Zinaa katika uislamu....

Zinaa katika uislamu....

Uislamu uko wazi kabisa kuwa hukumu ya zinaa ni nini.Ukiristo wenyewe unasema tu ni dhambi hawasemi huku duniani adhabu yako nini.
Uislamu uko wazi kabisa ila sipingani na dini za watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahah

Nilikuwa nae sehemu
Alileta Hadithi yake ya kutunga
akasingizia ameipata katika Kitabu عمدة الأحكام
Kumbe hakuna kitu hicho kabisa katika Kitabu hicho wala kitabu chochote kile

alikimbia mbio nyingi sana

الله المستعان
Mkuu uzuri wa huyu mtu muelewa,ataleta uongo unamletea ukweli atahama hapo ataenda pengine,nako ataleta mafhum siyo unampa mafhum yasawa ataishia kusema "we msemee Allah tuu" huyoo atahama.

Sasa na hapa mkuu kaja na hoja zake sikilizia atakavyo uacha huu mjadala utashangaa ndo huyu alikuja kwa spidi ya 4G

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ambavyo tumeruhusiwa kuwaingilia wake zetu katika aya mbali mbali,basi kwani kuna aya imesema kwamba zinaa maana yake ni kumuingilia asiyekuwa mkeo tu(hata awe mmilikiwa wa mkono wa kuume)?


Kama ipo ilete hapa ili tuone kwamba Qurani inajichanganya,mara iseme kumuingilia asiyekuwa mkeo ndo zinaa,alafu huku inakuja kuruhusu kumuingilia mtumwa ambae sio mkeo,hiyo aya ipo wapi?
Swali lako ni busara zaidi nikajibu kwa swali.

Nakuuliza hivi.

Waislamu wanaposema pombe haramu,au kamari haramu,au liwati haramu jee huwa wanasema kwa matashi yao au wanaifuata Qurani imesemaje?
Mkuu kwa nini unakigugumizi kujibu wakti swali ni dogo tu? jee UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI wakezo sitakulaumu abadan ukisema hujui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa nini unakigugumizi kujibu wakti swali ni dogo tu? jee UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI wakezo sitakulaumu abadan ukisema hujui

Sent using Jamii Forums mobile app
Nawewe mbona unashindwa kujibu swali dogo tyu mkuu?

Hahah bwana mgeni kawa mgeni kweli.kama unataka kufahamu wewe jibu swali alafu nitakujibu swali lako ikiwa unania ya kutaka kujibiwa.

Nakuuliza tena mkuu

Waislamu wanaposema pombe haramu,au kamari haramu,au liwati haramu jee huwa wanasema kwa matashi yao au wanaifuata Qurani imesemaje?
 
Hahahahah

Nilikuwa nae sehemu
Alileta Hadithi yake ya kutunga
akasingizia ameipata katika Kitabu عمدة الأحكام
Kumbe hakuna kitu hicho kabisa katika Kitabu hicho wala kitabu chochote kile

alikimbia mbio nyingi sana

الله المستعان

Sent using Jamii Forums mobile app
Anawasumbua wajinga wajinga tu wasiojielewa,waislamu wa ushabiki wale hawajui madrasa wala nini,ila huyu ni mtoto mdogo mnoo na viroja virojavyeeee
 
Nawewe mbona unashindwa kujibu swali dogo tyu mkuu?

Hahah bwana mgeni kawa mgeni kweli.kama unataka kufahamu wewe jibu swali alafu nitakujibu swali lako ikiwa unania ya kutaka kujibiwa.

Nakuuliza tena mkuu

Waislamu wanaposema pombe haramu,au kamari haramu,au liwati haramu jee huwa wanasema kwa matashi yao au wanaifuata Qurani imesemaje?
wamekariri koloani haya nijibu UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI wakezo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu jibu hili swali kwanza alafu fasta nakujibu swali lako.

Waislamu wanaposema pombe haramu,au kamari haramu,au liwati haramu jee huwa wanasema kwa matashi yao au wanaifuata Qurani imesemaje?
wamekariri koloani haya nijibu UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI wakezo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mtu anakuuliza wanaomfunga mwizi wanafata katiba au wanafata matashi ya nafsi yao wewe unajibu wamekariri katiba,ndo umejibu nini hapo mkuu mgeni?
Wewe unatakiwa ujibu kama wanafata katiba au matashi ya nafsi yao(hamna katika katiba)

Mbona nje ya maudhui,au ndo lolote jibu tuu?

Tehehe ama kweli الجنون فنون
wamekariri koloani haya nijibu UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI wakezo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom