Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Huyu hakuwa na lengo la kujifunza
Huyu hakuwa na lengo la kujifunza
[/QUOTE]Aameen kwa sote alhabiib.Alhabiby Sheikh Abuu Dharr[
Mwenyezi Mungu akulipe kheri wewe na Ustaadh chige Maalim Safuha na wengine wengi walioweka ukweli na kuondosha uongo uliokuwa unawekwa kwa makusudi na makafiri.
Alhabiby hakika umeutendea haki muda wako kwa kutuelimisha na Alhamdulillah nimestafidi sana na darsa lako na wengine pia kadhalika.
Na kuthibitisha hilo tayari makafiri wameanza kuitana kuja kuharibu mjadala ambao kwa bahati nzuri umeshaeleweka.
Mola awalipe kila la kheri na wale ambao bado wapo gizani katika ukafiri nao Mola awatie nuru mioyo yao ipate kuona haki na kuingia katika uislamu.
QUOTE="Abuu Dharr, post: 30098211, member: 470108"]Chief
Nadhani hawa majamaa unawafahamu,kwa kuleta kwao matope na kulazimisha kuwa ni keki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu vitu havipo kirahisi hivyo. Sheria imetuambia ni nani mzinifu na anathibitishwa vipi kama ni mzinifu. Halafu unaijua hukmu ya mzinifu?? Hivi ukiskia kupigwa mawe mpaka kufa unaelewa nini hapo??Kinacho nishangaza Mimi kwenye uislam.zinaa haikemewi sana kama ambavyo wanakemea ulaji wa nguruwe.mla nguruwe anaweza akatengwa na uislam lakini mzinifu akaonekana shababi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinacho nishangaza Mimi kwenye uislam.zinaa haikemewi sana kama ambavyo wanakemea ulaji wa nguruwe.mla nguruwe anaweza akatengwa na uislam lakini mzinifu akaonekana shababi.
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]Alhabiby Sheikh Abuu Dharr[
Mwenyezi Mungu akulipe kheri wewe na Ustaadh chige Maalim Safuha na wengine wengi walioweka ukweli na kuondosha uongo uliokuwa unawekwa kwa makusudi na makafiri.
Alhabiby hakika umeutendea haki muda wako kwa kutuelimisha na Alhamdulillah nimestafidi sana na darsa lako na wengine pia kadhalika.
Na kuthibitisha hilo tayari makafiri wameanza kuitana kuja kuharibu mjadala ambao kwa bahati nzuri umeshaeleweka.
Mola awalipe kila la kheri na wale ambao bado wapo gizani katika ukafiri nao Mola awatie nuru mioyo yao ipate kuona haki na kuingia katika uislamu.
QUOTE="Abuu Dharr, post: 30098211, member: 470108"]Chief
Nadhani hawa majamaa unawafahamu,kwa kuleta kwao matope na kulazimisha kuwa ni keki
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nimeamini kwamba wewe lengo lako ni kukashifu. Mimi na miaka niliyonayo baba yangu ananitambulisha kwa watu kwamba ni mtoto wake.
How have you defined watoto kwenye hiyo context ndio imenifanya niungane na wadau kuiona dhamiria yako kwa upana.
Aya imeeleza mmeruhusiwa watu wapi na wapi, ikasema inayomiliki mikono yenu ya kiumeni ambapo sasa ndio tunaweza sema mpaka watoto wenu wa kuwalea ambao kisheria upo uwezekano wa kuwaoa.
HAPANA. Soma nilivyoanza; "nimemsikia sheikh etc etc etc". Na huyo sheikh kasema kuifanya nikah mut'ah kuwa zinaa ni sawa na kutafsiri ndoa na zinaa kwa mtazamo wa Kikristo.
Kama umekwazika niwie radhi ila hakuna nilichotunga wala kuzusha. Yote KABISA (yaliyoandikwa hapa kuhusiana na hii maada) na yakanifanya nihitimishe hivyo ni ama yameletwa na wachangiaji au ni references from elsewhere.
Sijui una-define vipi kukashifu na sijui mtoto kwako ni yupi. It doesn't make sense mtu umuite someone mtoto wako halafu aje kuwa mke wako baadae.
Well; (kutokana na ulichokiandika hapa wewe mwenyewe) apparently hai-make sense kwetu Wakristo lakini sio kwenu. Na indirectly umenifafanulia logic ya mtume wenu kumuoa mke wa kijana aliemlea mwenyewe.
Btw; sijazusha kitu hapa (nimetumia logic iliyopo kwenye maelezo yako na kilichoandikwa kwenye vitabu vyenu wenyewe) kwa hiyo hoja yako ya kuwa nakashifu au nina nia ya kukashifu haiwezi kuwa valid.
Chief OHB11
Uislam unaujua au wausikia tu?!!
Tatizo la nyie jamaa,hamna desturi ya kuuliza
kisha
Hamna desturi ya kutaka kujua ukweli/uhalisia wa mambo
mnavyodanganywa huko,mnakuja hapa Jf,na kutupa uchafu wenu,mkidhani mnapatia na kuwaumbua Waislam na Uislam
Hakuna mada mliyoianzisha JF,kisha mkawa ni wa kweli hata kwa sekunde
Hakuna .....
Mmejaaliwa Uongo
Poleni sana
Allah awaongoze katika njia ya sawa
Allah awape mwisho mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafiki na upumbavu wangu ni upi ndugu? Look here; kama kinachojadiliwa hapa (na nimejitahidi sana kutumia references kutoka kwenye vitabu vya dini yako mwenyewe) kinakukera - meaning you become embarrassed - the cause of that can NEVER be me. Chimba zaidi vitabu vyenu ili uujue ukweli HALISI.
Kitabu kipi Chief?!
labda tupe kimoja tu ambayo ww umekichimba na kutoka na Dhahabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfiakweli
Sisi Waislam,tunakanuni na Desturi maalumu
Sisi hatupo sawa na nyie,kwenye kukusanya kila lenye kufaa na kutofaa
Huwa tunachuja,chuya tunaweka pembeni
Sasa unapokuja na Uongo na kusema,eti umechimba katika vitabu vyetu
Naam huenda kweli,umechimba kweli,bahati mbaya umetoka na tope tu,dhahabu hujafanikiwa kuipata
Yote hayo
ni kwasababu,Dini yetu tukufu,inamisingi yake,si ya kuchezewa zewa,kama ilivyochezewa Dini yenu ya Ukristo
Kuwa na tahadhari sana
na jiepushe na uongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Asilimia 99 ya maneno yakoNionyeshe sehemu moja tu nilipoandika uongo.
kwa mujibu wa ayat hizi
mmebaki kupongezana
Unapotaka kulazimisha jambo,ambalo ww hulijui,hapa ndio huwa nakushangaa sana ChiefNionyeshe sehemu moja tu nilipoandika uongo.
Aamyn aamyn!
View attachment 1000506 swali dogo Hakuna hadi sasa aliye jibu
kwa mujibu wa ayat hizi
View attachment 1000522 JEE UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI WAKEZO
mmebaki kupongezana