Zinaa katika uislamu....

Ni vibaya na hiari hiyo ninayo kwa sababu hilo jambo lilishakatazwa tayari na Mtume wa Allah kwa maana lilikuwepo kisha akalikataza.

Sasa sio kwamba sina hiari tu,bali ni lazima kusema kwamba hilo jambo limekatazwa na mtume na hakuruhusu mpaka kufa kwake.

Sikatai kwamba liliruhusiwa na mwenyewe mtumee,lakini akalikataza baadaye ikawa haramu moja kwa moja,kama ambavyo ilikatazwa pombe na vitu mfano wa hivyo.

Kosa langu liko wapi?
Lakini huna hiari ya kusema (kwa mfano), kuoa mke zaidi ya mmoja na kufanya ndoa ya muda mfupi ni vibaya.
 
Hii hapa;
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
Hii ni Mahari

فَانْكِحُوهُنَّ بِإِذْنِ أَهْلِهِنَّ وَآتُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ بِالْمَعْرُوفِ مُحْصَنَاتٍ غَيْرَ مُسَافِحَاتٍ وَلَا مُتَّخِذَاتِ أَخْدَانٍ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vibaya na hiari hiyo ninayo kwa sababu hilo jambo lilishakatazwa tayari na Mtume wa Allah kwa maana lilikuwepo kisha akalikataza.

Sasa sio kwamba sina hiari tu,bali ni lazima kusema kwamba hilo jambo limekatazwa na mtume na hakuruhusu mpaka kufa kwake.

Sikatai kwamba liliruhusiwa na mwenyewe mtumee,lakini akalikataza baadaye ikawa haramu moja kwa moja,kama ambavyo ilikatazwa pombe na vitu mfano wa hivyo.

Kosa langu liko wapi?

Nimeomba aya au hadith iliyokataza ila mwenzangu hutaki kunipa nami nikaelimika.
 
Hii ni Mahari

فَانْكِحُوهُنَّ بِإِذْنِ أَهْلِهِنَّ وَآتُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ بِالْمَعْرُوفِ مُحْصَنَاتٍ غَيْرَ مُسَافِحَاتٍ وَلَا مُتَّخِذَاتِ أَخْدَانٍ

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha hizo Mkuu; mtu akienda Corner Bar akamnunua mwanamke itaitwa mahari?
 
Hii ni Mahari

فَانْكِحُوهُنَّ بِإِذْنِ أَهْلِهِنَّ وَآتُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ بِالْمَعْرُوفِ مُحْصَنَاتٍ غَيْرَ مُسَافِحَاتٍ وَلَا مُتَّخِذَاتِ أَخْدَانٍ

Sent using Jamii Forums mobile app
Allah anasema
Waoeni kwa Idhni ya Walii wao(Baba mzazi wa Bint),na wapeni Mahari yao kwa wema......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
۞ وَالْمُحْصَنَاتُ مِنَ النِّسَاءِ إِلَّا مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُكُمْ ۖ كِتَابَ اللَّهِ عَلَيْكُمْ ۚ وَأُحِلَّ لَكُم مَّا وَرَاءَ ذَٰلِكُمْ أَن تَبْتَغُوا بِأَمْوَالِكُم مُّحْصِنِينَ غَيْرَ مُسَافِحِينَ ۚ فَمَا اسْتَمْتَعْتُم بِهِ مِنْهُنَّ فَآتُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ فَرِيضَةً ۚ وَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ فِيمَا تَرَاضَيْتُم بِهِ مِن بَعْدِ الْفَرِيضَةِ ۚ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلِيمًا حَكِيمًا

(AN-NISAAI - 24)
NA WANAWAKE wenye waume, isipo kuwa walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. Ndiyo Sharia ya Mwenyezi Mungu juu yenu. Na mmehalilishiwa wasio kuwa hao, mtafute kwa mali yenu kwa kuowa pasina kuzini. Kama mnavyo starehe nao, basi wapeni mahari yao kwa kuwa ni waajibu. Wala hapana lawama juu yenu kwa mtakacho kubaliana baada ya kutimiza waajibu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua na Mwenye hikima.
Hii hapa;
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
Jii aya imeanzia ya 23 ambayo imetaja mfululizo wa wanawake ambao ni haramu kwaoaa.

Ikatajaaa kisha hapo ndo ikamalizia "NA WANAWAKE WENYE WAUME.."yaani na hao wanawake wenye waume wanaingia katika ambao wameharamishwa kuwaoa katika ile aya iliyotangulia aya ya 23

Amabyo ni hii apa
حُرِّمَتْ عَلَيْكُمْ أُمَّهَاتُكُمْ وَبَنَاتُكُمْ وَأَخَوَاتُكُمْ وَعَمَّاتُكُمْ وَخَالَاتُكُمْ وَبَنَاتُ الْأَخِ وَبَنَاتُ الْأُخْتِ وَأُمَّهَاتُكُمُ اللَّاتِي أَرْضَعْنَكُمْ وَأَخَوَاتُكُم مِّنَ الرَّضَاعَةِ وَأُمَّهَاتُ نِسَائِكُمْ وَرَبَائِبُكُمُ اللَّاتِي فِي حُجُورِكُم مِّن نِّسَائِكُمُ اللَّاتِي دَخَلْتُم بِهِنَّ فَإِن لَّمْ تَكُونُوا دَخَلْتُم بِهِنَّ فَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ وَحَلَائِلُ أَبْنَائِكُمُ الَّذِينَ مِنْ أَصْلَابِكُمْ وَأَن تَجْمَعُوا بَيْنَ الْأُخْتَيْنِ إِلَّا مَا قَدْ سَلَفَ ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ غَفُورًا رَّحِيمًا

(AN-NISAAI - 23)
Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia. Ikiwa hamkuwaingilia basi hapana lawama juu yenu. (Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

Haya ndigu hiyo mutaa yako iko wapi hapo?
 
Ama Dalili iliyokuja kuharamisha ndoa hii chafu(Mut-a) ni:-

Mtume wa Allah anasema

إني كنت أذنت في الاستمتاع من النساء وإن الله قد حرم ذلك إلى يوم القيامة

Sent using Jamii Forums mobile app
 
۞ وَالْمُحْصَنَاتُ مِنَ النِّسَاءِ إِلَّا مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُكُمْ ۖ كِتَابَ اللَّهِ عَلَيْكُمْ ۚ وَأُحِلَّ لَكُم مَّا وَرَاءَ ذَٰلِكُمْ أَن تَبْتَغُوا بِأَمْوَالِكُم مُّحْصِنِينَ غَيْرَ مُسَافِحِينَ ۚ فَمَا اسْتَمْتَعْتُم بِهِ مِنْهُنَّ فَآتُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ فَرِيضَةً ۚ وَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ فِيمَا تَرَاضَيْتُم بِهِ مِن بَعْدِ الْفَرِيضَةِ ۚ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلِيمًا حَكِيمًا

(AN-NISAAI - 24)
NA WANAWAKE wenye waume, isipo kuwa walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. Ndiyo Sharia ya Mwenyezi Mungu juu yenu. Na mmehalilishiwa wasio kuwa hao, mtafute kwa mali yenu kwa kuowa pasina kuzini. Kama mnavyo starehe nao, basi wapeni mahari yao kwa kuwa ni waajibu. Wala hapana lawama juu yenu kwa mtakacho kubaliana baada ya kutimiza waajibu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua na Mwenye hikima.Jii aya imeanzia ya 23 ambayo imetaja mfululizo wa wanawake ambao ni haramu kwaoaa.

Ikatajaaa kisha hapo ndo ikamalizia "NA WANAWAKE WENYE WAUME.."yaani na hao wanawake wenye waume wanaingia katika ambao wameharamishwa kuwaoa katika ile aya iliyotangulia aya ya 23

Amabyo ni hii apa
حُرِّمَتْ عَلَيْكُمْ أُمَّهَاتُكُمْ وَبَنَاتُكُمْ وَأَخَوَاتُكُمْ وَعَمَّاتُكُمْ وَخَالَاتُكُمْ وَبَنَاتُ الْأَخِ وَبَنَاتُ الْأُخْتِ وَأُمَّهَاتُكُمُ اللَّاتِي أَرْضَعْنَكُمْ وَأَخَوَاتُكُم مِّنَ الرَّضَاعَةِ وَأُمَّهَاتُ نِسَائِكُمْ وَرَبَائِبُكُمُ اللَّاتِي فِي حُجُورِكُم مِّن نِّسَائِكُمُ اللَّاتِي دَخَلْتُم بِهِنَّ فَإِن لَّمْ تَكُونُوا دَخَلْتُم بِهِنَّ فَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ وَحَلَائِلُ أَبْنَائِكُمُ الَّذِينَ مِنْ أَصْلَابِكُمْ وَأَن تَجْمَعُوا بَيْنَ الْأُخْتَيْنِ إِلَّا مَا قَدْ سَلَفَ ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ غَفُورًا رَّحِيمًا

(AN-NISAAI - 23)
Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia. Ikiwa hamkuwaingilia basi hapana lawama juu yenu. (Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

Haya ndigu hiyo mutaa yako iko wapi hapo?

Japo ni maelezo marefu lakini naomba usome hapa hapa urudi unipe jawabu kama aya hiyo haikusudii nikah mut'ah.

The Four Pillars Of Mut'a
 
Sasa ndugu mbona kichwa cha habari na unachojadili ndani ni tofauti kabisa au wewe ulikua una lengo gani.

Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.

Ukisoma tafsiri nilizopewa za zinaa zinapingana na baadhi ya mambo yaliyoruhusiwa kwenye maandiko. Lengo ni kutaka kuelimika maana si kweli kuwa najua kila kitu. Naweza kusoma kitu nikakielewa vibaya; that's why nauliza.
Kuna ubaya?
 
angalia
Mtume wa Allah anasema


إني كنت أذنت في الاستمتاع من النساء وإن الله قد حرم ذلك إلى يوم القيامة

Hakika ya mimi,niliwaruhusu kustarehe na Wanawake(Mut-aa),na Hakika ya Allah ameliharamisha hilo mpaka siku ya Mwisho(Qiyama)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom