Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Status
Not open for further replies.
Ngoja mkuu wa mkoa kesho aamuru wakaazi wa mkoa wake wayakate magovi amri tutakimbilia hospitali tu tutake tusitake
 
Ukisafiri kwenda kwa wakwe zako kijiji cha mbali na ulipofika kwao ukaambiwa desturi yao ni kwamba hawali nyama kabisa. Ukakaa pale mwezi na ukawa na hamu ya nyama sana, je utafanyeje? Utanunua nyama na kwenda kula mbele ya wakwe zako au utajificha sehemu kula pasipo kuwabughizi wakwe zako au utafanyeje? Kilichotangazwa Zanzibar ni swala la desturi na si dini. Desturi yao inasema mfungo wa ramadhani watu wasile ovyo basi ni swala tu la kuheshimu desturi na tamaduni za uliowakuta. Naunga mkono
 
Ukifunga ndiyo unasamehewa dhambi au? Sielewi elewi mm.
Dini zingine hazina tofauti na masharti ya mganga wa kienyeji. Mwezi mtukufu? Ukishamaliza hapo unaendeleza uzinzi wako, matusi yako na taka taka zingine? Zanzibar ni nchi ya kiislamu? Km ni ndiyo ni kifungu kipi hicho cha sheria kinachokataza kula? Nikiwa na Kitimoto yangu safi na soda yangu nakatazwa nisile? Pesa nitafute mm halafu mtu anipangie kula?
SHWAINNNNNNNNN
 
99.9 ya wazanzibari ni waislam kwahiyo YA NGOSWE MUACHIE NGOSWE
 
Mi ningekula mchana mweupe tena kitimoto na bia
Utapigwa viboko,halafu wanakata rasta hizi,wanaweka kupata,halafu unakwenda ndani miezi sita.ukitoka huko unarejesha fahamu zako kamili,sasa utakua umekamilika.
 
Shenzi kabisa! Eti utamaduni, kwani nchi inaongozwa kwa tamaduni au inaongozwa kwa katiba?! Funga ila usilazimishe watu wasioamini upuuzi wako wafunge..
 
Watu wengine hawana matatizo ila waislam. Nafikiri unajua wazi wanaume nao kuna mda wanavaa hijab kwenda kufanya ugaid, wizi nk. Ndo maana wamepiga mrafuku. Halafhwa knaitu sikindi am nitata nafasi ya kuwa rais nitakifutilia mbali. Adhana. Hii ni kero unakuta mispika usiku saa kumi wanaadhiniswal swala. Mnaamsha hata ambao haiwahusu. Kwa nn msiamshane nyie kwa nyie. Huko znz ukipatikana unakula mwezi wa ramadhani unashida, ukiuza chakula mchana mwezi wa ramadhani unashida
Asante kwa kuchangia.
 
Ukifunga ndiyo unasamehewa dhambi au? Sielewi elewi mm.
Dini zingine hazina tofauti na masharti ya mganga wa kienyeji. Mwezi mtukufu? Ukishamaliza hapo unaendeleza uzinzi wako, matusi yako na taka taka zingine? Zanzibar ni nchi ya kiislamu? Km ni ndiyo ni kifungu kipi hicho cha sheria kinachokataza kula? Nikiwa na Kitimoto yangu safi na soda yangu nakatazwa nisile? Pesa nitafute mm halafu mtu anipangie kula?
SHWAINNNNNNNNN
Kaka KAa ufikiri ,utafakari,ujiulize weweulikuja kuja vipi ulimwenguni,halaf watizame hao wary wengine,wote sisi tupo ulimwenguni Kwa sababu gani???.kutupa uhai Nani???? Na hivyo vyote vilivyotuzunguka vimetoka wapi,ikiwa simu,gari,umeme,mitandao wameitengeneza watu,na wanataka malipo Kwa service yao,jee huko uhai wako unadhani ni bure,sasa tafuta katika vitabu unavyovisikia,utafute sababu ya wewe kuumbwa na nani aliyejitokeza akasema kakuumba,halafu tafakari,ukishindwa,rudi kwangu,nitakuelekeza,huyo aliyekuumba Ana muongozo gani???.ikiwa alieitengeneza gari,Ndebele,samsung s7 anamwagiwa sifa na analipwwa Kwa kazi yake.kama kuna mtu ana shida ya kujifahamu awasiliane na mimi tu,nitampatia muongozo.
 
Wanavyosema dini zote ziheshimiwe, alafu wewe wanakufanyia fujo ukila mchana, hapo nani kamvunjia heshima mwenzake? magaidi tu hakuna kingine. Waislamu wakiwa moja moja unaweza ona mtu wa maana, wakiungana wakawa kundi kubwa hamna wanachofikiria zaidi ya kukomoa mtu yeyote ambaye sio kundi lao, udini umewajaa balaa, ila ni wa kwanza kubisha, hawaamini kama ni terrorists ila wakikaa kuanalyze wanajikuta wanachofanya ni exactly kinachofanywa na makundi makubwa ya kigaidi.

Nimejua kwa nini Zenji hawapewi uhuru, wakipewa wanaweza anza kuchinja watu hadharani kwa kula mchana, au wakageuza hiyo sehemu kua kambi ya alshabaab au isis.
Mkuu umeeleza vya kutosha naweza kusema hizo ni athari za uislamu kwa waislamu,haya tueleze upande wa pili una athari gani kwa waumini wake?
 
mimi sikatai watu kutokula hadharani kupigwa marufuku ila hii ya kutowauzia vyakula madukani sijaielewa kabisa kwan wakiuziwa wanakula hapohapo??
 
Mimi tutapigana aisee...Hela nitafute mimi na kula mnipangie... BTW nchi hii haina dini hata kama kule ZNZ asilimia 90 ni waislamu ili mradi sijakashifu dini yake wala sijampa maudhi aliyefunga
We imani gani mkuu? imani yako haijakwambia utii mamlaka za nchi maana zinatoka kwa Mungu?
 
KUNA JAMBO HUA NALIFIKIRIA uwa SIPATI MAJIBU.

NAOMBA KUULIZA;

IVI TANZANIA NI SECULAR AU NI NON-SECULAR STATE?

HV ZUIO LA KULA HADHARAN WAKAT WA MWEZ MTUKUFU UKO ZANZIBAR NI SAWA?
KAMA NDIO, MBONA HUKU BARA HAWAZUI?

MWENYEUELEWA PLZ NAOMBA ANIFAHAMSHE

KAMA NIMEKOSEA MNISAMEHE[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Mulivo ungana nao hamkujua kuwa wao ni waislam ?
Na uhusiano wao na Tanganyika ambao unatajwa kuwa wa enzi hukujua pia ulikuwa na watu wa Dar na Tanga?
wao ni waislam na wakristo ni wahamiaji...hakuna mtumbatu su mpemba mkristo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom