Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
- Thread starter
- #61
Hivi nani anaweza kuelezea kuanguka kiuchumi kwa Zimbabwe-kutoka ilivyokuwa chini ya wakoloni hadi walipopata uhuru na miaka michache baada ya uhuru na ilipo sasa bila ya kurudi kule kule kwa Waafrika Ndivyo Tulivyo? Yaani hawa Waafrika walipochukua madaraka wameichukua Zimbabwe kutoka moja ya nchi zenye uchumi mzuri Afrika na kuipeleka kuwa moja ya nchi vichekesho na sasa wameifikisha kuwa moja ya nchi zinazotia huruma duniani. Jamani nani anaweza kunieleza nikaelewa hii safari ya kinyume nyume?
Kuna watu watakwambia hiyo yote ni kwa ajili ya UK na USA!!