Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,774
- 256,798
Mahari katika dini anapewa muolewaji ,wazazi wanakuwa Kama mashahidi . na mahari ni kitu chochote hata nikisema nataka doti ya khanga ndio mahari yangu imepita.
Mahari katika dini anapewa muolewaji ,wazazi wanakuwa Kama mashahidi . na mahari ni kitu chochote hata nikisema nataka doti ya khanga ndio mahari yangu imepita.
Unataka kujua nikah mutah ? Alafu hapo hapo Unafanya kwa mtazamo wa kikristo!! Wakati ukristo na uislamu vimeachana Mbali. Hapo bado unaona ni sawa??
Kama nilivyokwambia hiyo aya imeqotiwa na washia ili kuendeleza kile walichotaka kujihalalishia, lakini ukiisoma aya nzima ni kua ilikatazwa tayari.Good. Umejionea mwenyewe hiyo aya.
MARRIAGEPili
Jambo la Mut-a lipo kwa Mashia
Na Mashia sio Waislam
kwann unataka kulazimisha jambo ambalo halipo ndani ya Uislam
Kisha
Nimekupa Dalili,kwa Mut-a,imeharamishwa Kisheria
kwa maneno ya Mtume wetu
Kwann ww unalazimisha kuwa Halali?!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nilivyokwambia hiyo aya imeqotiwa na washia ili kuendeleza kile walichotaka kujihalalishia, lakini ukiisoma aya nzima ni kua ilikatazwa tayari.
MARRIAGE
Mujahid stated that,
﴿ فَمَا ٱسۡتَمۡتَعۡتُم بِهِۦ مِنۡہُنَّ فَـَٔاتُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ فَرِيضَةً۬ۚ ﴾
(So with those among them whom you have enjoyed, give them their required due,) was revealed about the Mut`ah marriage. A Mut`ah marriage is a marriage that ends upon a predetermined date. In the Two Sahihs, it is recorded that the Leader of the Faithful `Ali bin Abi Talib said, "The Messenger of Allah prohibited Mut`ah marriage and eating the meat of domesticated donkeys on the day of Khaybar (battle).'' In addition, in his Sahih, Muslim recorded that Ar-Rabi` bin Sabrah bin Ma`bad Al-Juhani said that his father said that he accompanied the Messenger of Allah during the conquest of Makkah, and that the Prophet said,
« يَا أَيُّهَا النَّاسُ إِنِّي كُنْتُ أَذِنْتُ لَكُمْ فِي الاسْتِمْتَاعِ مِنَ النِّسَاءِ، وَإنَّ اللهَ قَدْ حَرَّمَ ذَلِكَ إِلى يَوْمِ الْقِيَامَةِ، فَمَنْ كَانَ عِنَدَهُ مِنْهُنَّ شَيْءٌ فَلْيُخَلِّ سَبِيلَهُ، وَلَا تَأْخُذُوا مِمَّا آتَيْتُمُوهُنَّ شيئًا »
(O people! I allowed you the Mut`ah marriage with women before. Now, Allah has prohibited it until the Day of Resurrection. Therefore, anyone who has any women in Mut`ah, let him let them go, and do not take anything from what you have given them.) Allah's statement,
﴿ وَلَا جُنَاحَ عَلَيۡكُمۡ فِيمَا تَرَٲضَيۡتُم بِهِۦ مِنۢ بَعۡدِ ٱلۡفَرِيضَةِۚ
Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
Jombaa hiyo Nikah sijui Mutaah ilishapigwa ban kitambo mno..... nadhani ushahidi nishakutafutia na wewe unaweza kuutafuta ili uridhike zaidi,Nope! Umeelewa tofauti na nilivyokusudia ieleweke. Nimenukuu tu alichokisema sheikh niliemsikia (na hivyo kunifanya nikaanzisha thread hii). Ni yeye aliesema "kuamini kuwa nikah mut'ah ni zinaa ni sawa na kutafsiri ndoa na zinaa kwa mtazamo wa Kikristo".
Mshenzi wewe,nia yako ni kukashifu mjaa laana wewe.Aya zote zinatambulika kwa namba ya aya yenyewe na sura itakapo. Hii yako isiyo na namba umeipata wapi, au umeshushiwa peke yako na hivyo unatuletea sasa?
Ukishawasoma mashia wala hawatakupa tabu wenzio wana hadi Msahafu wao, kama watu wanajikata kata na majambia utasema wana akili hao?Okay; kwa hiyo kuna hadith iliyoharamisha japo kwenye Qur'an haipo (na ndio asili ya Washia kuendelea nayo mut'ah). Well and good
Mpaka hapa nawashukuru sana Safuha na Mfiaukweli kwa mahojiano yenu. Nimenufaika!!Ni vibaya na hiari hiyo ninayo kwa sababu hilo jambo lilishakatazwa tayari na Mtume wa Allah kwa maana lilikuwepo kisha akalikataza.
Sasa sio kwamba sina hiari tu,bali ni lazima kusema kwamba hilo jambo limekatazwa na mtume na hakuruhusu mpaka kufa kwake.
Sikatai kwamba liliruhusiwa na mwenyewe mtumee,lakini akalikataza baadaye ikawa haramu moja kwa moja,kama ambavyo ilikatazwa pombe na vitu mfano wa hivyo.
Kosa langu liko wapi?
Punguza hasira kaka mkubwa, hapa tunajadiliana kwa upole tu mpaka ifike hitimisho.Mshenzi wewe,nia yako ni kukashifu mjaa laana wewe.
uislamu una njia kuu mbili za mafundisho.
1.Qurani.
2.Hadithi(mwenendo/utaratibu/vitendo/maneno aliyosema Mtume Muhammad SAW).
Sasa wewe unaambiwa hiyo ni hadithi ya mtume wewe hutaki kukubali na unadai aya.
Wewe si muislami na huujui uislamu,unafundishwa na waislamu wenyewe unakataa,maana yake ni nini kama siyo kukashifu ?
Ulianza vizuri sana hapo mwanzo kwa kuuliza swali ambalo ni la msingi sana watu kufahamu na nadhani wengi walikuwa hawafahamu.
Unaquote aya fupi ili kuleta maana unayoitaka wewe.
Naomba Allah akulaani na akuingize motoni,
panya wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza hasira kaka mkubwa, hapa tunajadiliana kwa upole tu mpaka ifike hitimisho.
Na tayari swali lake limeshapata jibu labda kama akiamua kutokukubali tu.
MARRIAGE
Mujahid stated that,
﴿ فَمَا ٱسۡتَمۡتَعۡتُم بِهِۦ مِنۡہُنَّ فَـَٔاتُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ فَرِيضَةً۬ۚ ﴾
(So with those among them whom you have enjoyed, give them their required due,) was revealed about the Mut`ah marriage. A Mut`ah marriage is a marriage that ends upon a predetermined date. In the Two Sahihs, it is recorded that the Leader of the Faithful `Ali bin Abi Talib said, "The Messenger of Allah prohibited Mut`ah marriage and eating the meat of domesticated donkeys on the day of Khaybar (battle).'' In addition, in his Sahih, Muslim recorded that Ar-Rabi` bin Sabrah bin Ma`bad Al-Juhani said that his father said that he accompanied the Messenger of Allah during the conquest of Makkah, and that the Prophet said,
« يَا أَيُّهَا النَّاسُ إِنِّي كُنْتُ أَذِنْتُ لَكُمْ فِي الاسْتِمْتَاعِ مِنَ النِّسَاءِ، وَإنَّ اللهَ قَدْ حَرَّمَ ذَلِكَ إِلى يَوْمِ الْقِيَامَةِ، فَمَنْ كَانَ عِنَدَهُ مِنْهُنَّ شَيْءٌ فَلْيُخَلِّ سَبِيلَهُ، وَلَا تَأْخُذُوا مِمَّا آتَيْتُمُوهُنَّ شيئًا »
(O people! I allowed you the Mut`ah marriage with women before. Now, Allah has prohibited it until the Day of Resurrection. Therefore, anyone who has any women in Mut`ah, let him let them go, and do not take anything from what you have given them.) Allah's statement,
﴿ وَلَا جُنَاحَ عَلَيۡكُمۡ فِيمَا تَرَٲضَيۡتُم بِهِۦ مِنۢ بَعۡدِ ٱلۡفَرِيضَةِۚ
Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
Katika uislam mahari anapewa anayeolewa sababu ndiye anayeenda kumtumikia muoaji(tendo la ndoa)
Aisei ngoja naomba nikuoez doti ya kanga haiwezi nishinda aisei..!Mahari katika dini anapewa muolewaji ,wazazi wanakuwa Kama mashahidi . na mahari ni kitu chochote hata nikisema nataka doti ya khanga ndio mahari yangu imepita.
Vita ya kiuchumi??????oa wanne unaruhusiwa na ni sunna......mtaarifu mkeo aliyembali huko kwamba unaoa mke wa pili....sio kwa muda lakiniMpaka hapa nawashukuru sana Safuha na Mfiaukweli kwa mahojiano yenu. Nimenufaika!!
====
Safuha, nikilejea maelezo yako kuwa ruhusa ya ndoa ya mkataba ilitolewa na Mtume (S.A.W) kwa sababu maalumu (vita) kwa sababu ya kukaa muda mrefu nje ya familia na baadaye alikataza (labda baada ya vita kuisha... [naomba maelezo ya ziada sababu ya kusitisha ruhusa hiyo ]).
Je. huoni kuwa sasa ni muda muafaka kurejea ruhusa hiyo kwani siku hizi kuna vita mbali mbali zinazowafanya waumini /wafuasi wa dini wana kuwa mbali na familia zao kwa muda mrefu!? Mfano, kuna vita za ugaidi miaka zaidi ya kumi na tano bado haijaisha.
Pia kuna vita ya kiuchumi watu wako kwenye misheni za vita hii kwa muda mrefu sana tena wengine karibu umri wao wote wa ujana wako kwenye vita hii na hili linaoneka katika familia nyingi hata hapa nchini. Unakuta mama anapigana vita ya kiuchumi Lindi baba anapigana vita ya kiuchumi Kagera ama Baba yupo Katavi vitani mama yupo Tanga ama Kilimanjaro naye anapigana vita ya uchumi kuinusuru familia.... Tena wengine unakuta, Baba yupo Marylland /Detriot (US) na mama yupo Msasani ama Bunju (Tanzania) wote wanapigana vita ya kiuchumi kuinusuru familia!!!
Katika Mazingira haya, huoni kuna haja ya kurejea ruhusa ya ndoa ya mkataba?
Mshenzi wewe,nia yako ni kukashifu mjaa laana wewe.
uislamu una njia kuu mbili za mafundisho.
1.Qurani.
2.Hadithi(mwenendo/utaratibu/vitendo/maneno aliyosema Mtume Muhammad SAW).
Sasa wewe unaambiwa hiyo ni hadithi ya mtume wewe hutaki kukubali na unadai aya.
Wewe si muislami na huujui uislamu,unafundishwa na waislamu wenyewe unakataa,maana yake ni nini kama siyo kukashifu ?
Ulianza vizuri sana hapo mwanzo kwa kuuliza swali ambalo ni la msingi sana watu kufahamu na nadhani wengi walikuwa hawafahamu.
Unaquote aya fupi ili kuleta maana unayoitaka wewe.
Naomba Allah akulaani na akuingize motoni,
panya wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza hasira kaka mkubwa, hapa tunajadiliana kwa upole tu mpaka ifike hitimisho.
Na tayari swali lake limeshapata jibu labda kama akiamua kutokukubali tu.
MARRIAGE
Mujahid stated that,
﴿ فَمَا ٱسۡتَمۡتَعۡتُم بِهِۦ مِنۡہُنَّ فَـَٔاتُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ فَرِيضَةً۬ۚ ﴾
(So with those among them whom you have enjoyed, give them their required due,) was revealed about the Mut`ah marriage. A Mut`ah marriage is a marriage that ends upon a predetermined date. In the Two Sahihs, it is recorded that the Leader of the Faithful `Ali bin Abi Talib said, "The Messenger of Allah prohibited Mut`ah marriage and eating the meat of domesticated donkeys on the day of Khaybar (battle).'' In addition, in his Sahih, Muslim recorded that Ar-Rabi` bin Sabrah bin Ma`bad Al-Juhani said that his father said that he accompanied the Messenger of Allah during the conquest of Makkah, and that the Prophet said,
« يَا أَيُّهَا النَّاسُ إِنِّي كُنْتُ أَذِنْتُ لَكُمْ فِي الاسْتِمْتَاعِ مِنَ النِّسَاءِ، وَإنَّ اللهَ قَدْ حَرَّمَ ذَلِكَ إِلى يَوْمِ الْقِيَامَةِ، فَمَنْ كَانَ عِنَدَهُ مِنْهُنَّ شَيْءٌ فَلْيُخَلِّ سَبِيلَهُ، وَلَا تَأْخُذُوا مِمَّا آتَيْتُمُوهُنَّ شيئًا »
(O people! I allowed you the Mut`ah marriage with women before. Now, Allah has prohibited it until the Day of Resurrection. Therefore, anyone who has any women in Mut`ah, let him let them go, and do not take anything from what you have given them.) Allah's statement,
﴿ وَلَا جُنَاحَ عَلَيۡكُمۡ فِيمَا تَرَٲضَيۡتُم بِهِۦ مِنۢ بَعۡدِ ٱلۡفَرِيضَةِۚ
Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
Vita nyingine ya kiuchumi inakulazimu uwe unasafiri karibu zaidi ya maeneo sita kabla ya kurudi makao makuu ya familia; na hizo sehemu unaweza ukawa ukaa zaidi ya wiki tatu sehemu mmoja kabla ya kwenda nyingine. Mzunguko huu wa hizi sehemu waweza kuwa unajirudia mwaka mzima!!! Vita ya kiuchumi ni ngumu sana.Vita ya kiuchumi??????oa wanne unaruhusiwa na ni sunna......mtaarifu mkeo aliyembali huko kwamba unaoa mke wa pili....sio kwa muda lakini
Sent using Jamii Forums mobile app