wake mkubwa na madhara kwa jamii
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeomba nione palipoharamisha. Na ndugu yangu Safuha kaandika hapo kabla kuwa nikah mut'ah bado inatumika na Mashiah ILA KWAKE YEYE HAIFAI. Ikimaanisha haijakatazwa ila SI LAZIMA kila muislamu aifanye lakini aifanyae SI DHAMBI.