Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,616
Ni vibaya na hiari hiyo ninayo kwa sababu hilo jambo lilishakatazwa tayari na Mtume wa Allah kwa maana lilikuwepo kisha akalikataza.
Sasa sio kwamba sina hiari tu,bali ni lazima kusema kwamba hilo jambo limekatazwa na mtume na hakuruhusu mpaka kufa kwake.
Sikatai kwamba liliruhusiwa na mwenyewe mtumee,lakini akalikataza baadaye ikawa haramu moja kwa moja,kama ambavyo ilikatazwa pombe na vitu mfano wa hivyo.
Kosa langu liko wapi?
Sasa sio kwamba sina hiari tu,bali ni lazima kusema kwamba hilo jambo limekatazwa na mtume na hakuruhusu mpaka kufa kwake.
Sikatai kwamba liliruhusiwa na mwenyewe mtumee,lakini akalikataza baadaye ikawa haramu moja kwa moja,kama ambavyo ilikatazwa pombe na vitu mfano wa hivyo.
Kosa langu liko wapi?
Lakini huna hiari ya kusema (kwa mfano), kuoa mke zaidi ya mmoja na kufanya ndoa ya muda mfupi ni vibaya.