Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Status
Not open for further replies.
Usipoteze muda kuwaza sehemu yenye watu milioni 1.35
Kama unaona ukiwa Zanzibar unakwazika, unakuja apa Dar es salaam Tanzania. Unakula nguruwe na bia, mwanzo mwisho akuna cha maswala ya dini, wala baba ake dini. Unakula Bata mpaka unakimbia wewe, apa tunaishi kwa katiba mwanzo mwisho.
Unajipatia protein nzuri ya nguruwe na bia yako
Mi niko Mwanza ndugu..na ni muumini ninaekula mbuzi mkatoliki.nimeahangaa tu kusikia hayo maneno
 
  • Kwa nini umkataze asili hadharani?
  • Kwa nini wanawachagulia (wanawapangia) Wakristo mahali pakufanya mambo yao
  • Kupangiana ndio kuondoleana uhuru
Mkuu haya mambo ya imani. Kuna madhehebu mnasali jumapili na waislam wanasali ijumaa mbona hawajawalazimisha na nyie msali ijumaa? Waacheni waislam wafate imani yao ya kufunga. wewe usiyefunga kula nyumbani kwako au hapa znz kuna hotel maalum zinafunguliwa mwezi mtukufu na zinakidhi idadi ya wasiofunga. nenda huko hakuna wa kukufuata huko. Pia vilevi vinauzwa kama kawaida maeneo maalumu... ccm, jeshini, kwa raju ila usitoke nje na chupa. hii ni kawaida sijawahi kuona walevi wanakaa barabarani kulewa kisa siyo mwezi mtukufu.
 
Sawa mkuu Mimi boya.Uboya wangu unatokana na hiyo hoja yangu au kitu kingine? Hoja yangu ni kwa nini mfungo uwe mchana tu na sio usiku pia? Kwani kutokula kukifanyika usiku Mungu hawezi kugawa sunah? Au na yeye anakuwa amelala?
Nimegundua upeo wako mdogo sana kwenye ku-analyse hoja. .
Ngoja nikusaidie.....
Umesema kuwa waislam wanafunga mchana ili waonekane.....
Kama wangetaka tu kuwasiliana na Mungu Basi wangefunga usiku kimya kimya....
Uboya wako huko hapa.....
Dini ni beyond individual activities...
Dini inasehemu ya kuonesha mifano Bora kwa wale wasio abudu....
Lakini waumini pia ni jumuiya inayotaka kutambuliwa uwepo wake and this is true kwa Dini zote na kwa miungu wote....
Kwa fikra sawa na zako nikakuuliza upuuz*i kuhusu kwenda kanisani, je huoni nako ni kujionesha? Kwani Mungu hawezi kuabudiwa popote? ( usijibu Hili swali...)
Ramadhani kwetu sisi utukufu wake ni kufanya ibada kuliko ilivyo kawaida, vitu vya msingi ni kuswali, kusoma quran na kufanya mambo mema kama tunavyofundishwa na Dini yetu kwa kiwango kikubwa kuliko kawaida. Kufunga ni symbol kuu ya ramadhan lkn sio ibada on its own. Ni sawa na uniform kwa mwanafunzi, hiyo sio elimu ila ni kitu muhimu shuleni...
 
Duuu kusema kwel wakristo hawatendewi haki mi nishawahi kushuhudia maeneo ya magomeni kuna mtoto kama ana miaka 15 kwa kukisia alikuwa anakula ubuyu kipigo alichopigwa nahisi hatorudia kula hadharani
Ulijuaje sasa kuwa aliyepigwa ni mkristo?
Unajuaje kama kipigi kinatokana na kula ubuyu?
Unajuaje anayempiga kuwa si mzazi wake wakiwa anamuadhibu kama watanganyika wengine wakiadhibu watoto wao wasio na adabu?
Ni hatari kueneza umbea unaobomoa watu au imani zao bila ya kuwa na uthibitisho juu ya jambo husika!
Kwa wakazi wa Dar wanaijua magomeni na kinondoni kuwa haziachi mabalaa na laana zake iwe kiangazi, masika, mchana, usiku, ramadhani au mwezi wowote! Hiyo yaweza kuwa magomeni ya mwanza lkn sio Hii ya dar
 
Kwani huku kufunga ni imani ya mtu au ndio kulazimishana kutokula mchana? Hizi imani zingine za shuruti hizi...zipewe polisi wasimamie basi
Mkuu ebu kuwa mwelewa. hujakatazwa kula mchana. Umeambiwa usile hadharani. Pika sembe yako na dagaa, kaa sebuleni kwako kula ukishiba nenda kaendelee nakazi zako. Tatizo liko wapi? Na ukibeba ugali ukaenda kukaa barabarani ukaanza kula utaonekana kichaa maana hakuna mtu anayekula chakula hadharani kama ana akil timamu. Yaani uache familia yako ukakae stendi uanze kula chakula?? Ujuwe huku unashikwa na Polisi na ndo wanaosimamia hayo maagizo na unaswekwa ndani hadi ramadhani iishe.
 
Mkuu ebu kuwa mwelewa. hujakatazwa kula mchana. Umeambiwa usile hadharani. Pika sembe yako na dagaa, kaa sebuleni kwako kula ukishiba nenda kaendelee nakazi zako. Tatizo liko wapi? Na ukibeba ugali ukaenda kukaa barabarani ukaanza kula utaonekana kichaa maana hakuna mtu anayekula chakula hadharani kama ana akil timamu. Yaani uache familia yako ukakae stendi uanze kula chakula?? Ujuwe huku unashikwa na Polisi na ndo wanaosimamia hayo maagizo na unaswekwa ndani hadi ramadhani iishe.
Utakuwa mgonjwa wa akili wewe sio bure. Pale Darajani si mnajazana nyinyi kwa mafungu kula ukwaju na urojo, au ni mwezi huu tu ndio kula nje ya nyumbani kwako unakuwa kichaa?

Yaani siwezi kula dafu kwa kuwa tu wewe umefunga? Nyie ndio maana Jecha kawageuza kama chapati
 
Utakuwa mgonjwa wa akili wewe sio bure. Pale Darajani si mnajazana nyinyi kwa mafungu kula ukwaju na urojo, au ni mwezi huu tu ndio kula nje ya nyumbani kwako unakuwa kichaa?

Yaani siwezi kula dafu kwa kuwa tu wewe umefunga? Nyie ndio maana Jecha kawageuza kama chapati
Wewe mzima wa akili beba jiko lako kapike urojo Darajani uite wazima wenzako mkae pale muanze kunywa huo urojo hadharani mwezi mtukufu.
 
Hujui Zanzibar ina serikali yake na wimbo wake wa taifa, baraza lake la wawakilishi (sio bunge), na serikali yake inaamua mambo yake yenyewe (kama kutafuta mafuta n.k.)?
 
Dini inayotetewa kwa nguvu nyingi na binadamu ujue kuna kitu hakipo sawa!
 
Mtu mwenye busara na akili nyingi,hawezi kujihangaisha na jambo lisilomuhusu.
 
Acha kutetea upuuzi

Mimi ni muislamu lakini hiyo napinga kwa 100% hiyo sheria yao
Itakua muislamu wa kurithi kama muislamu anayejua dini yake na misingi yake hawezi kusema huo ni UPUUZI,

Bado hujachelewa kasome dini yako kuna mengi ya kujifunza kuliko ushabiki.
 
Tanzania Kuna Vituko Vingi Sana, Pia Elewa Suala La Mila Na Desturi Zetu Zilivyo,si Mbaya Kuwaunga Mkono Wenzetu Wakati Wa Funga Yao
Wao wanatuungaga mkono? mbona pale darajani kipindi cha kwa resma wanakula urojo kama kawa
 
Serikali ya mapinduzi zanzibar imetoa tamko hilo lifatwe liheshimiwe, mbona mkuu wa mkoa tu huku bara utakuta anatoa matamko na watu wanapelekwa mtutu mtutu tuwaache wazanzi waburudike na swaumu zao.
 
Sawa tanzania ni moja ila tambua kuwa kila eneo kuna tamaduni zake hv ni mwiko kuvunja baadhi ya tamaduni znz asilimia kubwa ni waislamu bhna so acha waeke sheria hyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom