Zinaa katika uislamu....

Zinaa katika uislamu....

Nimemsikia sheikh mmoja akisema kuwa Muislamu (mwanaume) anaweza kuingia ndoa ya muda maalumu (nikah mut'ah) na mwanamke halafu baada ya hapo akamtaliki. Kwa mfano mimi naishi Tanga lakini nikapata safari ya kikazi Kigoma ya wiki moja na huko nikakutana na binti basi tukikubaliana namwambia "bi mdogo nitakuoa kwa siku mbili au tatu maana nitarejea Tanga siku ya tano".

Unaliongeleaje hilo? Ni halali?
...yaap ! Nilihisi una kitu ila una zunguka zunguka !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikia sheikh mmoja akisema kuwa Muislamu (mwanaume) anaweza kuingia ndoa ya muda maalumu (nikah mut'ah) na mwanamke halafu baada ya hapo akamtaliki. Kwa mfano mimi naishi Tanga lakini nikapata safari ya kikazi Kigoma ya wiki moja na huko nikakutana na binti basi tukikubaliana namwambia "bi mdogo nitakuoa kwa siku mbili au tatu maana nitarejea Tanga siku ya tano".

Unaliongeleaje hilo? Ni halali?
Ndoa hiyo wanafanya Mashia na Mashia si Waislaam !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumepewa ruhusa ya tendo la ndoa kwa watu wawili tu
1)Mke halali wa ndoa

2)Tunaowamiliki kwa mkono wa kuume(Watumwa wa kivita) kisheria

HAKUNA JAMBO LA TATU


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa ni mkataba wa kuishi pamoja kati ya mume na mke kwa kufuata utaratibu uliowekwa na jamii. Ndoa ya Kiislamu (Nikah) ni mkataba (Aqd) wa hiari kati ya mume na mke wa kuishi pamoja kwa wema na upendo kufuatana na masharti na taratibu zilizowekwa na sheria ya Kiislamu.
You have put it short and simple. Baada ya maridhiano lazima kuwe na masharti na taratibu.
 
Mpaka hapa nawashukuru sana Safuha na Mfiaukweli kwa mahojiano yenu. Nimenufaika!!
====
Safuha, nikilejea maelezo yako kuwa ruhusa ya ndoa ya mkataba ilitolewa na Mtume (S.A.W) kwa sababu maalumu (vita) kwa sababu ya kukaa muda mrefu nje ya familia na baadaye alikataza (labda baada ya vita kuisha... [naomba maelezo ya ziada sababu ya kusitisha ruhusa hiyo ]).

Je. huoni kuwa sasa ni muda muafaka kurejea ruhusa hiyo kwani siku hizi kuna vita mbali mbali zinazowafanya waumini /wafuasi wa dini wana kuwa mbali na familia zao kwa muda mrefu!? Mfano, kuna vita za ugaidi miaka zaidi ya kumi na tano bado haijaisha.

Pia kuna vita ya kiuchumi watu wako kwenye misheni za vita hii kwa muda mrefu sana tena wengine karibu umri wao wote wa ujana wako kwenye vita hii na hili linaoneka katika familia nyingi hata hapa nchini. Unakuta mama anapigana vita ya kiuchumi Lindi baba anapigana vita ya kiuchumi Kagera ama Baba yupo Katavi vitani mama yupo Tanga ama Kilimanjaro naye anapigana vita ya uchumi kuinusuru familia.... Tena wengine unakuta, Baba yupo Marylland /Detriot (US) na mama yupo Msasani ama Bunju (Tanzania) wote wanapigana vita ya kiuchumi kuinusuru familia!!!

Katika Mazingira haya, huoni kuna haja ya kurejea ruhusa ya ndoa ya mkataba?
Ndugu yangu, kabla Safuha hajakujibu, namkumbusha kuwa dini haiendeshwi kwa mawazo na fikra za mtu mmoja mmoja. Ndoa ya mut'aa ilishakatazwa na mbadala wake tukapewa ruhusa ya kuwa na ndoa za mitala. Ukienda kupigana the so called vita ya uchumi basi unayo ruhusa ya kuoa mke wa pili huko ulipo.
 
Vita nyingine ya kiuchumi inakulazimu uwe unasafiri karibu zaidi ya maeneo sita kabla ya kurudi makao makuu ya familia; na hizo sehemu unaweza ukawa ukaa zaidi ya wiki tatu sehemu mmoja kabla ya kwenda nyingine. Mzunguko huu wa hizi sehemu waweza kuwa unajirudia mwaka mzima!!! Vita ya kiuchumi ni ngumu sana.

Sasa mpiganaji huyu wa vita ya kiuchumi aoe wanawake sita! Hapana, dini hairuhusu mwisho ni wa nne. Na Je. Mizunguko hii kama inamkabili mpiganaji wa kike, hali inakuwaje, yaani mpiganaji huyu wa kike afanyeje !?
Hili nililijua kwamba lengo lako ni kuleta hoja zisizo msingi.
 
Ndugu yangu, kabla Safuha hajakujibu, namkumbusha kuwa dini haiendeshwi kwa mawazo na fikra za mtu mmoja mmoja. Ndoa ya mut'aa ilishakatazwa na mbadala wake tukapewa ruhusa ya kuwa na ndoa za mitala. Ukienda kupigana the so called vita ya uchumi basi unayo ruhusa ya kuoa mke wa pili huko ulipo.
Oa mpaka wa nne siku hizi kuna simu ni kupiga simu tu anakuja anakimbia, kila wiki unaita mmoja simple tuu dini yetu nyepesi Mashallah
 
Alhabiby Sheikh Abuu Dharr[
Mwenyezi Mungu akulipe kheri wewe na Ustaadh chige Maalim Safuha na wengine wengi walioweka ukweli na kuondosha uongo uliokuwa unawekwa kwa makusudi na makafiri.

Alhabiby hakika umeutendea haki muda wako kwa kutuelimisha na Alhamdulillah nimestafidi sana na darsa lako na wengine pia kadhalika.

Na kuthibitisha hilo tayari makafiri wameanza kuitana kuja kuharibu mjadala ambao kwa bahati nzuri umeshaeleweka.

Mola awalipe kila la kheri na wale ambao bado wapo gizani katika ukafiri nao Mola awatie nuru mioyo yao ipate kuona haki na kuingia katika uislamu.

QUOTE="Abuu Dharr, post: 30098211, member: 470108"]Chief

Nadhani hawa majamaa unawafahamu,kwa kuleta kwao matope na kulazimisha kuwa ni keki

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
 
It is even worse tafsiri hii uliyoileta sasa. Yaani umewajumuisha hadi watoto??!!!
Sasa nimeamini kwamba wewe lengo lako ni kukashifu. Mimi na miaka niliyonayo baba yangu ananitambulisha kwa watu kwamba ni mtoto wake.

How have you defined watoto kwenye hiyo context ndio imenifanya niungane na wadau kuiona dhamiria yako kwa upana.

Aya imeeleza mmeruhusiwa watu wapi na wapi, ikasema inayomiliki mikono yenu ya kiumeni ambapo sasa ndio tunaweza sema mpaka watoto wenu wa kuwalea ambao kisheria upo uwezekano wa kuwaoa.
 
Back
Top Bottom