Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,168
Hawa jamaa Na dini yao akjjhhhhh!!
Uzuri wenyewe bado yuko hai na afya tele nenda kamuulize ili upate ithibati ya maneno yangu!!
Nitajaribu kuipata clip ya maneno yake juu ya ushirikina wa wapemba nikienda hapa.
Zanzíbar hakuna harufu ya udini, ni Taifa la dini ya kiislam.SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ) imetoa onyo kwa wananchi watakaokula hadharani katika kipindi cha mchana wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma, Khamis Juma Maalim wakati akijibu swali la mwakilishi wa jimbo la Paje, Jaku Hashim Ayoub aliyetaka kujua serikali inatoa tahadhari gani kwa watu watakaobainika kula mchana wakati wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Alisema utamaduni wa wananchi wa Zanzibar ni kuheshimu kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa makundi yote ikiwemo wa dini tofauti. Alifahamisha kwamba utamaduni huo upo hata kabla ya Mapinduzi ya Januari 12 mwaka 1964 wa dini tofauti kuheshimu dini za watu wengine.
Alisema kazi ya kutoa elimu kuhusu ujio wa mwezi mtukufu wa Ramadhani imeanza kutolewa na Ofisi ya mufti ambayo ndiyo yenye jukumu la kushughulikia masuala ya mambo ya dini ya Kiislamu.
Alisema kazi kama hiyo imeanza kutolewa na maimamu wakuu wa misikiti mbalimbali Unguja na Pemba ikiwemo katika sala za Ijumaa ambazo hukusanya idadi kubwa ya Waislamu kwa wakati mmoja.
Alikiri kuwepo vijana wengi wanaoacha kufunga katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani na kula hovyo pamoja na kuvuta sigara. Maalim alisema zipo taarifa kwamba hoteli nyingi hufanya kazi wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambapo wateja wake wakubwa ni vijana wa Kiislamu. Waislamu nchini wanatazamiwa kuanza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wiki ijayo ambapo ibada ya funga ni moja ya nguzo tano za dini ya Kiislamu
Chanzo: Habari Leo
=====================================
Nataka kujua kipindi kwa kwaresma mbona hawakutoa tamko hili.
Kwaio wakristo wawe wanajificha wakati wa chakula cha mchana.
Hapana naona kuna harufu ya udini kuanza Zanzibar.
Ni sawa kabisaIn fact ni ratiba ya msosi imebadilishwa.badala ya mchana vitu vinamegwa usiku kwa kiwango kilichozidi ile desturi ya mchana!!
Kwani ulikuwa hujuiHii inamaana Zanzibar ni nchi ya kiislam?!
We nawe boya!Kiufupi mifungo ya namna hii ni kwa ajili ya shows tu.Ni kwa ajili ya kujitangaza tu kama uonavyo watu wakifanya pale viwanja vya DabaSaba.Ingekuwa mfungo ni kwa ajili ya kuwasiliana na Mungu basi ungeweza kufanyika hata usiku.Lakini hawataki kufunga usiku kwa sababu nyakati hizo watu wanakuwa wamelala na hivi hakutakuwa na mtu Wa kuwaona.
Mwalimu alisema serikali haina dini, inakuwaje matamko yatolewe na viongozi wa serikali!Kwani ulikuwa hujui
Serikali ya Tanganyika, sio serikali ya mapinduzi ya ZanzibarMwalimu alisema serikali haina dini, inakuwaje matamko yatolewe na viongozi wa serikali!
Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
We nawe boya!
Kwa same line of thinking unawaonaje wanaoenda kanisani ni sababu ya show off, hivi wasingeweza kusalia majumbani? Mungu hasikii sala za majumbani?
Fikiri kabla ya kuropoka....
Sawa Bali Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na ZanzibarTanganyika si Zanzibar.
Hamkulazimishwa kuungana, mnaweza kujitoa nyie TanganyikaSawa Bali Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar
Sasa tukijitoa si italeta mfarakano mkuu??Hamkulazimishwa kuungana, mnaweza kujitoa nyie Tanganyika
Basi tusiwalaumu, tuwaache wafanye yaoSasa tukijitoa si italeta mfarakano mkuu??
Ndio lakini kuna Watanzania wengine kule wana imani tofautiBasi tusiwalaumu, tuwaache wafanye yao
Hapo ndio unaharibu, kule ni Zanzibar, Tanzania haitambuliki kule, waambieni warudi.Ndio lakini kuna Watanzania wengine kule wana imani tofauti
Hujalazimishwa kukaa nchi ya watu, rudi kwenu,mnajipendekeza tu. Haaaah, rekebisheni katibaHawa ndugu zetu wa kiislamu wamekaa kishari shari sana yani sijui wapoje yani nisile kisa we umefunga. Hivi hii imani yenu inawafundishaga nini mbona mnapenda roho mbaya mbaya.