Zinaa katika uislamu....

Zinaa katika uislamu....

Mkuu nyama ya nguruwe umeruhusiwa endapo tu njaa yako inaweza kupelekea kupata kifo (Hapa dini imethamini uhai ndio maana ikaruhusu kula haramu ili usife kwa sababu ya njaa).
Hapo unapotaka kuhalalisha mutaa kwa mazingira hayo hayo ya ruhusa ya dharura ya kula kiti moto, je ushawahi kusikia mtu amekufa kwa sababu tu nyege zimembana?


Maendeleo hayana chama

Mkuu, mbona kwenye kila amri kuna vilegezo! Saumu ya Ramadhani ni lazima, lakini ukiwa mgonjwa au umesafiri au una dharura fulani, basi unaweza kuziacha na kuzirudia baadaye au unalipia kafara! Wudhu kabla ya Saala ni lazima, lakini maji yakikosekana, unafanya 'tayamum'. Hakika Allah SWT amesema mwenyewe kwamba sijawatakieni ugumu bali nimewatakieni uwepesi, na hii aya inahusu haswa suala ya kujamiana kipindi cha saumu!

Narudia, Uislamu unazingatia sana uhalisia ya maisha, na imelegeza masharti ili maisha ya songe mbele!

Lakini kwenye suala la Mutaa, sijui mazingira yapi ya siku hizi yanaweza kuhalalisha hii ndoa ya muda??? Sijui, kama ni haramu moja kwa moja? Ukweli ni kwamba sijawahi kusikia hata tukio mmoja ya ndoa ya namna hii!
 
Soma post #137
Hiyo post ndo ina nukuu niliyokuambia?!

Mungu amedhihirisha UONGO na UNAFIKI wako na ndio maana umeshindwa kujibu!

Again; wewe ni miongoni mwa wale ambao Yesu alisema wazi kwamba atawatimua kwa sababu mmejawa uzandiki, hila na unafiki wa kujifanya mnamjua Bwana kumbe ni wakosefu wakubwa!

Huu unafiki wa kujifanya huna lengo la kukashifu; unafiki kama huo peleka Facebook ambako ndo kuna majuha!
 
Hakuna mahali nimeandika ulichonituhumu kukiandika. Nenda kasome ile post #137 urudi kunielimisha.
Duh!! Hii post sio wewe hii?!
Hii hapa;
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
Baada ya hiyo post, nikakuambia weka Aya mzima kutoka 4:24 yenye hiyo nukuu!!

Hiyo post #137 unayong'ang'ania nikaisome ndo ina nukuu ya hicho nilichokuuliza?!
 
Duh!! Hii post sio wewe hii?!
Baada ya hiyo post, nikakuambia weka Aya mzima kutoka 4:24 yenye hiyo nukuu!!

Hiyo post #137 unayong'ang'ania nikaisome ndo ina nukuu ya hicho nilichokuuliza?!

110%. Check link iliyopo chini kabisa (na nilinukuu mahali post ya culture gal yenye hayo maelezo ambayo mwenzako alielewa na akatoa maelezo mengine).
 
Strange kuwa mpaka sasa hujaiona article inayofafanua hiyo aya 4:23!
Usiniwekee Article ambayo inaweza kuwa imeandikwa na watu aina yako! Nimekuambia uniwekee FULL VERSE ya 4:24 yenye maneno haya:
Hii hapa;
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
Ugumu upo wapi?! Au uliamua tu kuandika uongo kwa makusudi na tena hata bila kuona aibu!! Halafu unajiita Mkristo wewe?! Mkristo gani unadanganya kwenye halaiki na kuyapuuza mafundisho ya Kristo?!
 
110%. Check link iliyopo chini kabisa (na nilinukuu mahali post ya culture gal yenye hayo maelezo ambayo mwenzako alielewa na akatoa maelezo mengine).
Nimekuambia WEKA FULL 4:24 VERSE yenye haya maneno yako:
Hii hapa;
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
Aidha nikakuambia weka na aya zingine angalau 2 kwa sababu that's how Quran is read!

Kama HAUNA hiyzo aya, sema na usiniambie habari za link ambazo hazijibu nilichokuuliza
 
Usiniwekee Article ambayo inaweza kuwa imeandikwa na watu aina yako! Nimekuambia uniwekee FULL VERSE ya 4:24 yenye maneno haya: Ugumu upo wapi?! Au uliamua tu kuandika uongo kwa makusudi na tena hata bila kuona aibu!! Halafu unajiita Mkristo wewe?! Mkristo gani unadanganya kwenye halaiki na kuyapuuza mafundisho ya Kristo?!

Kuna maelezo ya kutosha (tena kutoka kwa mtu aliesoma islamic theology na nimeitoa kwenye website ya Islam apologists). Inajibu maswali kutoka kwa Waislamu na hayajibiwi na Wakatoliki bali Islamic theologians.
 
Kuna watu wanakuja na sura ya kutaka udadavuzi wa mambo ya Dini ya Uislam
Ila,tayari washameza majibu yao

Mbaya zaidi

nilikutana na mmoja,analeta Hoja za Uongo,kisha anatoa na marejeo ya kitabu ukurasa na mlango

lkn
ukirudi kwenye Kitabu,hukuti hicho anachokimaaanisha na kukishikia bango!!!

Waislam
Tuwe na tahadhari sana na hawa majamaa
Tuwe na tahadhari mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna maelezo ya kutosha (tena kutoka kwa mtu aliesoma islamic theology na nimeitoa kwenye website ya Islam apologists). Inajibu maswali kutoka kwa Waislamu na hayajibiwi na Wakatoliki bali Islamic theologians.
Hivi unaelewa Kiswahili wewe?! Hii post hapa chini kaiandika nani?
Hii hapa;
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
Tuanzie hapo kwanza
 
Chief
Mfiakweli

Elimu haichukuliwi kwa kujisomesha mwenyewe,ni lazima usomeshwe na Msomi

Pili

Katika Uislam,kuna misingi mingi,mmoja wa misingi mama,ni
Kuchukua elimu kwa mtu alieaminika na sifa ya ukweli,
Elimu haichukuliwi kwa mtu muongo
Elimu haichukuliwi kwa mtu mzushi
Elimu haichukuliwi kwa mtu mjinga

Sasa Bro
Hao unachokuwa au unaowasema kuwa wamesomea Islamic Theology,ni watu wenye kuaminika mbele ya Sheria yetu?!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa nakiri kwamba mimi siyo Ustaadhi na elimu ya dini ya kiislam pia haijafika kiwango cha kutoa hoja. Lakini ninavyona mimi kwenye Uislamu kuna vitu vimeharamishwa, lakini kwa sababu Mungu hakuwatikia magumu waumini, kuna mazingira fulani, yale yaliyoharamishwa yakawa halali. Mfano wazi ni nyama ya nguruwe - imeharamishwa moja kwa moja, lakini ukiwa hatarini kwa kufa na njaa, basi unaweza kula kuokoa maisha. Mutaa ni hivyo hivyo - ni haramu lakini mazingira yakiwa ngumu kama vita nk unaruhusiwa.

Uislamu ni dini inayotambua uhalisia ya maisha na imelegeza vikwazo kwenye mazingira magumu ili maisha yaendelee!



😂😂😂
 
Chief
Mfiakweli

Elimu haichukuliwi kwa kujisomesha mwenyewe,ni lazima usomeshwe na Msomi

Pili

Katika Uislam,kuna misingi mingi,mmoja wa misingi mama,ni
Kuchukua elimu kwa mtu alieaminika na sifa ya ukweli,
Elimu haichukuliwi kwa mtu muongo
Elimu haichukuliwi kwa mtu mzushi
Elimu haichukuliwi kwa mtu mjinga

Sasa Bro
Hao unachokuwa au unaowasema kuwa wamesomea Islamic Theology,ni watu wenye kuaminika mbele ya Sheria yetu?!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Upo sahihi dini haichukuliwi hivyo. Ndio kama hao mashia na ndoa zao za mutaa. Mutaa ni zinaa tu wanaificha kama ndoa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, mbona kwenye kila amri kuna vilegezo! Saumu ya Ramadhani ni lazima, lakini ukiwa mgonjwa au umesafiri au una dharura fulani, basi unaweza kuziacha na kuzirudia baadaye au unalipia kafara! Wudhu kabla ya Saala ni lazima, lakini maji yakikosekana, unafanya 'tayamum'. Hakika Allah SWT amesema mwenyewe kwamba sijawatakieni ugumu bali nimewatakieni uwepesi, na hii aya inahusu haswa suala ya kujamiana kipindi cha saumu!

Narudia, Uislamu unazingatia sana uhalisia ya maisha, na imelegeza masharti ili maisha ya songe mbele!

Lakini kwenye suala la Mutaa, sijui mazingira yapi ya siku hizi yanaweza kuhalalisha hii ndoa ya muda??? Sijui, kama ni haramu moja kwa moja? Ukweli ni kwamba sijawahi kusikia hata tukio mmoja ya ndoa ya namna hii!
Mkuu kilegezo cha matamanio ya kingono tulichofundishwa na mtume (s.a.w) ni kufunga swaumu za sunnah kwa sababu njaa hua ina kawaida ya kuvunja vunja matamanio ya ki mwili.
Naomba nikuulize hili swali na wewe unijibu kwa dhati ya nafasi yako.
Wewe kama walii je upo tyr aje mtu nymbn kwenu kumposa dada au ndugu yako yoyote kwa ndoa ya wiki 1 hata kama mazingira ya huyo mtu yanamruhusu kufunga ndoa ya aina hio?

Maendeleo hayana chama
 
Write your reply...Mtoa post umeuliza swali jengine na umejiviwa lakini naona unajadili mada nyengine hata haihusiani
 
Hivi unaelewa Kiswahili wewe?! Hii post hapa chini kaiandika nani?
Tuanzie hapo kwanza

Typical Moslems strategy in avoiding unanswerable questions:
Lazima mtumie moja kati ya haya matatu at basic level.

1. Hujui Kiarabu
2. Hao si Waislamu bali Shia/Hamadiya
3. Kukwepa kujibu swali kwa kurukia kisichosemwa. Nakupa ushahidi wa wewe kutumia technique namba 3. Sikiliza part ya debate kati ya Mohammed Hijab na Dr David Wood hapa chini

 
Back
Top Bottom